Huna akili. Kwahiyo umegeuka vyombo vyaa usalama sasa unatoa na ripoti kabisaWewe unaamini waliofanya tukio hilo ni vibaka au majambazi? Jambazi gani ataingia mahali afanye uharibifu na asiibe chochote?
Vituko hivi yumkini vina mkono wa CCM na Serikali yake ili kuwavunja moyo maaskofu wa Kanisa Katoliki waliosimama wazi na kupinga ule mkataba wa kishenzi wa DP World.
Tutarajie mengi zaidi ya haya dhidi ya Kanisa Katoliki na viongozi wake LAKINI Kanisa lililojengwa juu ya Mwamba (Petra) halitayumba wala kuanguka, maana mjenzi ni Kristo mwenyewe.
DP-WORLD wanaendelea na kazi bandarini sasa mbona wamechelewa?Dili lao na DP World linakwamishwa na Kanisa 'Katoliki'
hahaha. Umesema vyema ila ninacheka. Nimemkumbuka luka eymail wa yanga alisema hivihivi kwenu wanautopolo.Kuna baadhi ya watu hawakustahili kabisa kuzaliwa kama binadamu. Badala yake walitakiwa kuzaliwa kama wanyama waharibifu! Mfano nyani, kunguru, nk. Maana wanakosa kabisa sifa ya ule ustaarabu wa mwanadamu.
Hivi ripoti ya kupigwa risasi Lissu ilishatoka?Huna akili. Kwahiyo umegeuka vyombo vyaa usalama sasa unatoa na ripoti kabisa
Nyumba zote za ibada za dini zote duniani zinapaswa kuheshimiwa na sio turbenako peke yake. Mimi sina dini lakini kamwe siwezi kufanyia dhihaka dini za wengine.Hao wanatafuta uchizi kwa lazima ,haipiti wiki Kama hawajakamatwa ,watakua vichaa au marehemu,wakaombe msamaha ndio pona yao,chezea kote lakini sio turbenako
Ipo nenda kituoni utapewaHivi ripoti ya kupigwa risasi Lissu ilishatoka?
Waachwe wasome hata mwaka mzima.kwanza kazi bandarini zimeshaanza wanapoteza muda na nguvu zoa bureHawataki waraka usomwe.
Swali lako ni la kijinga na yawezekana kichwani mwako kuna minyoo inakusumbua kiasi cha kushindwa kutumia intelligence uliyonayo.Huna akili hivi makanisa yapo mangapi nchi nzima waende kuvamia huko
Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - Maxence MeloPoleni sana kanisa katoliki ngara
Nb; katoliki mnailea sana CCM ebu ikataeni sasa
Hao ni ccm na makuwadi yao.Duh,,, saiv watu wananjaa yaan uvunje church ili ule ekarist😅
Mazingira ya uvamizi yanaashiria ni wao. Waraka umewaibua mashetwani wenye ngozi ya kondoo.CCM inahusiana nini na hao wavamizi?
Punguza mihemko.Kwahio wakifunga ndio inakuwaje ?
Nilidhani uwepo wao hao waumini ndio utakatifu wenyewe na usafi !!!! Haya mambo haya kwani hata kama hakuna ukuta au Bati wanashindwa kusali chini ya miti au kwenye uwazi au hata kibarazani ?
Nadhani hizi ni complications; kwahio likitokea wimbi la so called unajisi makanisa yote yatagungwa ?
Weka CCTV Cameras (They seem to work more kuliko Maombi)
Kwani sio nyie huwa mnalia kila siku nchi inaongozwa na mfumo Kristo? sasa unalia nini!Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako - Maxence Melo
Nenda kituo chochote cha karibu cha polisi ukatoe hayo maelezo inaonekana una vitu unavifahamu unaweza kusaidia upelelezi .Mazingira ya uvamizi yanaashiria ni wao. Waraka umewaibua mashetwani wenye ngozi ya kondoo.
Nenda kituo chochote cha karibu cha polisi ukatoe hayo maelezo inaonekana una vitu unavifahamu unaweza kusaidia upelelezi .Hahahahahaaa kuna watu wapumbavu kama nyie kimburu wa samia mnaoshangilia bandar za tanganyika kuuzwa huku za zanzibar zikiachwa, ona leo hii mmeamua kuvamia kanisa takatifu katoliki la mitume ambalo linapinga uchoko uliofanywa na samia na genge lake la waluohongwa akiwemo mkumbo,msukuma na mbarawa.
Walishalaaniwa toka matumboni kwa mama zao na laana hiyo ndiyo iliyowasukuma kufanya hivyo. Binadamu wa kawaida hawezi kufanya hivyo.Hao wanatafuta uchizi kwa lazima ,haipiti wiki Kama hawajakamatwa ,watakua vichaa au marehemu,wakaombe msamaha ndio pona yao,chezea kote lakini sio turbenako
Upo sahihiWashukiwa wakwanza wa hilo tukio wawe serikali, CCM na DP World