Kampuni ya Africell inadai ukiweka hela ndani ya siku 3 unapata Mara mbili yake. Je, imesajiliwa TRA, BRELA?

sudii slaa we tapeli na kuna demu anaitwa happy ephraim ndo wanaingiza wenzao mkenge
 
Hawa walikuwa wanajiita iron trading Platform [emoji1787][emoji1787]...walimpiga Ex bf wangu 100000/= na block moja kubwa sana..alafu namba yake wakamsave "kum*kenge" wakaanza kumcheka[emoji1787] [emoji1787][emoji1787]..haki niiiinyiiiii
 
Mkuu nakuunga mkono. Ikiwezekana naomba unishirikishe. Nchi imejaa wajinga hii mtu kufa maskini ni kujitakia. Bado kuna areas nyingi tu za kuvuna fedha za bure. Uganga wa kienyeji, uchungaji wa upako......
Babu alitupiga na kikombe!
Inabidi tuamke, hata tuuze chupi za upako! Aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…