Qatif
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 379
- 860
Labda wewe ni mgeni na hizo habari kuhusu Ushoga na baadhi ya Makanisa.Hujawahi kuwaza kuwa inawezekana hili lisemwalo siyo kweli? We umepata source halisi na ya kuaminika ya kinachosemwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wewe ni mgeni na hizo habari kuhusu Ushoga na baadhi ya Makanisa.Hujawahi kuwaza kuwa inawezekana hili lisemwalo siyo kweli? We umepata source halisi na ya kuaminika ya kinachosemwa?
Tupe ukweli wewe sasaDini zote ni scam hapa duniani
Vyote tunavyoabudu ni uongo
Ukweli umefichwa na story nyingi za kwenye dini sio za kweli ndioo maana hazina majibu na ukiuliza unatishwa
Umasikini mbaya sana...Ni lazima kama waafrica tuwe na misimamo yetu katika ngazi za familia ili kulinda tamaduni zetu...Hii hata waseme linaweza lisiwe na athari kibaya ni kundi linajikuta ni wazungu .
Movement zote sijui feminism ni uzungu tu basi hamna jinsi hata elimu tunategemea kutoka kwamba ... Mbaya sana kwa vile muingiliano ni mkubwa na tunakosa ushawishi kabisa tulichobaki kufauta watu wa nje.
Maisha yetu ni jadi kabisa nchi zetu ombaomba katima mambo kama haya hazina usemi kabisa .
Mungu hajawai kuweka dini.....dini ni binadamu kaanzishaSawa..! Lakini nyie huwa mkiingia kwenye 18 za Muumba huwa ndo wa kwanza kulia na huku mkiomba watu wawaombea kwa Mungu aidha kwa ugonjwa au shida yoyote, lakini hapa ni wepesi kukanusha.
Nasisitiza, hujawahi kuwaza kuhusu source ya taarifa kuwa ni ya kuaminika au la?Labda wewe ni mgeni na hizo habari kuhusu Ushoga na baadhi ya Makanisa.
Kusema kwamba turudi kwenye imani za mababu zetu siyo sahihi..Hizi imani inabidi turudi kwenye imani za mababu zetu za kuabudu milima,miti mikubwa na mizimu,huku tuelekeapo si kuzuri kwa kweli.
Kwahivyo Mungu ameweka nini hapa duniani??Mungu hajawai kuweka dini.....dini ni binadamu kaanzisha
Dunia inakwenda kupasuka vipande viwili.Jambo gumu ni kwamba still upande dhaifu bado watu wanatengana kabisa.
Unakumbuka Makonda alipopigwa ban kisa hizo ishu baada ya kuanza kufuatilia wanaojihusisha na kusema atadili..Basi hapa bongo wapo walikuwa wanamkandia
Wazikimbie, Shetani ameshasimama madhabahuni.Ukatoliki unatiwa doa na watu wa juu wenye mamlaka jambo ambalo lina wafedhehesha waumini wake wenye misimamo mikali dhidi ya uchafu huu
Mbona Papa alikwishatoa msimamo wa Kanisa kuwa mashoga wavumiliwe, wasibaguliwe au kutengwa, lakini ushoga ni dhambi, na Kanisa halituruhusu ndoa za jinsia moja kwa sababu ni kinyume cha mpango wa Mungu.Huku ndio Ulaya wamefikia na wanataka kutulaximisha..
Afrika ikatae na ijitenge na huu upuuzi hata kama Papa wa Vatican yeye anasema Iko sawa.
Ni kweli unachosema,Ushoga mnaeneza bila kujua Kwa njia kama hizi.
Tunavyozidi kujadili ndipo upepo wake unavyozidi kusambaa, Kwa mtazamo wangu sioni sababu ya kupost mada kama hizi maana hapa mnazidi kupromoti Tu
Kutumia Google au Facebook haimanishi kwamba naunga hayo mambo,sababu ni bidhaa kama zilivyo bidhaa nyingine kwani kutumia Google au Fb hakudhalilisho utu au heshima ya mtu mwengine. Ila hili wanalo introduce kwenye maswala la kiroho ambalo kwenye biblia tunayo isimamia washasema wanaoshiriki vitendo hivyo hawato uona ufalme wa mbingu, haikusema watakaotumia Fb au Google.Kusema kwamba turudi kwenye imani za mababu zetu siyo sahihi..
Hebu nikuulize swali...
Mmiliki wa Kampuni ya Google anaunga mkono mapenzi ya Jinsia moja,
Pia mmiliki wa Facebook naye kadhalika.... Je umeacha kutumia hiyo mitandao kwa maana wamiliki wake wanaunga mkono Ushoga?
Ww jua dini ni utapeliKwahivyo Mungu ameweka nini hapa duniani??