Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Hizi imani inabidi turudi kwenye imani za mababu zetu za kuabudu milima,miti mikubwa na mizimu,huku tuelekeapo si kuzuri kwa kweli.
Usisingizie imani. Usi-generalize. Sema huu UKRISTO.

Tatizo ni kuwa UKRISTO unaongozwa na mawazo ya watu tu. Ndio maana unakuta wachungaji:-

wanawalisha waumini wao majani, wanaambiwa wanywe jiki nao wanakunywa, wanawake wa kikristo wanawaheshimu na kuwanyenyekea wachungaji kuliko wanavyowaheshimu waume zao, waumini wanachapwa viboko eti ni njia ya kumtoa shetani, Waumini wapo tayari kulala njaa na kutosomesha watoto ili tu pesa wampe mchungaji.

Angalia wafuasi wa Mwamposa, Zumaridi, Geodevi, Kakobe, Mzee wa Upako etc. Ni kama misukule vile

Msisingizie imani, sema UKRISTO
 
Nasisitiza, hujawahi kuwaza kuhusu source ya taarifa kuwa ni ya kuaminika au la?
Okay, Kwani hata Kenge mpaka atoke damu ndo anajua kuwa sasa ameumia.

Hali hiyo ikifikia ndo utajua yanayoendelea huko Ulaya kuhusu Ushoga na baadhi ya Makanisa.
 
Usisingizie imani. Usi-generalize. Sema huu UKRISTO.

Tatizo ni kuwa UKRISTO unaongozwa na mawazo ya watu tu. Ndio maana unakuta wachungaji:-

wanawalisha waumini wao majani, wanaambiwa wanywe jiki nao wanakunywa, wanawake wa kikristo wanawaheshimu na kuwanyenyekea wachungaji kuliko wanavyowaheshimu waume zao, waumini wanachapwa viboko eti ni njia ya kumtoa shetani, Waumini wapo tayari kulala njaa na kutosomesha watoto ili tu pesa wampe mchungaji.

Msisingizie imani, sema UKRISTO
Ukristo unaongozwa na mawazo ya watu HOW?

Mimi ninavyojua imani ya kikristo inaongozwa na biblia, kama umetaka kuongozwa na mtu ni uvivu wako mwenyewe wa kutosoma biblia na kuielewa ila ukiielewa huwezi kuendeshwa na mtu yoyote.
 
Mleta mada inabidi upimwe akili.The Church will NEVER EVER do such a thing.Haipo na haitokaa kutokea, nyie endeleeni na conspiracy theories zenu zilizoanza tangu karne ya kwanza lakini mpaka sasa Kanisa limebaki vilevile.
 
Kanisa Katoliki ni moja, Maaskofu hao wamefanya vitu ambavyo hawana mamlaka navyo. Automatically walipaswa kusimamishwa huduma na kuteuliwa wengine.

Kanisa la Ujerumani baada ya ule uasi waliouchochea wa Martin Luther naona wanakuja na mpango mwingine wa kujitoa kuwa sehemu ya Kanisa Katoliki.

Dhehebu jipya litazaliwa soon alafu karne nyingi zijazo wafuasi wake watalishwa uongo juu ya Kanisa Katoliki na kulichukia bila kujua chanzo cha kuanzishwa dhehebu lao.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ukristo unaongozwa na mawazo ya watu HOW?

Mimi ninavyojua imani ya kikristo inaongozwa na biblia, kama umetaka kuongozwa na mtu ni uvivu wako mwenyewe wa kutosoma biblia na kuielewa ila ukiielewa huwezi kuendeshwa na mtu yoyote.
Mifano ya namna ambavyo UKRISTO unaongozwa na mawazo ya watu nimekupa hapo. Ndio maana unakuta mtu anakwambia nafunga siku Saba kavu au siku 3 kavu, ulimuuliza hiyo ibada umeitoa wapi..anakosa jibu. Sasa hivi tupo Kwaresma, watu wamefunga ila haijulikani wamefunga nini. Mwingine anakwambia kafunga soda. Mwingine anakwambia anafunga kama waislamu. Mwingine anakwambia anafunga hadi saa sita mchana. Mwingine anakwambia anafunga siku 3 hali kabisa then anafungua siku 3 na kisha anafunga siku 3 na kuendelea Kwa system hiyo. Ni vurugu mechi tu
 
