Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

Hakuna haja ya kuendelea na ccm karne hii ya sayansi na technologia
 
Sawa ila agongelee msumari zaidi kuhusu uraia wa jiwe maana kuna mashaka makubwa
Watu wake wa karibu wapo humu na kwasababu umetoa mawazo naimani atakipata hiki ulichomshauri.
 

Attachments

  • IMG_20200905_181610.jpg
    IMG_20200905_181610.jpg
    257.7 KB · Views: 1
Naomba Aerial kama ya 2015 hapo hapo mbeya ....ambapo Siku hiyo Asraji Mvungi aliwekwa pembeni kurusha mikutano ya EL
 
Je kungekuwa na wasanii Dunia inge amia hapo
haina haja mkuu. acha watu waone tofauti ya mapenzi halisia na igizo la mapenzi. mikutano ya CDM ni halisi, ile ya inzi wa kijani ni futuhi.
 
Ahaahaaaaa kweli Lissu anatisha na anapendwa mno watu wa Mbeya wametionesha ukweli wa mambo, people zzzzzzzzz
Mkuu huyu jamaa anapendwa, hata hao wanaosema kuwa he is doing this to gain people's sympathy due to what happened to him in area D Dodoma hapana aisee. Jamaa anazijua siasa za upinzani na yuko tayari for anything as long as havunji sheria za jamhuli ya muungano wa Tanzania.
 
haina haja mkuu. acha watu waone tofauti ya mapenzi halisia na igizo la mapenzi. mikutano ya CDM ni halisi, ile ya inzi wa kijani ni futuhi.
Mbeya jioni hii leo.
 

Attachments

  • IMG_20200905_181610.jpg
    IMG_20200905_181610.jpg
    257.7 KB · Views: 1
kwa jinsi gemu hii inavyopigwa kiustadi safar hii TISS na mzee siro kaeni pembeni, katu msikubali kuingizwa mtegoni mtakujaachiwa jumba bovu liwaangukie...chonde chonde. nyie ni watumishi wa umma wakuu..achieni sanduku la kura liamue. safari hii michezo ya bao la mkono itakabiliwa jino kwa jino...

tutakutana the hegi.
 
Apande ndege tu za abiria, kingine afanye mazoezi hata ya kutembea nusu saa akiwa na walinzi wake plus apangilie aina ya chakula anachokula ale zaidi protin na mboga mboga kwa wingi akiweza mayai mabichi awe anakunywa ili mwili ukae sawa
Hahaha tuliwashauri jana bora mkimbilie mbeya japo mjifaraji lakini maumivu bado yapo palepale.
 
Mungu Atusaidi nchi haijawahi kuongozwa kwa kufuata taaluma ina ongozwa kwa mihemko miaka yote! Mungu asaidie TL akaongeza kwa taaluma 🙏🙏🙏
 
Sugu moto chini, haaa..
Sugu moto chini, heee..
Sugu moto chini, haa, haa, haaa!
Ni moto chiniii!

Moja ya vichwa vinavyowaumiza vichwa nzi wa kijani wa pale Lumumba, hii combination ya pale Lissu, pale Sugu dah kuna jitu jeusi pale chattle linahisi haja
Chatu sio chato
 
Back
Top Bottom