Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,483
- 6,257
D9 Club nilipigaga $6500 kabla haijafa.Usisahau JATU
Kulikuwa na D9
Kulikuwa na Mr Kuku
Kijani kibichi
Yaani nataka kuja na ya kwangu Mamushka&Bambushka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
D9 Club nilipigaga $6500 kabla haijafa.Usisahau JATU
Kulikuwa na D9
Kulikuwa na Mr Kuku
Kijani kibichi
Yaani nataka kuja na ya kwangu Mamushka&Bambushka!
Ukosefu wa ajira ndio huleta ajira za fedheha kama hizi.Kuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.
Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,
Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete
View attachment 2193460
DECIKuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.
Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,
Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete
View attachment 2193460
Ukitangaziwa fursa yenye kuvutia sana tambua wewe ndio fursa. Huu ni mvinyo uleule kwenye chupa mpya.. DECI, PYRAMID n the like..!Kuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.
Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,
Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete
View attachment 2193460
Wameshaweka sawa huko juu usiwaone wanajiaminiPyramid scheme, ni DECI, ningekuwa Kamanda Siro ningeenda kuwakamata wote
Lakini lazima pawepo na wanufaika hapo.Ila Wabongo wasengreee sana, wamepigwa DECI, waapigwa Qnet
Bado huyu anapeleka kichwa chake huko Africell Kupigwa.
Mna Matatizo Gani ?
Hakuna shortcut katika kutafuta Hela
Mr kuku naona bado anaendeleza promotions zake kwenye mitandao kama kawaida!
Hahaha bila kuwasahau Namaingo na yule bilionea mnunua mahindi na muuzaji wa SongeaJATU ....kawa chatu tayari
MR KUKU ..kawa nyoka
AFRICEL....Wanakumendea uwe mende mkuu
CHUKUA HATUA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wanyonge na Ngumbaru tunaenda kulia punde.
Hivi watanzania ujinga huu utatutoka lini...Yaani kuna watu Kabisa ktk akili zao wanajiingiza..