fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Shikamoo TL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikamoo TL
Mimi ni chadema damu damu, hapo niliandika makusudi ili machoko kama wewe mje mtie neno.Napungukiwa imani kwao
Mungu Ampe Afya njema
Pisha Pisha Rais anapita Pisha Pisha Rais Anapita Anapita kwenye Barbara anazoziponda kwamba Sio maendeleo ya Watu Anaponda Nchi haina Amani na Uhuru Halafu mnasema barabara zimefungwa Leo ili mashabiki wake wapate wasaa Wa kumwona mnatakA Uhuru na amani IPI zaidi ya hiziii Muulizeni BESIGE HUKO UGANDA KUWA ANACHOPEWA TUNDU LISSU YE ANAKIPATAWakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa .
Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais wa Tanzania Mh Lissu atakuwepo Viwanja vya Ruanda Nzovwe , ambapo atazindua kampeni za kanda hiyo , lakini kubwa zaidi ni kuwataja hadharani viongozi wote wanaohujumu uchaguzi huu na ahadi walizopewa na hata hela walizolipwa .
View attachment 1559139
UPDATES
========
View attachment 1559139View attachment 1559436
View attachment 1559476
View attachment 1559596View attachment 1559597View attachment 1559598View attachment 1559599View attachment 1559600View attachment 1559601View attachment 1559602View attachment 1559604View attachment 1559605View attachment 1559606View attachment 1559607View attachment 1559608View attachment 1559609View attachment 1559610View attachment 1559611View attachment 1559612
View attachment 1559630
Video : Mapokezi yake mazito yasababisha barabara kuanza kupata nyufa , jionee mwenyewe
Video
ccm imeng'oka safari hiiNimeamini huu ni mpango wa Mungu, hii ni "replica" ya mpambano kati ya Mfalme Sauli na Daudi mtumishi mwema wa Mungu. Kongole nyingi sana kwa Tundu Lissu, kwa kuwa huyu ndiye Daudi wa nyakati zetu, na ni kwa hakika Mungu yu upande wake.
nimekudharau sana !Pisha Pisha Rais anapita Pisha Pisha Rais Anapita Anapita kwenye Barbara anazoziponda kwamba Sio maendeleo ya Watu Anaponda Nchi haina Amani na Uhuru Halafu mnasema barabara zimefungwa Leo ili mashabiki wake wapate wasaa Wa kumwona mnatakA Uhuru na amani IPI zaidi ya hiziii Muulizeni BESIGE HUKO UGANDA KUWA ANACHOPEWA TUNDU LISSU YE ANAKIPATA
Sio Kosa lako Ni aina Ya Uwelewa Wa BAVICHA HUWA HAMJUI MNACHOTAKAnimekudharau sana !
dada mikopo wamesema hawamtakiWatakiua kile kibabu jamani haya mashambulizi sio ya kawaida. Ni Yeyeee !! Betina leo anatetemeka tuu Sugu moto chini iii ni moto chini.
Unafikiri inang'oka kama unavyong'oa mchai mchai ulioupanda hapo uwani kwenu?ccm imeng'oka safari hii
watang'olewa na umma bila hurumaUnafikiri inang'oka kama unavyong'oa mchai mchai ulioupanda hapo uwani kwenu?
Hata mkitumia lugha za matusi lakini mwaka huu hamuambulii hata mbunge mmojaMimi ni chadema damu damu, hapo niliandika makusudi ili machoko kama wewe mje mtie neno.
mungu wa Lisu kamtuma kutukana na kunena uongo ndo awe Mungu wa Watanzania?Mungu wa Tundu Lissu ndiye Mungu wa watz wote.... Full stop
Nimemsikiliza JPM akiwa Rorya amemtaja Ezekiel Wenje mara 4 akimuombea kura, akamuita Ezekiel atoke mbele [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata mkitumia lugha za matusi lakini mwaka huu hamuambulii hata mbunge mmoja
Utakuwa vyema sana kuuWatu wake wa karibu wapo humu na kwasababu umetoa mawazo naimani atakipata hiki ulichomshauri.
weak tusi hata moja alilotukana lissumungu wa Lisu kamtuma kutukana na kunena uongo ndo awe Mungu wa Watanzania?
Shetani anacheza karata Chadema