Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hayo si maajabu kubwa zaidi ccm kila mwaka wanatupiga na tumekaa kipoyopoyo tu.Ila Wabongo wasengreee sana, wamepigwa DECI, waapigwa Qnet
Bado huyu anapeleka kichwa chake huko Africell Kupigwa.
Mna Matatizo Gani ?
Hakuna shortcut katika kutafuta Hela
Usisahau kuleta mrejeshoNimekopa bank milioni 6 naenda kuweka baada ya siku tatu najua nitapata mil 12. Mniombeeni jamani
Gooooooooood Morniiiiiiiiiiiiing ,wajinga nido waliowao, mara DESI, Qnet, Mr KUKU now Aficell.Kuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.
Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,
Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete
View attachment 2193460
DECI😂😂Kuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.
Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,
Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete
View attachment 2193460
Hapo mwongeze na Ugumu wangu
Ponzi scheme at workKuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.
Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,
Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete
View attachment 2193460
Kuna watu watakuja kulia Sasa hivi mr kuku huyo Deci et.alKuna Kampuni inadai wao wanajishughulisha na biashara mbalimbali, ikiwemo kuuza na kununua Mafuta oil diesel duniani, kuuza bizaa mbalimbali, kununua Madini, usafirishaji wa meli.
Wao wanadai wanesajiliwa TRA, Brella, staili yao ni Moja tu, ukiwekeza kuanzia laki moja Hadi milioni 50 ndani ya siku tatu unapata fedha mara mbili yake, mfano ukiwekeza milioni 10 ndani ya siku tatu unapata milioni 20. Kampuni hii inapiga promo na inaonekana watu wapo wakujiunga,
Ila hizi biashara za kuweka milioni 50 halaf ndani ya siku 3 unapata milioni 100, naishiwa nguvu kabisa. Watanzania tutaacha lini hizi chuma ulete
View attachment 2193460
HahahaaaTozo tu ya sh 100 kwenye kiwese inataka kututoa roho bado na nyie tena mnataka mpite na marupurupu yetu tena
Ila haya mambo kwa Nini serikali inayaachia yanafanya utapeli kwa muda mrefu ndio inaingilia kati kukamata hela?JATU ....kawa chatu tayari
MR KUKU ..kawa nyoka
AFRICEL....Wanakumendea uwe mende mkuu
CHUKUA HATUA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app