Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Ndoto za mchana bila tathmini ni ndoto zisizo na matumaini.Huwezi kulaumiwa, matumaini yanaongeza maisha!! Hapo ukizingatia na dawa, mwaka utaumaliza na mchakato wa transition of power utauona!
Siku ya kurudi masiya utapigiwa parapanda ili ukusanyike. Bado hujui kazi ya muziki ni nini.Kumbe ndio maana mnajaza wasanii.
Na wengine wanaangalia Simba na Ihefu?!😅 Kumbuka kusali pia, stress na kupanic siyo mambo mazuri kwa afya!Ndoto za mchana bila tathmini ni ndoto zisizo na matumaini.
Hapo Mbeya Tulia atashinda asubuhi, wapiga kura wako home na wengine wanendelea na shughuli zao. Maamuzi wlishafanya zamani sana. Tukutane October 28
Hakuna link wakuu!?Naomba link ya kuangalia mkutano live.
Mbeya ni kisiki cha CCM.Mbeya mmeanza kutufokea mapema sana. Jiwe ataparalyze huko aliko leo. Yaani hapa ni Mbalizi watu wanamsubiri Lissu waende naye Ruanda Nzovwe yaani. View attachment 1559387
Mungu ibariki Chadema
Hata hujui kama ligi inaanza kesho. Mbeya hawataki tena porojo za majukwaani, wanataka maendeleo safari hii.Na wengine wanaangalia Simba na Ihefu?!😅 Kumbuka kusali pia, stress na kupanic siyo mambo mazuri kwa afya!
Wewe ndo huyo MC? Kila mahali upon vizuri, bonge la Toto! Hata kama kichwani kuna mapungufu, nashauri wadau tumkubali dada yetu Yehodaya, kama alivyo!Hapa Tabata Dar es salaam Leo ambapo uzinduzi wa CHADEMA ulidoda .Cheki CCM
Nje ya madaHapa Tabata Dar es salaam Leo ambapo uzinduzi wa CHADEMA ulidoda .Cheki CCM
Hawarushi live ili tufatilie hotuba?
Huu ni uchokozi, huu Uzi ni Wa chadema.Hapa Tabata Dar es salaam Leo ambapo uzinduzi wa CHADEMA ulidoda .Cheki CCM
Kumbe ligi ni kesho? Nashukuru kwa kunielewesha! Ila si unamkosea dada yetu kumwita kisiki, labda fito, si ungekua unakaribiana na uhalisia, kama ni lugha ya picha unatumia?!Hata hujui kama ligi inaanza kesho. Mbeya hawataki tena porojo za majukwaani, wanataka maendeleo safari hii.
Safari mmeletewa kisiki Tulia. Sugu kesha panic tayari