Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

Shukrani kwa kuitambua nguvu ya Chadema Kyela
Kwa hiyo kamanda unagombania ubunge na darasa la saba wa CCM, ila Dr Mwakyembe ana dharau sana 🤣 .
Interesting part ni huyo darasa la saba anaenda kudondosha vichwa vingine Kyela, billionea Erythrocyte anaenda kula za uso za la saba B.
Toa mchango wa mabakuli billionea Erythrocyte 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Poaaa kamanda tuweke link basi baadae tusikilize point za Prof Lema na tuone mabakuli.
 
Ndo nimeamka nilikuwa Arusha nimetokea Mwanza kwa matukio mawili Ngao ya jamii, Mkutano wa CDM. Jamani wananchi wanamsubiri kwa hamu raisi mtarajiwa Tundu A Lissu #NiYeyE2020.

Tujiandae kuutetea ushindi wetu pale tutaposhinda, maana si kwa mahaba haya.
 
Hiyo nyomi iko wapi? weheni utube tuione
 
Tumefurika kwenye tamasha la wasanii huku nyomi ni ya kufa mtu na baadaye Bingwa wa Nchi hii atakuwa uwanjani.Huyo Lema tulimpa miaka 5 ya kujipambanua na kujitafutia kura.

Mkutano wa siku moja hauwezi kubadirisha kitu.kama hakutumia miaka yake 5 kujijenga kisiasa akitegemea huruma ya Tundu Lissu atakuwa kabugi hapo
 
Hiyo ndo Arusha watu wanamiminika kama sisimizi katika viwanja vya NMC Relini na wengine wameenda kumlaki Mkombozi Mwanasheria Nguli Barani Afrika TL huko KIA
lile tamasha uchwara watu wamelipuuza wanasema ni mambo ya kitoto kwanini waliandae leo? Wanasema hawana shida ya kuwatazama wasanii shida yao ni matatizo ya maisha yanayowakabili kama uchumi, ajira nk

Picha zinakuja stay tuned hapahapa
 
Ahsante
 
Mwisho wasiku kura ndo zitaongea kutoroka si inshu sana, vipi mkuu mtapitisha mabakuli?
 

Usiache kutuwekea link kamanda, tunataka tusikilize madini ya kamanda Lissu, tuone nyomi yake bila kusahau yale mabakuli 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…