Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

Utaelewa safari hii, naleo hamtakaa muwasahu wana mara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe kamera mnazo wakuu,mbona pengine huwa hamrushi picha
 
Ukilificha pengo kwa kutabasamu kicheko kikija litaonekana pengo lao ni oct 28 hawana ujanja paka vimburu wezi wa mboga vyunguni!
 
Msiwalazimishe wana Mbeya wampende mtu wenu !!!! Kama JIwe anampenda sana Tulia si amesema yeye ana kazi nyingi za kugawa ampe ile aliyoomba kumpa Lissu kwani Lissu hata siku moja hawezi kuwa muimba kwaya!!
 
Ukilificha pengo kwa kutabasamu kicheko kikija litaonekana pengo lao ni oct 28 hawana ujanja paka vimburu wezi wa mboga vyunguni!
Safari hii mtatukana sana hadi matusi mengine mtalazimika kwenda kuyanunua kwa jirani zetu.

Nakuona unakomba vyungu kama ulivyo sema maana aliwazalo mjinga ndiyo umtokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako....
 
Mmawia angalia kama kuna malori ya sombasomba hapo uniambie
Mkuu hapa ni damu imetumika kama diesel au petrol, watu wapo committed na cdm.

Cdm ipo mioyoni mwa wananchi wengi sana. Fikiria hiyo ni baada ya miaka mitano ya kufungiwa kufanya mikutano na wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…