Mifano ya namna ambavyo UKRISTO unaongozwa na mawazo ya watu nimekupa hapo. Ndio maana unakuta mtu anakwambia nafunga siku Saba kavu au siku 3 kavu, ulimuuliza hiyo ibada umeitoa wapi..anakosa jibu. Sasa hivi tupo Kwaresma, watu wamefunga ila haijulikani wamefunga nini. Mwingine anakwambia kafunga soda. Mwingine anakwambia anafunga kama waislamu. Mwingine anakwambia anafunga hadi saa sita mchana. Mwingine anakwambia anafunga siku 3 hali kabisa then anafungua siku 3 na kisha anafunga siku 3 na kuendelea Kwa system hiyo. Ni vurugu mechi tu
Sijajua iman yako? (Natamani ni ijue na sito reply comments yako nyingine bila kuijua imani inawezekana hata ninacho kiandika hukijui)

Maana inawezekana biblia unasoma kama hadithi za Juma na Uledi,Biblia haija andikwa straight kama vitabu vingine may be vya imani yako unayo iamini.

Hatuwezi kufunga kama alivyo funga Yesu siku 40 bila kula,hamna huyo binadamu mwenye uwezo huo. Kikristo Kwaresma maana naye kimatendo ni kipindi cha kukumbushana kwamba binadamu hapa unapita njia so tubu jiweke karibu na Mungu, mbili ni kipindi cha kujinyima kama ulikuwa unatumia elfu 10 kwa mwezi na ukajinyima ukawa unatumia elfu 5 na 5 ukatoa kwa wasio jiweza,hapo tunahesabu ni kama umefunga,ila hii ni kwa wasio na uwezo wa kufunga na kipindi cha kusali sana ili toba yako ikubalike mbele za Mungu.

Ila kwa kuwa hatuna uwezo kama wa Yesu,Kwaresma tunafunga ila tunatakiwa kula mara moja tu ndani ya masaa 24,ile fedha ya milo mingine tunatakiwa tusaidie wasio jiweza.

Ila wapo wenaofunga hata siku tatu bila kula cha msingi kile ulicho jinyima usaidie wasiojiweza.

Kwa kifupi Kwaresma ni kipindi cha kutubu, kusali sana,kufanya matendo ya huruma kwa wanao hitaji kwa kile unacho jinyima ni sawa na mwana mpotevu anaye tafuta mwanzo mpya au kuzaliwa upya ktk ulimwengu wa kiroho.

Na kufunga sio lazima iwe kipindi cha Kwaresma, hata kama ukiwa na maombi yako binafsi au changamoto zako binafsi unaweza ukafunga,ukasali na kutenda matendo ya huruma kwa kile unacho jinyima.

NB:NATAMANI NIJUE IMANI YAKO.
 
Mifano ya namna ambavyo UKRISTO unaongozwa na mawazo ya watu nimekupa hapo. Ndio maana unakuta mtu anakwambia nafunga siku Saba kavu au siku 3 kavu, ulimuuliza hiyo ibada umeitoa wapi..anakosa jibu.
Daniel 10:3 Sikula chakula cha fahari, sikugusa nyama wala divai, na sikujipaka mafuta kwa muda wa majuma hayo yote matatu.

Esta 4:16 “Nenda ukawakusanye pamoja Wayahudi wote waliopo mjini Susa. Fungeni, msile wala msinywe kwa siku tatu, usiku na mchana, ...
 
Ukristo sio dini ya Mungu ila ni dini ya wazungu waliinzisha na kuisambaza Kwa maslahi wenyewe na ndio maana hakuna muisrael mkristo
Umenena vyema,

Waisraeli wengi ni Judaism Wakristo ni Wachache.

Ukristo ni IMANI ktk YESU, Si dini kama wengi wanavyodhani, unaweza kuwa ndani ya uislamu na ikawa unamwamini Yesu.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
Huku ndio Ulaya wamefikia na wanataka kutulaximisha..

