Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Dini zote ni scam hapa duniani
Vyote tunavyoabudu ni uongo
Ukweli umefichwa na story nyingi za kwenye dini sio za kweli ndioo maana hazina majibu na ukiuliza unatishwa
 
Acha uongo unalifahamu kanisa Catholic wewe? au unataka kulichafua, haliwezi kuunga mkono ushenzi na ujinga unaouzungumza. Aliyekutuma Amefeli hakuna habali kama hiyo.
Huujui ukweli ukiujua itakuwa too late
 
Yesu aliposema nitalijenga KANISA, alimaanisha mtu mmoja mmoja Si DINI Wala majengo.

Dini na madhehebu yote yanaenda kulazimisha kumwabudu shetani.

STUKA, wakutanapo wawili au watatu inatosha kuabudu hata wewe na familia Yako.

Mungu haishi ndani ya jengo linaloitwa KANISA, mkaribishe Aishi ndani Yako, mtu ndo KANISA Mungu analihitaji.
 
Kuzipost ni kuzipa nguvu
Habari kama hii ni ngumu sana kutoisikia kama husingeisikia humu basi ungeisikia kwenye radio au kwenye media yoyote sababu imetoka kwenye moja ya vyombo vikubwa DW,ingekuwa habari tu mtu kaiona mtaani hapo sawa ila hii utaisikia tu kutoka kwenye media yoyote.
 
Ni lazima kama waafrica tuwe na misimamo yetu katika ngazi za familia ili kulinda tamaduni zetu...Hii hata waseme linaweza lisiwe na athari kibaya ni kundi linajikuta ni wazungu .

Movement zote sijui feminism ni uzungu tu basi hamna jinsi hata elimu tunategemea kutoka kwamba ... Mbaya sana kwa vile muingiliano ni mkubwa na tunakosa ushawishi kabisa tulichobaki kufauta watu wa nje.

Maisha yetu ni jadi kabisa nchi zetu ombaomba katima mambo kama haya hazina usemi kabisa .
 
Ni lazima kama waafrica tuwe na misimamo yetu katika ngazi za familia ili kulinda tamaduni zetu...Hii hata waseme linaweza lisiwe na athari kibaya ni kundi linajikuta ni wazungu .

Movement zote sijui feminism ni uzungu tu basi hamna jinsi hata elimu tunategemea kutoka kwamba ... Mbaya sana kwa vile muingiliano ni mkubwa na tunakosa ushawishi kabisa tulichobaki kufauta watu wa nje.

Maisha yetu ni jadi kabisa nchi zetu ombaomba katima mambo kama haya hazina usemi kabisa .
Putino aungwe mkono, Mashariki hawakubali USHETANI huo.
 
Dini zote ni scam hapa duniani
Vyote tunavyoabudu ni uongo
Ukweli umefichwa na story nyingi za kwenye dini sio za kweli ndioo maana hazina majibu na ukiuliza unatishwa
Sawa..! Lakini nyie huwa mkiingia kwenye 18 za Muumba huwa ndo wa kwanza kulia na huku mkiomba watu wawaombea kwa Mungu aidha kwa ugonjwa au shida yoyote ili mpate kunusurika kwa mateso, lakini hapa ni wepesi kukanusha.
 
Roman Catholic kwishnei [emoji706][emoji706][emoji706]
Screenshot_20230312_125226_US%20Newspapers.jpg


 
Huku ndio Ulaya wamefikia na wanataka kutulaximisha..

Afrika ikatae na ijitenge na huu upuuzi hata kama Papa wa Vatican yeye anasema Iko sawa.


Nasadiki kwa Mungu mmoja Baba Mwenyezi Muumba wa mbingu na nchi na Vitu vyote Vinavyoonekana na Visivyonekana.Uongo ni kitu kisichoonekana na Uzushi vile vile mimi naamini katika Baba na Mwana na Roho Mtakatifu.Mengine haya mara Ujerumani wamesema vile au Canada wameamua hivi hizo zote ni kazi za shetani.
 
Putino aungwe mkono, Mashariki hawakubali USHETANI huo.
Jambo gumu ni kwamba still upande dhaifu bado watu wanatengana kabisa.

Unakumbuka Makonda alipopigwa ban kisa hizo ishu baada ya kuanza kufuatilia wanaojihusisha na kusema atadili..Basi hapa bongo wapo walikuwa wanamkandia
 
Back
Top Bottom