Kampuni ya Africell inadai ukiweka hela ndani ya siku 3 unapata Mara mbili yake. Je, imesajiliwa TRA, BRELA?

Kampuni ya Africell inadai ukiweka hela ndani ya siku 3 unapata Mara mbili yake. Je, imesajiliwa TRA, BRELA?

Ila Wabongo wasengreee sana, wamepigwa DECI, waapigwa Qnet
Bado huyu anapeleka kichwa chake huko Africell Kupigwa.
Mna Matatizo Gani ?
Hakuna shortcut katika kutafuta Hela
Ujing na mata maa ya hovyo mno
 
🔰SHUGHULI ZOTE ZINAZOFANYWA NA AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS 🔰

🌸💰💸💰💸💰🌸

1⃣ 👉UUZAJI WA BIDHAA MBALIMBALI DUNIAN KOTE (BUYINGAND SELLING OF COMMODITIES)

2⃣ USAMBAZAJI NA UUZAJI WA MAFUTA YA PETROL NA DIESEL DUNIANI KOTE

3⃣ UNUNUZI NA UUZAJI WA FEDHA ZA KIGENI KATIKA SOKO LA DUNIA (foreign currency exchange)

4⃣ USAFIRISHAJI WA BIDHAA MBALIMBALI DUNIANI KOTE

5⃣
TUNATRADE FOREX, CRYPTOCURRENCY AND BUYING AND SELLING OF COMMODITIES KWANJIA YA MTANDAO

6⃣ UNUNUZI WA MADINI YA CHUMA, SHABA, KOPA NA DHAHABU KATIKA SOKO LA DUNIA

🔰🔰💰💰💸💸💰💰🔰🔰

KUTOKANA NA SHUGHULI HIZO AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS INAZALISHA FAIDA YA ASILIMIA🔺 150%🔺 KILA SIKU NA KUTOA GAWIO LA FAIDA YAKE KAMA (KRIPTON) YA ASILIMIA 🔺100%🔻 KWA MEMBERS WAKE KILA BAADA YA SIKU TATU TU

👉 🔺🔰HIZI SHUGHULI ZINAZOFANYWA NA AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS🔻🔰
 
🔰SHUGHULI ZOTE ZINAZOFANYWA NA AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS 🔰

🌸💰💸💰💸💰🌸

1⃣ 👉UUZAJI WA BIDHAA MBALIMBALI DUNIAN KOTE (BUYINGAND SELLING OF COMMODITIES)

2⃣ USAMBAZAJI NA UUZAJI WA MAFUTA YA PETROL NA DIESEL DUNIANI KOTE

3⃣ UNUNUZI NA UUZAJI WA FEDHA ZA KIGENI KATIKA SOKO LA DUNIA (foreign currency exchange)

4⃣ USAFIRISHAJI WA BIDHAA MBALIMBALI DUNIANI KOTE

5⃣
TUNATRADE FOREX, CRYPTOCURRENCY AND BUYING AND SELLING OF COMMODITIES KWANJIA YA MTANDAO

6⃣ UNUNUZI WA MADINI YA CHUMA, SHABA, KOPA NA DHAHABU KATIKA SOKO LA DUNIA

🔰🔰💰💰💸💸💰💰🔰🔰

KUTOKANA NA SHUGHULI HIZO AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS INAZALISHA FAIDA YA ASILIMIA🔺 150%🔺 KILA SIKU NA KUTOA GAWIO LA FAIDA YAKE KAMA (KRIPTON) YA ASILIMIA 🔺100%🔻 KWA MEMBERS WAKE KILA BAADA YA SIKU TATU TU

👉 🔺🔰HIZI SHUGHULI ZINAZOFANYWA NA AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS🔻🔰
⬇🏮🔰➡💰🏵💰⬅🔰🏮⬇
Kwa mawasiliano zaidi piga simu📲 huduma kwa wateja 🙏✍

Airtel📲👉07864........

Tigo📲👉06753..........

Halotel📲👉06229.........
 
🔰SHUGHULI ZOTE ZINAZOFANYWA NA AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS 🔰

🌸💰💸💰💸💰🌸

1⃣ 👉UUZAJI WA BIDHAA MBALIMBALI DUNIAN KOTE (BUYINGAND SELLING OF COMMODITIES)

2⃣ USAMBAZAJI NA UUZAJI WA MAFUTA YA PETROL NA DIESEL DUNIANI KOTE

3⃣ UNUNUZI NA UUZAJI WA FEDHA ZA KIGENI KATIKA SOKO LA DUNIA (foreign currency exchange)

4⃣ USAFIRISHAJI WA BIDHAA MBALIMBALI DUNIANI KOTE

5⃣
TUNATRADE FOREX, CRYPTOCURRENCY AND BUYING AND SELLING OF COMMODITIES KWANJIA YA MTANDAO

6⃣ UNUNUZI WA MADINI YA CHUMA, SHABA, KOPA NA DHAHABU KATIKA SOKO LA DUNIA

🔰🔰💰💰💸💸💰💰🔰🔰

KUTOKANA NA SHUGHULI HIZO AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS INAZALISHA FAIDA YA ASILIMIA🔺 150%🔺 KILA SIKU NA KUTOA GAWIO LA FAIDA YAKE KAMA (KRIPTON) YA ASILIMIA 🔺100%🔻 KWA MEMBERS WAKE KILA BAADA YA SIKU TATU TU

👉 🔺🔰HIZI SHUGHULI ZINAZOFANYWA NA AFRICELL CAPITAL INVESTMENTS🔻🔰
Nakubali mwaisa
 
Mkuu mbona unadanganya watu humu, huo ni mtandao wa simu na hata hiyo picha ni wafanyakazi wa hiyo kampuni ya simu Uganda nenda kaangalie hilo jina vizuri
 
Tusubiri wavunaji wakivuna vilio

Sifa ya ponzi scheme ndio hizo ,
 
Kuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.

Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,

Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete

View attachment 2193460
DECI
 
Kuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.

Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,

Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete

View attachment 2193460
Anza na 500/- kwanza kutest mitambo...
 
Usisahau JATU

Kulikuwa na D9

Kulikuwa na Mr Kuku

Kijani kibichi

Yaani nataka kuja na ya kwangu Mamushka&Bambushka!
Mkuu nakuunga mkono. Ikiwezekana naomba unishirikishe. Nchi imejaa wajinga hii mtu kufa maskini ni kujitakia. Bado kuna areas nyingi tu za kuvuna fedha za bure. Uganga wa kienyeji, uchungaji wa upako......
 
Back
Top Bottom