Afrika ikatae na ijitenge na huu upuuzi hata kama Papa wa Vatican yeye anasema Iko sawa.

====
Mkutano wa Sinodi - ambao unalenga katika mageuzi ya Kanisa - uliidhinisha hati huko Frankfurt siku ya Ijumaa ili kuruhusu wapenzi wa jinsia moja wapewe baraka zao na Kanisa Katoliki la Ujerumani kuanzia mwaka 2026.

Kati ya wanachama 202 wa Mkutano wa Sinodi, 176 walipiga kura kuunga mkono hati hiyo, huku 14 wakipinga na 12 wakijizuia.

Mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi

Kuruhusu sherehe za baraka kwa wapenzi wa jinsia moja ni miongoni mwa madai muhimu katika mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi, ambao umekuwa ukiendelea tangu mwaka 2019.

Harakati za kisasa pia zinataka kumaliza ukungu kwa mapadri na kuona wanawake wanapewa daraja la mashemasi.

Kulingana na shirika la habari la Kikatoliki la Kijerumani KNA, baraka pia zitaruhusiwa kwa watu waliooa tena kiraia na wanaoachika.

KNA iliripoti kuwa kulikuwa na mapendekezo kwamba Baraza la Maaskofu la Kijerumani na Kamati Kuu ya Wakatoliki wa Kijerumani "waweze kukuza na kuwasilisha maadhimisho yanayofaa kwa wakati unaofaa."

Miaka mitatu kwa mabadiliko hayo kutekelezwa itatumika kwa ajili ya kuendeleza mfumo wa liturjia ya sherehe hiyo kwa ushiriki wa maaskofu.

Kanisa Katoliki na mageuzi

Vatikani na harakati za mageuzi ya Ujerumani

Kanisa nchini Ujerumani ilianzisha harakati ya mageuzi wakati idadi kubwa ya Wajerumani walipokuwa wanatoka katika makongamano ya Kanisa na skandali za unyanyasaji wa kingono zinazohusisha Kanisa. Uanachama wa kanisa ulishuka chini ya asilimia 50 kwa mara ya kwanza mwaka 2021.

Vatikani hapo awali ilifanya wazi kwamba inaona madai ya Njia ya Sinodi ya kushughulikia ubaguzi wa kimapenzi, ukungu, na wanawake katika Kanisa kama yanayosababisha mgawanyiko, na kuonya kwamba madai hayo yanaweza kusababisha mwanya.

Mwezi wa Julai mwaka jana, Kiti kitakatifu kiliionya viongozi wa marekebisho ya Kijerumani kwamba hawana mamlaka ya kuwaongoza maaskofu kuhusu masuala ya maadili au mafundisho.

Askofu wa Eichstätt, Gregor Maria Hanke, alionya juu ya hatari ya kutokea mgawanyiko ndani ya Kanisa kuhusu suala hilo, kama ilivyotokea ndani ya Kanisa la Kianglikana.
====
The Synodal Assembly — which is focused on reforming the Church — adopted a paper in Frankfurt on Friday to allow for same-sex couples to have their relationships blessed by the German Catholic Church from 2026.

Of the 202 members of the Synodal Assembly, 176 voted in favor of the paper, while 14 against and 12 abstained.

Synodal Path reform process

Allowing blessing ceremonies for same-sex couples has been among the key demands in the Synodal Path reform process, which has been ongoing since 2019.

The progressive movement also seeks to end celibacy for priests and see women ordained as deacons.

According to the German Catholic news agency KNA, blessings would also be allowed for civilly remarried and divorcees.

KNA reported that the there was a recommendation that the German Bishops' Conference and the Central Committee of German Catholics "develop and introduce appropriate liturgical celebrations in a timely manner."

The three years for the change to take effect are to be used to develop the liturgical format of the ceremony with the participation of
the bishops.

Catholic Church and reform

The Vatican and Germany's reform movement

The church in Germany launched the reform movement amid record numbers of Germans leaving congregations and sex abuse scandals involving the church. Church membership dropped below 50% for the first time in 2021.

The Vatican has in the past made it clear that it views the Synodal Path's calls for addressing homosexuality, celibacy and women in the Church as divisive, and warned those calls could cause a fracture.

