- Thread starter
- #81
'ata' ndiyo nini ewe uliyefaulu shule!!?..'Atadio maana ata shule ulifeli. Papa alisema lini na wapi? Takataka kweli wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'ata' ndiyo nini ewe uliyefaulu shule!!?..'Atadio maana ata shule ulifeli. Papa alisema lini na wapi? Takataka kweli wewe
Nimeweka DW kaka mkubwaWeka source, acha uzushi; hakuwahi kushauri hivyo.., na aliweka wazi hii ni dhambi mbaya sana, sasa watabariki vipi dhambi?
Babu sifanyi hiyo kazi,Kama huiamini hii habari siyo tatizo languSogeza facilities za kutuaminisha kuwa ni DW. Huko DW habari ni nyingi
Huwezi kuandika kitu alfu ukasema reference ni google: Be specific
Jamaa muongo wewe, una uhakika papa ndo alisema hayo?Ndiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
Maaskofu 38 wamepiga kura. Hawa sio wa kuomba watubu! Waondolewe haraka kwenye huo utume au wakaunde Dhehebu laoView attachment 2545600
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Papa si alisema ushoga ni dhambi Kama zingine,na wao ni watoto wa Mungu Kama wengineJamaa muongo wewe, una uhakika papa ndo alisema hayo?
Ushoga ni dhambi mbaya sana, kanisa ndio linamsimamo mkali dhidi ya ushoga na kutoa mimba. Papa Francis hawezi kuruhusu wala kubadili maana ya dhambi. Alafu alisema wale ni binadamu pia lakini hakusema ushoga ni sahihi. Muwe mnasoma vizuri.Unasemaje kuhusu ushoga??
basi kula nguruwe tenaKakwambia nani kutokula nguruwe ni nguzo ya uislam!?..ukitaka kuongelea Jambo jielimishe kwanza
Tunaenda Ujerumani kote huko wakati hapa kwetu tu Zanzibar yapo ya kutosha. Tunakuwa wanafiki, kwamba tunawashangaa Wajerumani wakati Visiwani wapo weusi wanayafanya na hatushangaiHujaelewa nini,mbona ipo clear
UzushiNdiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
Katiba iliyoanzisha makanisa hayo zinaruhusu kujitenga?Haya makanisa makubwa ya ulaya na amerika kama yanafungisha ndoa za mashoga yasiburuze makanisa ya afrika kufanya uchafu huo. Bora makanisa ya afrika yajitenge nao, yabaki na msimamo wa biblia kuhusu ulawiti/ufiraji kama ilivyoandikwa
Kanisa Katoliki liko tofauti na madhehebu mengine yote unayoyajua,hakuna Katoliki ujerumani,Uingereza au Tanzania au Kenya .Kanisa ni moja tu,Kuna majimbo ambyo kiongozi wake ni Askofu wa Jimbo hata huko ujerumani uliko sema Kuna majimbo yaliyochini ya maaskofu na hawaingiliani mamlaka.Hakuna mkutano wa maaskofu ujerumani uliokaa na kubariki ulichosema.Hivyo hizo ni porojo,matendo ya mtu mmoja hata kama ni Askofu yatabaki kuwa ni persona na sio Kanisa.Ndiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
Kulikuwapo kanisa moja tu Katoliki la mitume,ikaja Othordox pacha wa Roman Catholic,aliyezaliwa kutokana itikadi za siasa tu,baada ya Karne kadhaa ndio wakazaliwa Lutherani na Anglican na Sasa wako wakristo wenye madhehebu na wasio na madhehebu nao wamesambaa duniani kote.Kanisa litabaki moja tu Catholic la mitume.Roman Catholic, Lutheran, Anglican ni makanisa ya ulaya magharibi Afrika hawana haki yoyote zaidi ya kufuata tu order toka makao makuu.
Kama hawataki order warudi kwenye dini zao za kale au waanzishe mafundisho yao.
Unafanya kampeni au ?Kulikuwapo kanisa moja tu Katoliki la mitume,ikaja Othordox pacha wa Roman Catholic,aliyezaliwa kutokana itikadi za siasa tu,baada ya Karne kadhaa ndio wakazaliwa Rutherani na Anglican na Sasa wako wakristo wenye madhehebu na wasio na madhehebu nao wamesambaa duniani kote.Kanisa litabaki moja tu Catholic la mitume.
katiba hairuhusu, itabidi wakubali tu ushenzi huo maana kujetenga ni shughuli pevuKatiba iliyoanzisha makanisa hayo zinaruhusu kujitenga?
Ungetafuta walau mtandaoni hiyo habari ili ujiepushe na aibu ziso msingi, nimesema kanisa katoliki ujerumani kwa kuwa wamepiga kura kuamua Hilo Jambo ujerumani kote,nikaweka na source DWKanisa Katoliki liko tofauti na madhehebu mengine yote unayoyajua,hakuna Katoliki ujerumani,Uingereza au Tanzania au Kenya .Kanisa ni moja tu,Kuna majimbo ambyo kiongozi wake ni Askofu wa Jimbo hata huko ujerumani uliko sema Kuna majimbo yaliyochini ya maaskofu na hawaingiliani mamlaka.Hakuna mkutano wa maaskofu ujerumani uliokaa na kubariki ulichosema.Hivyo hizo ni porojo,matendo ya mtu mmoja hata kama ni Askofu yatabaki kuwa ni persona na sio Kanisa.
Kuna wakati watu wanachanganya wanaposikia Rais wa maaskofu wanafikili ni kiongozi wa kanisa Katoliki Tanzania,kama ambavyo watu walichanganya Cheo cha ukardinali kwa kudhani ni kiongozi mkuu.La hasa hivyo ni vyeo visivyo na mamlaka kijimbo Bali vina maendo yake ya kutumika tu.
Pole Sana kwa kukwazwa na kanisa lakoUzushi
Na hapo bado hayo mambo hayajaruhusiwa; nadhani yakiruhusiwa watu watakuwa wakiyafanya barabarani...sio tena kwenye magari kama yule Jamaa.Tunaenda Ujerumani kote huko wakati hapa kwetu tu Zanzibar yapo ya kutosha. Tunakuwa wanafiki, kwamba tunawashangaa Wajerumani wakati Visiwani wapo weusi wanayafanya na hatushangai