Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Dunia imekwisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani papa alisema wabarikiwe kama wana ndoa au wasitengwe au kuhesabiwa kama wahalifu ,bali ni wakosefu kama ukosefu mwingine wa kuiba kusema uongo kuzini nk.
🤣🤣Acha kuhusisha kataa ndoa n'a ushoga .kwanza mashoga wengi wana ndoa zao.mfano wale jamaa wa clouds
Duuu kwaiyo kubariki uchoko nayo ni nguvu ya mungu?Roman Catholic inapigwa vita na wayahudi,walokole,kkkt,wasabato,waislam,nk lakini bado kanisa lipo imara !.kweli nguvu ya Mungu ipo Roman Catholic.
Hakunaga kanisa katoliki la Ujerumani, kanisa ni moja, takatifu, katoliki linaloongozwa na askofu wa RomaPole Sana kwa kukwazwa na kanisa lako
Tuzidi kumuomba Mungu kwa ajili ya misingi ya maamuzi ya viongozi.Ndiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
Endapo una jambo la kufuatilia,liwe la kiofisi au lisilo la kiofisi,na halikulazimu wewe kuwepo au kuja Dodoma,wasiliana na 'Dodoma messengers' kwa 0765920855,usaidiwe kutatuliwa,ukiwa hukohuko uliko,kwa gharama nafuu
Hizi ni tamaduni za WazunguHizi imani inabidi turudi kwenye imani za mababu zetu za kuabudu milima,miti mikubwa na mizimu,huku tuelekeapo si kuzuri kwa kweli.
TunaupingaUshoga mnaeneza bila kujua Kwa njia kama hizi.
Tunavyozidi kujadili ndipo upepo wake unavyozidi kusambaa, Kwa mtazamo wangu sioni sababu ya kupost mada kama hizi maana hapa mnazidi kupromoti Tu
Huku ndio Ulaya wamefikia na wanataka kutulaximisha..
Afrika ikatae na ijitenge na huu upuuzi hata kama Papa wa Vatican yeye anasema Iko sawa.
Nchini Russia wameshatoka kwenye ishu hizi za kuripoti habari za mashoga badala yake wamepiga marufuku kuchapisha,kuongelea na kutuma picha zaoTunaupinga
Vitu vyetu vingi vya mila na kitamaduni tumevidharau ,tumeshindwa kuviweka hata kwenye maandishi kwa ajili ya vizazi vijavyo vitu kama lugha za makabila,ngoma,mafunzo ya vijana (jando na unyago), imani za mababu zetu nk.Hizi ni tamaduni za Wazungu
Tulikuwa na Imani zetu nzuri tuu na maisha yalienda.
Hii ndio hasara ya kutokuwa na utamaduni wenu.