Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa fiesta akiona picha hii itabidi aongeze idadi ya wasanii!!
Mangula kagoma hata kushiriki mikampeni yao
Ni za kweli mkuu hapa ni shangwe tu barabaraniBAADA ya kuwa tunawashambulia kwa kuweka picha za kuchakachua za 2015 SASA mumekuja na staili ya kuweka zenye giza ambako hadi sura mnazifunika na giza baada ya ku edit za 2015 za Lowasa
Hongereni kitengo cha editing cha CHADEMA kwa usanii
View attachment 1559578
Kwahyo mumeunga juhudi kwa magufuli?Subiri. Weka kwanza Corona pembeni. Tunataka kieleweke kwanza halafu tutapambana na Korona baadaye.
Kumbe ashajimilikisha kabisa chama na sasa ni mali yake?ccm ya magufuli profesa ni imara sana, huwa haishindwi kitu.
Mkuu kwa hilo ondoa shaka mitambo ipo hewani masaa 24Suala la kutungua ndege jamani nililiwaza sana.. usafiri huo kwa wakati huu si salama kabisa.
Sawa ila agongelee msumari zaidi kuhusu uraia wa jiwe maana kuna mashaka makubwaKawaongelea kina Kakobe walivyosumbuliwa na uhamiaji na wengine waliofunguliwa kesi na sasa wameunga juhudi.
Uvumilivu ndiyo silaha kubwa na ukiona anakuzingua ignoreMkuu habari ya green guard siijui. Ila kuna mijitu inauzi sa na
Napungukiwa imani kwaoChadema waki edit picha wewe unapungukiwa nini ?
Ahaahaaaaa kweli Lissu anatisha na anapendwa mno watu wa Mbeya wametionesha ukweli wa mambo, people zzzzzzzzzMwaka 2015 huu ndio uliluwa umati pale Mbeya mjini ngoja tuone leo Lisu atapata idadi gani maana anajifanya yeye ni zaidi ya Lowasa
View attachment 1559263
Waliwafukuza TBC kwenye mikutano yao.Hebu angalieni video mapokezi ya Lisu mfano tu mwanza, utasema ile ni edit? Mapokezi ya Maalim seif Zanzibar zile ni edit?
Na kumbuka vyama hivi havipewi coverage yakutosha katika media zote hawana matangazo wala offer za lift magari ya bure
Ninavyoelewa Mimi kwa kadri hivi vyama vinavyozidi kubanwa ndiyo vinazidi kupaishwa juu zaidi na zaidi... Tuko hapa mtanambia
Makamanda mnajidhalilisha mno kudanganya ummaenɗeleeni ƙulialia
Chadema ndo inapotea kisiasa hivyo. Endeleeni kujifarijiOngeza matumaini japo kwa kunywa maji... Sio kwa ulichoandika.