- Thread starter
- #21
Mimi mleta habari ni muislamWasabato bana.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mleta habari ni muislamWasabato bana.......
Wewe ndio hujaelewa! Watu wote milango iko wazi bila kujali dhambi zako. Kama lipo Kanisa linalokataza wadhambi wa aina fulani basi hao hawahubiri injili.Sijasema papa amebariki nimesema Papa alivyoshauri,Soma uelewe, Papa alishauri kanisa lifungue milango kwa mashoga kwani wote ni watoto wa Mungu
Bro mbona inahangaika Kama unatafuta g spot!!?..Wewe ndio hujaelewa! Watu wote milango iko wazi bila kujali dhambi zako. Kama lipo Kanisa linalokataza wadhambi wa aina fulani basi hao hawahubiri injili.
Usichoelewa ni wewe kufikiri kwamba Papa ameshauri mfano Kanisa kutambua ndoa zao! Hilo haiwezekani na Papa alishasema mara nyingi hilo Kikanisa haiwezekani.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Pole Sana mhafidhina,naona hukubali maridhiano
Kwan Muslim na msabato si pipa na mfuniko shekh au unakula nguruwee siku hizMimi mleta habari ni muislam
Unavyojua wewe uislam ni kutokula nguruwe!?Kwan Muslim na msabato si pipa na mfuniko shekh au unakula nguruwee siku hiz
Yapo mengi japo ilo ndo msingi wenu mkuu kwenye imanUnavyojua wewe uislam ni kutokula nguruwe!?
Kakwambia nani kutokula nguruwe ni nguzo ya uislam!?..ukitaka kuongelea Jambo jielimishe kwanzaYapo mengi japo ilo ndo msingi wenu mkuu kwenye iman
Kkkt sabato hawa ni wakiristo wenzenu nyote imani yenu 1 yesu Mungu mkuuRoman Catholic inapigwa vita na wayahudi,walokole,kkkt,wasabato,waislam,nk lakini bado kanisa lipo imara !.kweli nguvu ya Mungu ipo Roman Catholic.
🤣🤣🤣Mshamba wa wapi wewe?Yapo mengi japo ilo ndo msingi wenu mkuu kwenye iman
Soma uelewe acha kukurupukaKkkt sabato hawa ni wakiristo wenzenu nyote imani yenu 1 yesu Mungu mkuu
Ndio maana kanisa Anglikan Uganda limeamua kujitenga na kanisa kuu la Canterbury la uingereza kwa ajili ya mambo kama hayaNdiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
Hivi majuzi alisema ushoga;Ndiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
Nimejibu maswali mengi Sana kwenye maisha yangu,Sina time ya kujibu maswali ya kiwakiHivi majuzi alisema ushoga;
Ni dhambi ila si jinai
si dhambi ila ni jinai
Si dhambi na si jinai
Ni dhambi na ni jinai.
Jibu alilotoa ni lipi?
Na msingi wa kauli yake ni nini?
Nimeweka DW mzee,au huijui DW!?Kipi chanzo cha taarifa yako🤷♂️
Mkuu PAPA alishamaliza kila kitu Roman Catholic haina noma na ushogaSijasema papa amebariki nimesema Papa alivyoshauri,Soma uelewe, Papa alishauri kanisa lifungue milango kwa mashoga kwani wote ni watoto wa Mungu