Kanali wa Iran auawa kwa mashambulio ya Pakistan katika ardhi ya Iran

Yesu ni Mungu soma yohana 1:14
 
BREAKING: Precision strikes in Iran were carried out using killer drones, rockets, loitering munitions and stand-off weapons, Pakistan army says
 
BREAKING:

Iran announces that 7 ppl were killed in a missile strike by the Pakistani Army near the Iranian city of Saravan.

The strike against the Balochi group was in response to an Iranian ballistic missile attack against Pakistan a day earlier.

Tensions grow between 🇮🇷🇵🇰
 
Katika mashambulizi yote ambayo Israel amefanya hakuna hata moja alojitokeza na ku claim.
LETA HAPA MM NASUBIRI.
HIYO ISRAEL LINI ILIINGIA IRAN KWA KUJULIKANA NA IKAFANYA MASHAMBULIZI KAMA SIO KUTUMIA MAMLUKI WA KIARABU KUFANYA MASHAMBULIZI?
Houthi mikakati yake ni kuzuia meli zisipite kwenda ISRAEL,NITAJIE MELI GANI ILOFANIKIWA KUPITA TOKA HOUTHI WAFANYE MASHAMBULIZI.
Hiyo inaonesha mashambulizi ya US hayana athari maana jana Houthi wamefanya retaliation japo meli ya USA ilipata minor damage.
Israel mbona wanapitia mengi tu kwa Hizbollah au hujapata taarifa ya Hizbollah alivyofanya mashambulizi madogo madogo kabla ya october 7?
Huwezi kuwaita hamas na hizbollah magaidi ilhali wanapigania ardhi zao.
Hamas na hizbollah na Houthi wote wanatambulika nn wanafanya.
Nitajie aina ya makundi ya Pakistan na unambie motives zao kesha tufananishe na houthi.
Hiyo houthi ndio chama cha siasa kinachoungwa mkono na 80% ya raia wa Yemen na ndio walimuweka mansour kuwa kiongozi wa mpito kabla hajang'ang'ana na kubaki madarakani.
Ndio Syria ni failed state ila ASSAD HAJATOLEWA USA WAMEFELI KUMTOA ASSAD .
Nitajie siku Israel iloingia Iran na kufanya mashambulizi ikijulikana kama inavyofanya Gaza?????
Ukintajia nalog off JF na siingii tena.
USISAHAU HUKO RUSSIA SILAHA ZA IRAN NDIO ZIMEMTIBUA NYONGO UKRAINE USISAHAU HILO.
 
Naona weewe ulienda kusomea ujinga.

Wacha kuwa mwalimu wa shule za kata kwenye mitandao, huo ubakishe hukohuko shule unayowasomesha ujinga. Ku 'complicate" mambo yasiyihitaji "comlications".
Una akili nyepesi vitu vidogo unaita complications
Ukitaka mambo mepesi jadili kupika na kifua, hii mada hata jukwaa lake sio la akili fupi kama zako. Unadai ni mwalimu wa kata na huwezi nielewa, sasa duniani utamuelewa nani. Hata kilaza ana nafuu
 
Ulivyoelezea mwanzo ni kama Pakistan na India ni ethnicity tofauti,Kama walikua wakiwasilimisha kwa nguvu,wakikataa wanawaua,mbona wahindu ni wengi kuliko waislam na waislam walitawala hapo kwa zaidi ya Karne!?..uwe unachambua mambo,siyo unabugia tu kisa chuki zako kwa uislam
 
Wameshambulia Baluchistan upande wao,wameuawa watu 11, wanawake 7 na watoto wanne
 
Yesu ni Mungu soma yohana 1:14
Yoh 1:14 Kwa hiyo Neno akawa mwili, akakaa kati yetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu ulio kama wa mwana mzaliwa pekee kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa kibali cha Mungu utukufu ulio kama wa mwana mzaliwa pekee kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa kibali cha Mungu na kweli

Mbona hata hiyo yohana 1:14 bado imeweka tofauti ya yesu na mungu "utukufu ulio kama wa mwana mzaliwa pekee kutoka kwa baba; naye alikuwa amejaa kibali cha Mungu na kweli"
 
Hapa ndo mataifa kama china na india yanapowapiga gap haya maifa mengine ya asia, china na india japo ya kua na migogoro midogo ya mipaka, pamona na mambo mengine ya kibiashara hawalipuani ovyo ovyo na kwenye kuchapa kazi wanachapa kazi, sasa haya maifa mengine ya middle wast kila mtu kutafuta kuwa mwamba wanajirudisha nyuma wenyewe tu
 
Yesu ni Mungu soma yohana 1:14
Biblia inasadiki vyote ni sahihi,kwamba yesu ni Mungu mkuu na ni mwana wa Mungu,na mtume wa Mungu,na wote wapo sahihi.... QUR'AN inasema wakiristo hawana uhakika juu ya Hilo, wanasema waliyosema waliotangulia kabla yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…