Mwalimu kp
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 574
- 488
ACHA UjingaNdiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACHA UjingaNdiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
Roman Catholic, Lutheran, Anglican ni makanisa ya ulaya magharibi Afrika hawana haki yoyote zaidi ya kufuata tu order toka makao makuu.Haya makanisa makubwa ya ulaya na amerika kama yanafungisha ndoa za mashoga yasiburuze makanisa ya afrika kufanya uchafu huo. Bora makanisa ya afrika yajitenge nao, yabaki na msimamo wa biblia kuhusu ulawiti/ufiraji kama ilivyoandikwa
Nani kapanic? Ndyo mpka sasa kanisa lililoruhusu ushoga ni moja tu, roman catholicUnapanic nini ? Kanisa ni moja tu Roman Catholic.
Nini maana ya kanisa la Anglican?Ndio maana kanisa Anglikan Uganda limeamua kujitenga na kanisa kuu la Canterbury la uingereza kwa ajili ya mambo kama haya
Weka taarifa yako vizuriNdiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
Wewe jamaa habari ndio huwa zinafikishwa namna hiyo.Unalenga kusema nini mkuu!?..mi nimefikisha tu habari
Si nimeweka hapo DW mzeeSiaa habari ndio huwa zinafikishwa namna hiyo.
Tukuaminije, mtu umeshiba zako ukaja kuandika humu, leta uthibitisho(reference) wa habari yako
Wee mwenyewe ni RC 🤣🤣Bado tutaona mengi
Hujaelewa nini,mbona ipo clearWeka taarifa yako vizuri
Wala hata usingetumia muda wako kumjibu.Despite the Catholic Church's teaching on homosexual marriage, the Church has gone to great lengths to ensure that individuals who experience same-sex attraction are not denied the sacraments. Pope Frances has said that "homosexuals have a right to be a part of the family. ... They're children of God and have a right to a family. Nobody should be thrown out, or be made miserable because of it."[70][71] While the Catholic Church explicitly denies its blessing for marital union between two people of the same sex, the Catechism of the Catholic Church goes into great detail when describing the legitimacy of individuals who identify as gay as beloved children of God.
Vatican Says Catholic Church Cannot Bless Same-Sex Marriages
March 15, 202110:05 AM ET
![]()
A new message from the Vatican underlines its objection to same-sex marriage. The message cited Pope Francis' own words from 2016.
The Roman Catholic Church cannot bless same-sex marriages, no matter how stable or positive the couples' relationships are, the Vatican said on Monday. The message, approved by Pope Francis, came in response to questions about whether the church should reflect the increasing social and legal acceptance of same-sex unions.
"Does the Church have the power to give the blessing to unions of persons of the same sex?" the question asked. "Negative," replied the Vatican's Congregation for the Doctrine of the Faith, which is responsible for defending Catholic doctrine.
Ndio na hapa nimetoka jumuiyaWee mwenyewe ni RC 🤣🤣
Yaan Africa wawe na msimamo wa dini kuliko wenye dini yao??Haya makanisa makubwa ya ulaya na amerika kama yanafungisha ndoa za mashoga yasiburuze makanisa ya afrika kufanya uchafu huo. Bora makanisa ya afrika yajitenge nao, yabaki na msimamo wa biblia kuhusu ulawiti/ufiraji kama ilivyoandikwa
Alafu wao hawana muda wa kuanza kupiga vita dini zingine.Roman Catholic inapigwa vita na wayahudi,walokole,kkkt,wasabato,waislam,nk lakini bado kanisa lipo imara !.kweli nguvu ya Mungu ipo Roman Catholic.
Kunywa paracetamol upunguze maumivuNani kapanic? Ndyo mpka sasa kanisa lililoruhusu ushoga ni moja tu, roman catholic
Sasa tulia, wameanza kuwaruhusu muoane wanaume Kwa wanaume.Ndio na hapa nimetoka jumuiya
Haha haha haha kanisa la MashogaNdiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
Sogeza facilities za kutuaminisha kuwa ni DW. Huko DW habari ni nyingiNimeweka DW mzee,au huijui DW!?
Hapo ndipo panaposhangaza anayeitwa shetani ukiangalia matendo yake ni mema kuliko anayemuita.Alafu wao hawana muda wa kuanza kupiga vita dini zingine.
Kama wanavyo itwa "waovu na mashetani" hao wakatoliki ingekuwa kauli hiyo ni kweli basi nilitegemea waweke nguvu kubwa sana kuwapinga hao watu wa Mungu(walokole, wasabato, waislamu n.k) lakini saivi wakatoliki hawana shida na mtu zaidi ya kutaka upendo na kupatana na kila mtu.