Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

Uchaguzi 2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

JIPENDEKEZE TU TUNAKUPA DKK 15


Kamanda Lissu ameshaingia KIA na bombardier, jipange barabarani atakuwa anapita na mabakuli kamanda.
Usisahau picha ya mabakuli kamanda, PR wa CDM wamegoma kutupa picha akiwa ndani ya bombardier 🤣
 
Hii ndio habari inayosambaa kwa kasi Arusha kwa sasa, baadhi ya watu wanaotafuta huduma kwenye maofisi mbalimbali wamelalamika kukosa huduma baada ya maofisa kufika na kusaini kisha kutoroka ili kuwahi Mkutano Mkubwa sana wa Kampeni wa Rais Mtarajiwa Lissu.

Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa habari zaidi

Hao wafanya kazi ni wa chadema au ni wa serikari?
Ila mna roho ngumu sana mtu akiona hili bandiko lako na akikumbuka na yaliyopita huko dar anabaki kucheka tu
Hamkati tamaa sijui mna ugonjwa gani?
Yaai ingetokea na haitatokea mkashinda
Nyie timu ya umbea mgetakiwa kupewa nafasi za juu, maana hamuoni aibu?
 
CCM wengi wao ni maboya ....wanasomba watoto wa chekechea wanawapeleka kwenye mikutano yao.....leo tumefunga ofisi tunaenda kumsikiliza Lisu imekuwa nongwa ....***** zao
Chadema wao ni Mananga kabisa, sasa iyo ndio habari ya kuleta apa ? acha upimbi jamaa.
 
taarifa yenyewe ilivokaa utadhani mletaji katoroka milembe bt sishangai sana coz kujitoa faham ni miongoni mwa kanuni za kuwa kamanda.
 
Nashukuru tusi limekufikia na limekuuma ndo maana umehamisha goli kwa kutonitusi me direct ! unajua ukiwa na akili za ngamia ndo ukomo wa kufikiri unapoishia /// ungekuwa ndungu yangu ningekubadilisha na gunia la ufuta
Kama sijasahau, mbweha Ni mzazi wako wa kike,[emoji848]
 
Kamanda Lissu ameshaingia KIA na bombardier, jipange barabarani atakuwa anapita na mabakuli kamanda.
Usisahau picha ya mabakuli kamanda, PR wa CDM wamegoma kutupa picha akiwa ndani ya bombardier 🤣
Mbona umeng’ang’ania sana mabakuli?! Tunatoa pesa zetu kwa hiari yetu, usitufokee.
 
Kila la kheri wapinzani nyinyi ndio mnao wazidishia ubunifu watawala wetu
 
Sijui kwa kweli, sina habari za Kahama...
Vipi picha za mabakuli ya jana Segerea, mbona hatuzipati ?
Mm nafatilia mauno n misambwanda tu ya wacheza show wa bongo fleva, na kuangalia mipja ya Wasani bongo movie tu mambo ya segerea hkna burdan mzee

Ova
 
Back
Top Bottom