Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Kampuni gani ya Mabasi inayobamba mkoani kwako (Ruti unazosafiri mara nyingi)?

Hii kidia one nimeipanda sana 2013-2015 yani ilikuwa ndiyo first choice kwa safari ya Arusha to Dar. Wapo vizuri.

Huku mbeya kwa sasa kuna Scania Sauli, hili gari ni balsa. Pia tuna New force, happy nation, dar lux nk
 
Tabora-mpanda to mbeya ndo route dume!kuna gari kule hata umwagie mchuz wa sato mbwa halambi...ila yanatimua mbio balaa.....na kuna coastline moja fupi fupi hio ukipanda hakikisha umeandka urithi hio gari inatoka berenge acha#ngw'Abheja
 
New Force Ndio wanahio tabia mabasi yao yakichoka wanawauzia kampuni zingine.

Leo nimeona FRESTER ina rangi ya NewForce ila nahisi ni kama kampuni tanzu ya NEWFORCE

Wala sio kampuni tanzu ni watu wawili tofauti na frester yuko vizuri anaagiz mzigo mwenyewe sasa hivi. Huko kanda ya ziwa anakuja kwa kasi
 
Wala sio kampuni tanzu ni watu wawili tofauti na frester yuko vizuri anaagiz mzigo mwenyewe sasa hivi. Huko kanda ya ziwa anakuja kwa kasi
Nkuu angalia vizuri frester Juzi nimeona basi la rangi ya New Force usoni limeandikwa FRESTER
 
Wala sio kampuni tanzu ni watu wawili tofauti na frester yuko vizuri anaagiz mzigo mwenyewe sasa hivi. Huko kanda ya ziwa anakuja kwa kasi
2Q==.jpg


images.jpg





imgres.jpg


ges.jpg


LOOK AT SING SIMILARITIES
 
Nimesoma comments zote sijaona majina ya akina Kiazi kitamu, Sai baba, Arusha Express, Gracious, Rungwe Express, Majinja, Haji's, Hood n.k
Vipi wadau wa hizi kampuni hampo??
 
Jake brake hii kwenye gari za mmarekani kama Freight liner au Peterbit ni hatari sana huo mlio wake.
Mlio unaleta sana mzuka unaweza ukasahau kuwa vyuma vimekaza.
Freightline, Peterbilt, mack, international, Kenworth huzi gari sema ukweli sijawai kuziona Tanzania.
 
Mwanza- Biharamlo-Ngara_ Nyehunge
Karagwe-arusha-moshi _ kandahar
Kigari-Mwanza -Nairobi_ SIMBA
 
Freightline, Peterbilt, mack, international, Kenworth huzi gari sema ukweli sijawai kuziona Tanzania.
Hizo mbona zipo ila sio nyingi. Bakhresa,Ramada ana International.
Kuna kampuni ya Zambia inaitwa Khalif Motor wana Freight line kibao zinakuja bongo kubeba mafuta.
 
Ile route ni route dume mzee. Hakuna mchina anayeweza kustahimili ndo mana gari zake nyingi zimechuka.
Wanasubiri mchina ichoke, wanavua injini wanaweka jikoa scania.
Na kuna route ya Kampala-mbeya- Tunduma ilikuwa inapigwa na bas ya classic
 
Hizo mbona zipo ila sio nyingi. Bakhresa,Ramada ana International.
Kuna kampuni ya Zambia inaitwa Khalif Motor wana Freight line kibao zinakuja bongo kubeba mafuta.
Hizo nais ikiharibika spare ni had uagize USA. alafu kuna page uwa zinauzwa used na mpya yan yana bei ya kawaida sana mi huwa napenda sana muundo wake
 
Back
Top Bottom