Kampuni ya Africell inadai ukiweka hela ndani ya siku 3 unapata Mara mbili yake. Je, imesajiliwa TRA, BRELA?

Kampuni ya Africell inadai ukiweka hela ndani ya siku 3 unapata Mara mbili yake. Je, imesajiliwa TRA, BRELA?

Nimeishia kucheka tu.
Ushauri: weka milioni 5 hata kwa kuuza shamba la ukoo kisha upate 10m yako hapo ukoo utawapa 5m yao maisha yanasonga
Usiache kuleta Uzi wa kuomba msaada wa kumpata tapeli wako.
 
Ila Wabongo wasengreee sana, wamepigwa DECI, waapigwa Qnet
Bado huyu anapeleka kichwa chake huko Africell Kupigwa.
Mna Matatizo Gani ?
Hakuna shortcut katika kutafuta Hela
Hayo si maajabu kubwa zaidi ccm kila mwaka wanatupiga na tumekaa kipoyopoyo tu.
 
Kuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.

Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,

Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete

View attachment 2193460
Gooooooooood Morniiiiiiiiiiiiing ,wajinga nido waliowao, mara DESI, Qnet, Mr KUKU now Aficell.
 
Kuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.

Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,

Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete

View attachment 2193460
DECI😂😂
 
HAYA HAYA SASA WENYE MAHABA NA KUTAPELIWA, DILI HILO 🤣🤣.

PELEKA KILO TATU, UPATE KILO SITA CHAPCHAP
 
Kuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.

Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,

Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete

View attachment 2193460
Ponzi scheme at work
 
Hizi kampuni zikianza mwanzoni wahi fursa kapige pesa kabla haijawa pyramid, zikianza tu fungua matawi ondoa pesa zako
 
Si Kwamba serikali haizijui huwa inasubiria Mitaji yao ikue kwanza wakifika tu b kuendelea ndo uingilia Kati kupiga pesa zao.
Kwani hela za Deci si ndo zishaenda hizo
 
Kuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.

Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,

Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete

View attachment 2193460
Kuna watu watakuja kulia Sasa hivi mr kuku huyo Deci et.al
 
Wazee wakudowload hela za bure hizo muende mkadowload..

Mkirudi huko njooni tuililie serikali ya CCM na kudai katiba mpya..
 
hope, they are investors from Nigeria..
Zainab from Wareware hotel with her brothers in different style..

niko English course hapa, nautaka Urais 2025.
 
Back
Top Bottom