Kampuni ya utalii yapigwa faini kwa kuwaruhusu Watalii kula hadharani Zanzibar

Hii dini hii sijui ilianzishwa na kiumbe gani!! Wanafunga mchana ili wale Usiku Kucha sisi tukiwa tumelala!! Funga ni yako, Dini ni yako na Thawabu kama kweli zipo ni zako sasa nongwa ya nini??
Hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani,? Sii ubaki kwenu I ujinga ni mzigo pole sana
 
Wewe ndio mjinga sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani,? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
Mambo ya imani hayatumii nguvu zinazo onekana boss. Mwana dini akimpiga mwanadamu mwenzake baada ya kumkosea ana tofauti gani na mtu asiye na dini? Kwenye imani ni mahali pakupata amani wanaogombana na kupigana kwa nguvu zinazo onekana watofautiana vipi na watu wasio na dini. Maana hata wachawi hawamwadhibu mtu anaye wakosea kwa nguvu zinazoonekana. Wanafanya maombi kwanini msimwombee.
 
Hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani,? Sii ubaki kwenu tanganyika ujinga ni mzigo pole sana
Hebu taja hiyo sheria kama ipo....wewe sasa umefunga nini kama unadanya kitu ambacho hakipo
 
Mbona wengine mna wakamata kamateni na Hao
 
Hii dini hii sijui ilianzishwa na kiumbe gani!! Wanafunga mchana ili wale Usiku Kucha sisi tukiwa tumelala!! Funga ni yako, Dini ni yako na Thawabu kama kweli zipo ni zako sasa nongwa ya nini??
Hii ni dini ya haki inayomwsmini Mungu mmoja na siyo dini zinazoanzishwa na watu mbalimbali kwa ajili ya kujipatia vipato,kila mtu anazisha kanisa lake na anaweka utaratibu wake.Ukristo uko kanisa katoliki na KKT,hilo kanisa lako sijui limeanzishwa na nani?
 
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ€”
 
Haya majamaa ndio maana hata kwenye nchi zao hayakaagi na amani, Hayanaga akili
 
Waislam wengi huwa hawana akili kabisaa hata kama kasoma degree ngapi.
Ila ndio wanaowakimbiza nchi hii, nyie makafir unafki na chuki ndio unswasumbua hao unaowaita wajinga ndio wameshikilia uchumi wa nchi yako top 15 ya matajiri nchi hii kuna mkristo mmoja tu mzee mengi ambae naye baada ya kufa mali zote zimeanza kupotea sasa hapo nani mwenye akili?
 
Wanamkimbiza nani wewe lofa? Hao matajili wanao jilimbikizia mali wao binafsi kwa sababu ya ubaguzi wenu, wakristo wanajenga miundombinu ya kusaidia jamii ndio maana mahospitali makubwa, shule nzuri zipo huko na nyie na vikaptura vyenu na makobazi na mahijabu na majuba mnaenda kutibiwa huko kwa upendo na amani hiyo ndiyo dini ya kweli,dini gani mnapiga wenzenu eti kisa wanakula hiyo ni dini au takataka tu, nyie wafuga majini na mashetani na utajiri wa majini na mashetani kutwa ndio maana waislamu wanajazana kwa mwamposa kupunguza majini maana hadi yanawaelemea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…