Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

CHADEMA wanaedit picha. Hakuna ukweli wowote ndo maana hawataki media zirushe mikutano yao live
Hebu angalieni video mapokezi ya Lisu mfano tu mwanza, utasema ile ni edit? Mapokezi ya Maalim seif Zanzibar zile ni edit?
Na kumbuka vyama hivi havipewi coverage yakutosha katika media zote hawana matangazo wala offer za lift magari ya bure
Ninavyoelewa Mimi kwa kadri hivi vyama vinavyozidi kubanwa ndiyo vinazidi kupaishwa juu zaidi na zaidi... Tuko hapa mtanambia
 
Chadema mna edit picha kwa faida ya nani ?
 
freedom is comming tommorow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…