Kampuni ya utalii yapigwa faini kwa kuwaruhusu Watalii kula hadharani Zanzibar

Wanatafuta kihalali kwenye biashara zao bakhresaa akuibie nini weweckapuku? huku hao wengine ndio wanasubiri hela za umma wapeww kila mwezi na serikali ndio wajenge hizo shule na hospitali
 
Kula nyumbani kwako huguswi. Wakiristo wa Zanzibar wanajifanya kama siasa za Chama tawala na upinzani kwamba nitafanya maandamano hufanyi. Dawa yao ni hiyo tu ukila hadharani
Sheria ipi ya nchi, embu niekimishe ni kifungu gani hapo zanzibar kinataka hivyo?
 
Kwani watalii nao wanatakiwa kufunga?

Yaan mtu alipe fees zote za utalii aje kushinda njaa huko visiwani?

Hii akili ya wapi ety???
Yani hii dini inazua migogoro kila mahali
 
Hawa wavaaa makobaziii wanadhani kubadili ratiba ya kula ni neema ya kuepusha na ufilanaji wao? Mbona hawakemeani?. Pumbavu zao
 
Ngoja tu mwezi wa kushinda njaa uishe waendelee Kufilana hawana akili majin wale.
 
Sheria ipi ya nchi, embu niekimishe ni kifungu gani hapo zanzibar kinataka hivyo?
Kula mchana mbele za watu halafu ndio utajua. Kuna sheria yoyote ya kukuzuia kuingia ikulu? Lkn jaribu kuingia utaona.
 
Kwani watu wakila hadharani wao wanapungukiwa nini? Hawa jamaa wana upumbavu wa milele!
Hivi kwa nini hawa watu hawataki kufuata sheria za wenzao?

Wewe umeenda nyumbani kwa mtu, kwa nini ugome kufuata sheria zake?

Mimi nashauri wanaokula mwezi wa ramadhani wanyongwe mpaka kufa.
 
Kula mchana mbele za watu halafu ndio utajua. Kuna sheria yoyote ya kukuzuia kuingia ikulu? Lkn jaribu kuingia utaona.
Bado hujaiibu swali, unajibu blah blah tu. Najitaji kueleweshwa ni kifungu kipi cha sheria? Kwani wewe hukijui?
 
You know what!!! It's funny even by looking at it 🤣🤣🤣
 
Hahahha wamepotea kwa aibu hata hizi nyuzi hawachangii tena
Inawezekana hawachangii kwa sababu wameona ni nyuzi za kizuzu na wachangiaji ni mazuzu yaliyojaa chuki za kidini zilizopitiliza.
Mazuzu yanayotetea katiba wasioielewa na kutoa irrelevant arguments na kuwakotia Aya za kitabu wasichokiamini wakiamini ni SI Book.
 
Kwani watalii nao wanatakiwa kufunga?

Yaan mtu alipe fees zote za utalii aje kushinda njaa huko visiwani?

Hii akili ya wapi ety???
kwani ameambiwa afunge au asile hadharani? Hivyo ni vitu viwili tafauti
 
Sio kweli mkuu jaribu kuweka utetezi na uhalali kwa yanayoendelea hapo znz .
Ni sawa kupiga mtu sababu amekula mchana ihali hajala usiku kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…