Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

BAADA ya kuwa tunawashambulia kwa kuweka picha za kuchakachua za 2015 SASA mumekuja na staili ya kuweka zenye giza ambako hadi sura mnazifunika na giza baada ya ku edit za 2015 za Lowasa

Hongereni kitengo cha editing cha CHADEMA kwa usanii


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…