Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,618
- 3,294
Ni kupigika Hadi kuchakaa Mkuu,Kuna watu wanaenda kupigwa tena!
Vilio vingi vinakuja si muda mrefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kupigika Hadi kuchakaa Mkuu,Kuna watu wanaenda kupigwa tena!
Ujing na mata maa ya hovyo mnoIla Wabongo wasengreee sana, wamepigwa DECI, waapigwa Qnet
Bado huyu anapeleka kichwa chake huko Africell Kupigwa.
Mna Matatizo Gani ?
Hakuna shortcut katika kutafuta Hela
⬇🏮🔰➡💰🏵💰⬅🔰🏮⬇🔰SHUGHULI ZOTE ZINAZOFANYWA NA AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS 🔰
🌸💰💸💰💸💰🌸
1⃣ 👉UUZAJI WA BIDHAA MBALIMBALI DUNIAN KOTE (BUYINGAND SELLING OF COMMODITIES)
2⃣ USAMBAZAJI NA UUZAJI WA MAFUTA YA PETROL NA DIESEL DUNIANI KOTE
3⃣ UNUNUZI NA UUZAJI WA FEDHA ZA KIGENI KATIKA SOKO LA DUNIA (foreign currency exchange)
4⃣ USAFIRISHAJI WA BIDHAA MBALIMBALI DUNIANI KOTE
5⃣
TUNATRADE FOREX, CRYPTOCURRENCY AND BUYING AND SELLING OF COMMODITIES KWANJIA YA MTANDAO
6⃣ UNUNUZI WA MADINI YA CHUMA, SHABA, KOPA NA DHAHABU KATIKA SOKO LA DUNIA
🔰🔰💰💰💸💸💰💰🔰🔰
KUTOKANA NA SHUGHULI HIZO AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS INAZALISHA FAIDA YA ASILIMIA🔺 150%🔺 KILA SIKU NA KUTOA GAWIO LA FAIDA YAKE KAMA (KRIPTON) YA ASILIMIA 🔺100%🔻 KWA MEMBERS WAKE KILA BAADA YA SIKU TATU TU
👉 🔺🔰HIZI SHUGHULI ZINAZOFANYWA NA AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS🔻🔰
Dollar Jet!Usisahau JATU
Kulikuwa na D9
Kulikuwa na Mr Kuku
Kijani kibichi
Yaani nataka kuja na ya kwangu Mamushka&Bambushka!
Mkuu hebu nieleze ni kwa namna gani hao Jatu ni wapigaji? Mimi nimeangalia video ya yule co founder ameinadi sana ila nimeshindwa kumuelewa.
Nakubali mwaisa🔰SHUGHULI ZOTE ZINAZOFANYWA NA AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS 🔰
🌸💰💸💰💸💰🌸
1⃣ 👉UUZAJI WA BIDHAA MBALIMBALI DUNIAN KOTE (BUYINGAND SELLING OF COMMODITIES)
2⃣ USAMBAZAJI NA UUZAJI WA MAFUTA YA PETROL NA DIESEL DUNIANI KOTE
3⃣ UNUNUZI NA UUZAJI WA FEDHA ZA KIGENI KATIKA SOKO LA DUNIA (foreign currency exchange)
4⃣ USAFIRISHAJI WA BIDHAA MBALIMBALI DUNIANI KOTE
5⃣
TUNATRADE FOREX, CRYPTOCURRENCY AND BUYING AND SELLING OF COMMODITIES KWANJIA YA MTANDAO
6⃣ UNUNUZI WA MADINI YA CHUMA, SHABA, KOPA NA DHAHABU KATIKA SOKO LA DUNIA
🔰🔰💰💰💸💸💰💰🔰🔰
KUTOKANA NA SHUGHULI HIZO AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS INAZALISHA FAIDA YA ASILIMIA🔺 150%🔺 KILA SIKU NA KUTOA GAWIO LA FAIDA YAKE KAMA (KRIPTON) YA ASILIMIA 🔺100%🔻 KWA MEMBERS WAKE KILA BAADA YA SIKU TATU TU
👉 🔺🔰HIZI SHUGHULI ZINAZOFANYWA NA AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS🔻🔰
Hapo sawaHiyo laki 5 ukibet kwa buku ten ten mpaka inaisha, walau utapata kafaida.
DECIKuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.
Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,
Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete
View attachment 2193460
Anza na 500/- kwanza kutest mitambo...Kuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.
Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,
Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete
View attachment 2193460
Mkuu nakuunga mkono. Ikiwezekana naomba unishirikishe. Nchi imejaa wajinga hii mtu kufa maskini ni kujitakia. Bado kuna areas nyingi tu za kuvuna fedha za bure. Uganga wa kienyeji, uchungaji wa upako......Usisahau JATU
Kulikuwa na D9
Kulikuwa na Mr Kuku
Kijani kibichi
Yaani nataka kuja na ya kwangu Mamushka&Bambushka!
Mi mwenyewe nashangaaMkuu mbona unadanganya watu humu, huo ni mtandao wa simu na hata hiyo picha ni wafanyakazi wa hiyo kampuni ya simu Uganda nenda kaangalie hilo jina vizuri
Uwa kanuni ni wa mwanzo kula wa mwisho kuliwa maana at some point lazima wanaodai wawe wengi kuliko pesa inayoingiaD9 Club nilipigaga $6500 kabla haijafa.
washapigwa kitambo wamelia mpaka kujambaKuna pama fund hii imepakata wahuni wengi sana fas ya bongo