In July last year, the Holy See warned German reformers that they had no authority to instruct bishops on moral or doctrinal matters.

Bishop of Eichstätt, Gregor Maria Hanke, warned of the danger of a rift occurring within the Church on the issue, as has been seen within the Anglican Church.
Mmm!
 
Mbona Papa alikwishatoa msimamo wa Kanisa kuwa mashoga wavumiliwe, wasibaguliwe au kutengwa, lakini ushoga ni dhambi, na Kanisa halituruhusu ndoa za jinsia moja kwa sababu ni kinyume cha mpango wa Mungu.

EUROPE

German Catholic Bishops Back Blessing of Gay Relationships, Defying Pope Francis

Germany’s Catholic bishops voted to adopt formal ceremonies for the blessing of same-sex relationships, defying the Vatican and testing church unity on what has become one of the most contentious issues in contemporary Christianity: moral teaching on homosexuality..

The resolution is a bold rejection of the Vatican’s position, expressed in a 2021 decree approved by Pope Francis, which prohibited the blessing of gay couples on the grounds that God “cannot bless sin.”

Pope Francis and other church leaders have warned the German synod not to stray too far from the rest of the church.
Romee ndo mwanzilishi wa ukatoliki na uislamu, soon mtawekwa kibano msipate pa Kutokea.

Jitengeni na DINI zilizoanzishwa na WANADAMU.

Yesu haishi Kanisani au HEKALUNI, anabisha HODI ndani ya moyo wa mtu, ukifungua anaingia na kukaa.

ANGALIZO;

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen.
 
Huku ndio Ulaya wamefikia na wanataka kutulaximisha..

Afrika ikatae na ijitenge na huu upuuzi hata kama Papa wa Vatican yeye anasema Iko sawa.

====
Mkutano wa Sinodi - ambao unalenga katika mageuzi ya Kanisa - uliidhinisha hati huko Frankfurt siku ya Ijumaa ili kuruhusu wapenzi wa jinsia moja wapewe baraka zao na Kanisa Katoliki la Ujerumani kuanzia mwaka 2026.

Kati ya wanachama 202 wa Mkutano wa Sinodi, 176 walipiga kura kuunga mkono hati hiyo, huku 14 wakipinga na 12 wakijizuia.

Mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi

Kuruhusu sherehe za baraka kwa wapenzi wa jinsia moja ni miongoni mwa madai muhimu katika mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi, ambao umekuwa ukiendelea tangu mwaka 2019.

Harakati za kisasa pia zinataka kumaliza ukungu kwa mapadri na kuona wanawake wanapewa daraja la mashemasi.

Kulingana na shirika la habari la Kikatoliki la Kijerumani KNA, baraka pia zitaruhusiwa kwa watu waliooa tena kiraia na wanaoachika.

KNA iliripoti kuwa kulikuwa na mapendekezo kwamba Baraza la Maaskofu la Kijerumani na Kamati Kuu ya Wakatoliki wa Kijerumani "waweze kukuza na kuwasilisha maadhimisho yanayofaa kwa wakati unaofaa."

Miaka mitatu kwa mabadiliko hayo kutekelezwa itatumika kwa ajili ya kuendeleza mfumo wa liturjia ya sherehe hiyo kwa ushiriki wa maaskofu.

Kanisa Katoliki na mageuzi

Vatikani na harakati za mageuzi ya Ujerumani

Kanisa nchini Ujerumani ilianzisha harakati ya mageuzi wakati idadi kubwa ya Wajerumani walipokuwa wanatoka katika makongamano ya Kanisa na skandali za unyanyasaji wa kingono zinazohusisha Kanisa. Uanachama wa kanisa ulishuka chini ya asilimia 50 kwa mara ya kwanza mwaka 2021.

Vatikani hapo awali ilifanya wazi kwamba inaona madai ya Njia ya Sinodi ya kushughulikia ubaguzi wa kimapenzi, ukungu, na wanawake katika Kanisa kama yanayosababisha mgawanyiko, na kuonya kwamba madai hayo yanaweza kusababisha mwanya.

