Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Mjinga nambari oneWai chattle kalinde skeleton la kichaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga nambari oneWai chattle kalinde skeleton la kichaa
Upembuzi yakinifu ni hatua muhimu sana kabla ya kufanya uwekezaji. Kuna wakati tulinunua boti ya kufanya safari za Dar Bagamoyo bila upembuzi yakinifu, bila shaka tunajua hasara tuliyopata.Jemedari mkuu Magufuli angelikuwa hai ningeamini hilo jambo linawezekana bila upembuzi yakinifu lakini hawa waliopo ni michakato tu!
Hawez kujenga huo mradi nchi Ina Hali ngumu na miradi iliyopo Bado inatakiwa pesa nyingi kukamilishaKwa kuwa kama ilivyo kawaida yetu kila awamu lazima iache alama yake, na miradi mingi mikubwa serikali ya sasa inayofanya ni ile iliyoachwa na Magufuli.
Ngoja tuone miradi mikubwa ya awamu hii itakuwa ni ipi, naona huu wa daraja la Dar - Zanzibar utakuwa kama tulivyoona ule wa Kigongo - Busisi ulioasisiwa na mwendazake kule Mwanza, kila mtawala lazima apakumbuke nyumbani kwanza.
Kama ikitokea siku ujenzi huo ukaanza, naona huo ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa biashara ya boti za kusafirisha watu, mwendo hapo utakuwa ni magari tu yanapishana kwenda Zanzibar.
KWA wapigaji na watakatishaji kodi zetu huna tija kwaoUjenzi huo hauna tija waache tu
Mwaka jana walisema ifikapo mwezi wa 4 mwaka 2023 wataanza ujenzi wa daraja pale Jangwani.Serikali imeanza mazungumzo na Kampuni ya China Overseas Engineering Group Company (COVEC) ambayo imeonesha nia ya kuwekeza katika ujenzi wa daraja litakalo unganisha Tanzania Bara na Zanzibar.
Naibu Waziri wa Uchukuzi Godfrey Kasekenya amesema bungeni leo Aprili 28, 2023 kuwa Mazungumzo hayo yameanza Machi 11, 2023 na yalihusisha wataalamu kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Sekta ya Ujenzi kwa upande wa Tanzania Bara na Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kwa upande wa Zanzibar.
Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mwantum Dau Haji aliyetaka kujua mpango wa serikali kujenga daraja hilo, Naibu Waziri Kasekenya amesema bado mazungumzo yanaendelea na serikali inakusudia kujiridhisha na teknolojia zinazotumika katika ujenzi wa madaraja makubwa kabla ya kuanza ujenzi.
“Daraja hili litajengwa kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa utaratibu wa PPP (Public-Private Partnership),” amesisitiza Kasekenya.
#HabarileoUPDATES
View attachment 2602214
Waulize Wizara ya ujenziSamahani, Meli kubwa zitwekewewa vipande maalum kwa ajiki ya kupenya sio? Au ndio itabidi ziizunguke Zanzibar? Nani atalipia gharama hiyo?
Kujenga hilo daraja sio rahisi. Huo mradi kwa harakaharaka unaweza kugharimu trillion 30. Trilion 30 kujenga tu daraja kwa nchi hii bado sidhani kama tuna huo msuliHizi ndo hoja muhimu kwa nchi.
Tumezoeshana hoja za nani anataka urais, mara huyu kachepuka, mara fulani pisi kali......
Turudi hapa tujadili maendeleo ya nchi yetu.
Daraja lijengwe nitaomba nifanye jogging ya kwenda zenji na kurudi
Kiukweli haufai,hakuna Nchi iliyoendelea ilianza na mamiradi yasiyo na Tija kama hayoKujenga hilo daraja sio rahisi. Huo mradi kwa harakaharaka unaweza kugharimu trillion 30. Trilion 30 kujenga tu daraja kwa nchi hii bado sidhani kama tuna huo msuli
Unaamini tunaweza kujenga daraja kama hili kwa sasa?kisiwa cha Uingereza kimeunganishwa kwa daraja la chini kwa chinj, meli hazitaingiliwa njia zake, wanaweza fika hapo wakaweka hata daraja refu zaidi km myo Themes huko London
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Daraja Dar to Znz!!Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 40 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni..
My Take
Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia nusu ya gharama za Kujenga SGR.
Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa?
Hata kama kungekua na tija, bado hatuna uwezo wa kujenga daraja moja kwa gharama hizo.Kiukweli haufai,hakuna Nchi iliyoendelea ilianza na mamiradi yasiyo na Tija kama hayo
Waulizwe wahandisiDaraja Dar to Znz!!
Meli zitapitaje kuja Dar kutoka mataifa mengine....
Miradi ya Viongozi wa Tanzania inashangaza sana ,just imagine anachoongea huyu bwana hapa kina logic kabisa ila wenye akili ndogo Huwa hawaelewiWaliowahi kwenda .Jee huko kwao wameshajenga daraja la kupita mkondo mkali kama wa magogoni au Nungwi.