mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Ngoja Kigwangara Hamisi apige nao picha uone jinsi watanzania watakavyochangamkia fulsa!Hivi watanzania ujinga huu utatutoka lini...Yaani kuna watu Kabisa ktk akili zao wanajiingiza..
Forever Living, GNLD , AGIM , Mr. Kuku, Jatu PLC, Qnet, Deci; nk ila majitu hayakomi tuHivi watanzania ujinga huu utatutoka lini...Yaani kuna watu Kabisa ktk akili zao wanajiingiza..
Pyramid scheme, ni DECI, ningekuwa Kamanda Siro ningeenda kuwakamata woteKuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.
Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,
Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete
View attachment 2193460
Usisahau JATUIla Wabongo wasengreee sana, wamepigwa DECI, waapigwa Qnet
Bado huyu anapeleka kichwa chake huko Africell Kupigwa.
Mna Matatizo Gani ?
Hakuna shortcut katika kutafuta Hela