Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

Nimeamini huu ni mpango wa Mungu, hii ni "replica" ya mpambano kati ya Mfalme Sauli na Daudi mtumishi mwema wa Mungu. Kongole nyingi sana kwa Tundu Lissu, kwa kuwa huyu ndiye Daudi wa nyakati zetu, na ni kwa hakika Mungu yu upande wake.
 
Wakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa .

Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais wa Tanzania Mh Lissu atakuwepo Viwanja vya Ruanda Nzovwe , ambapo atazindua kampeni za kanda hiyo , lakini kubwa zaidi ni kuwataja hadharani viongozi wote wanaohujumu uchaguzi huu na ahadi walizopewa na hata hela walizolipwa .

View attachment 1559139

UPDATES
========
View attachment 1559139View attachment 1559436
View attachment 1559476
View attachment 1559596View attachment 1559597View attachment 1559598View attachment 1559599View attachment 1559600View attachment 1559601View attachment 1559602View attachment 1559604View attachment 1559605View attachment 1559606View attachment 1559607View attachment 1559608View attachment 1559609View attachment 1559610View attachment 1559611View attachment 1559612
View attachment 1559630
Video : Mapokezi yake mazito yasababisha barabara kuanza kupata nyufa , jionee mwenyewe
Video
Pisha Pisha Rais anapita Pisha Pisha Rais Anapita Anapita kwenye Barbara anazoziponda kwamba Sio maendeleo ya Watu Anaponda Nchi haina Amani na Uhuru Halafu mnasema barabara zimefungwa Leo ili mashabiki wake wapate wasaa Wa kumwona mnatakA Uhuru na amani IPI zaidi ya hiziii Muulizeni BESIGE HUKO UGANDA KUWA ANACHOPEWA TUNDU LISSU YE ANAKIPATA
 
Pisha Pisha Rais anapita Pisha Pisha Rais Anapita Anapita kwenye Barbara anazoziponda kwamba Sio maendeleo ya Watu Anaponda Nchi haina Amani na Uhuru Halafu mnasema barabara zimefungwa Leo ili mashabiki wake wapate wasaa Wa kumwona mnatakA Uhuru na amani IPI zaidi ya hiziii Muulizeni BESIGE HUKO UGANDA KUWA ANACHOPEWA TUNDU LISSU YE ANAKIPATA
nimekudharau sana !
 
Hata mkitumia lugha za matusi lakini mwaka huu hamuambulii hata mbunge mmoja
Nimemsikiliza JPM akiwa Rorya amemtaja Ezekiel Wenje mara 4 akimuombea kura, akamuita Ezekiel atoke mbele [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
ndo akashtuliwa mgombea wa CCM ni Jafari.

Nadhani kuna hitilafu mahali maana huku kuyumba kwa dishi sio kwa kawaida, na bado hizo ni spana za Lissu za week moja tu, ikifika week ya pili Mzee wenu atawataja aliowatuma wakamshambulie Tundu Lissu
 
Back
Top Bottom