Mwezi wa Julai mwaka jana, Kiti kitakatifu kiliionya viongozi wa marekebisho ya Kijerumani kwamba hawana mamlaka ya kuwaongoza maaskofu kuhusu masuala ya maadili au mafundisho.

Askofu wa Eichstätt, Gregor Maria Hanke, alionya juu ya hatari ya kutokea mgawanyiko ndani ya Kanisa kuhusu suala hilo, kama ilivyotokea ndani ya Kanisa la Kianglikana.
====
The Synodal Assembly — which is focused on reforming the Church — adopted a paper in Frankfurt on Friday to allow for same-sex couples to have their relationships blessed by the German Catholic Church from 2026.

Of the 202 members of the Synodal Assembly, 176 voted in favor of the paper, while 14 against and 12 abstained.

Synodal Path reform process

Allowing blessing ceremonies for same-sex couples has been among the key demands in the Synodal Path reform process, which has been ongoing since 2019.

The progressive movement also seeks to end celibacy for priests and see women ordained as deacons.

According to the German Catholic news agency KNA, blessings would also be allowed for civilly remarried and divorcees.

KNA reported that the there was a recommendation that the German Bishops' Conference and the Central Committee of German Catholics "develop and introduce appropriate liturgical celebrations in a timely manner."

The three years for the change to take effect are to be used to develop the liturgical format of the ceremony with the participation of
the bishops.

Catholic Church and reform

The Vatican and Germany's reform movement

The church in Germany launched the reform movement amid record numbers of Germans leaving congregations and sex abuse scandals involving the church. Church membership dropped below 50% for the first time in 2021.

The Vatican has in the past made it clear that it views the Synodal Path's calls for addressing homosexuality, celibacy and women in the Church as divisive, and warned those calls could cause a fracture.

In July last year, the Holy See warned German reformers that they had no authority to instruct bishops on moral or doctrinal matters.

Bishop of Eichstätt, Gregor Maria Hanke, warned of the danger of a rift occurring within the Church on the issue, as has been seen within the Anglican Church.
Moderator uzi kam huu ambao hauna credible source ni wakufuta
 
Romee ndo mwanzilishi wa ukatoliki na uislamu, soon myawekwa kibano msipate pa Kutokea.

Jitengeni na DINI zilizoanzishwa na WANADAMU.

Yesu haishi Kanisani au HEKALUNI, anabisha HODI ndani ya moyo wa mtu, ukifungua anaingia na kukaa.

ANGALIZO;

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen.
Yesu alipokuwa anasulubiwa pazia la hekalu lilipasuka unajua maana yake hatufungwi tena na mapokeo ya dini
Kanisa ni mtu na sio majengo na siku ya mwisho atakaye hukumiwa ni individual na sio jengo la kanisa
 
Yesu alipokuwa anasulubiwa pazia la hekalu lilipasuka unajua maana yake hatufungwi tena na mapokeo ya dini
Kanisa ni mtu na sio majengo na siku ya mwisho atakaye hukumiwa ni individual na sio jengo la kanisa
Amen.

Hata Walio ktk uislamu Wanamhitaji YESU Kwa IMANI, Si ktk DINI.

Maana YESU ndiye Mungu anayekuja kuwahukumu WANADAMU wote wenye mwili.
 
Umasikini mbaya sana...

Na huyu mama yetu anategemea mikopo ya hao hao mashoga ili kuendesha nchi...

Najua hakubaliani na hili lakini mpaka leo kimya maana anafikiria akiwa kama mama, akinyimwa hiyo mikopo atalisha nini wanae (wanaokula kulingana na urefu wa kamba zao) ambao hata mishahara tu wanategemea mikopo?

Tumezingirwa!
Anatakiwa atoke hadharani AKEMEE,

La Sivyo..........
 
Hamna jeuri hiyo, mnazipenda dini zenu kuliko chochote kile, mtakuwa tayari kuwa mashoga kuliko kuziacha dini zenu.
Hizi imani inabidi turudi kwenye imani za mababu zetu za kuabudu milima,miti mikubwa na mizimu,huku tuelekeapo si kuzuri kwa kweli.
 
Back
Top Bottom