uniq
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 5,089
- 31,084
Wana minya uhuru wa wapiga pichaa.Wapiga picha wanalalamika wanalazimishwa wachuchumae wakiwa wanapiga picha za CDM, sasa sijui CDM wana matatizo gani [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana minya uhuru wa wapiga pichaa.Wapiga picha wanalalamika wanalazimishwa wachuchumae wakiwa wanapiga picha za CDM, sasa sijui CDM wana matatizo gani [emoji1787]
Mwaka.huu mbwa hazitapiga mswaki 😁😁😁 maneno mengi hakuna kitu.tuliza kitufe
Kutoroka kazini ndio umeona bonge ya kiki hadi uje useme hapa?
Kwa hiyo wanawafundisha kazi wapiga picha?😳😳😳Wana minya uhuru wa wapiga pichaa.
JIPENDEKEZE TU TUNAKUPA DKK 15
Naona sera zimeisha wanaanza kuanzisha vurugu wenyewe.JIPENDEKEZE TU TUNAKUPA DKK 15
Sisi tunataka PICHA hatumfundishi mtu kazi.Kwa hiyo wanawafundisha kazi wapiga picha?[emoji15][emoji15][emoji15]
Hao wafanya kazi ni wa chadema au ni wa serikari?Hii ndio habari inayosambaa kwa kasi Arusha kwa sasa, baadhi ya watu wanaotafuta huduma kwenye maofisi mbalimbali wamelalamika kukosa huduma baada ya maofisa kufika na kusaini kisha kutoroka ili kuwahi Mkutano Mkubwa sana wa Kampeni wa Rais Mtarajiwa Lissu.
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa habari zaidi
Kuna trafiki kwa mrefu,ngulelo na philips wanakagua magari yote.Mafuriko kuanzia USARIVER watu wamejipanga barabarani MKOMBOZI anakuja wee kalia kubwia ugoro
Kiki ni Kula mahindi kama ngedereeee barabaranKutoroka kazini ndio umeona bonge ya kiki hadi uje useme hapa?
Chadema wao ni Mananga kabisa, sasa iyo ndio habari ya kuleta apa ? acha upimbi jamaa.CCM wengi wao ni maboya ....wanasomba watoto wa chekechea wanawapeleka kwenye mikutano yao.....leo tumefunga ofisi tunaenda kumsikiliza Lisu imekuwa nongwa ....***** zao
Umesahau kuandika asilimia ya ushindi wasemavyo wachambuzi wabobezi...[emoji1787]Sisi kazi yetu ni kukupa habari tu baasi, kuhesabu kura au sijui mabakuli havituhusu kwa sasa
Hapana kuanguka baada kupigwa na FARU.Kiki ni Kula mahindi kama ngedereeee barabaran
wacha tu Mkuu wamejaribu lakini wameshindwa Nyomi na bendera zinaelekea KIAKuna trafiki kwa mrefu,ngulelo na philips wanakagua magari yote.
Kama sijasahau, mbweha Ni mzazi wako wa kike,[emoji848]
Mbona umeng’ang’ania sana mabakuli?! Tunatoa pesa zetu kwa hiari yetu, usitufokee.Kamanda Lissu ameshaingia KIA na bombardier, jipange barabarani atakuwa anapita na mabakuli kamanda.
Usisahau picha ya mabakuli kamanda, PR wa CDM wamegoma kutupa picha akiwa ndani ya bombardier 🤣
Maboya wamebaki kukusanya watoto na leo wamekodi WAKONGO KUKATA MAUNOChadema wao ni Mananga kabisa, sasa iyo ndio habari ya kuleta apa ? acha upimbi jamaa.
Mm nafatilia mauno n misambwanda tu ya wacheza show wa bongo fleva, na kuangalia mipja ya Wasani bongo movie tu mambo ya segerea hkna burdan mzeeSijui kwa kweli, sina habari za Kahama...
Vipi picha za mabakuli ya jana Segerea, mbona hatuzipati ?