OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ndio kutotengwa huko.Kwani papa alisema wabarikiwe kama wana ndoa au wasitengwe au kuhesabiwa kama wahalifu ,bali ni wakosefu kama ukosefu mwingine wa kuiba kusema uongo kuzini nk.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kutotengwa huko.Kwani papa alisema wabarikiwe kama wana ndoa au wasitengwe au kuhesabiwa kama wahalifu ,bali ni wakosefu kama ukosefu mwingine wa kuiba kusema uongo kuzini nk.
Kumbe na wewe uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo.Haha haha haha kanisa la Mashoga
Sina haja ya kujenga hoja, hoja I.esha jengwa huko Germany 🇩🇪Kumbe na wewe uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo.
Dini ipi?Au kichwa kimejaa dhana ya udini ndio maana umefurahia ujinga.
😀😀😀😀mjologoba baba una raha yake weeSasa tulia, wameanza kuwaruhusu muoane wanaume Kwa wanaume.
Nawe mwanamkez unaweza chagua lako Bidada mwenzio, mkaishi ,mkapelekeana moto vizuri tu
"UDINI" sijaandika neno diniDini ipi?
Udini gani tena nilionao mimi Msisimikisi wa Ngemela?"UDINI" sijaandika neno dini
Weka source, acha uzushi; hakuwahi kushauri hivyo.., na aliweka wazi hii ni dhambi mbaya sana, sasa watabariki vipi dhambi?Ndiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
makanisa yatakayolazimika kufuata kilichoanzishwa na makao makuu vatican, cantebury na huko kwingine ndio wataumia. Hawa wengine wa hapa hapa tanzania wanaweza kubaki salama labda kama wana wafadhili na wahisani huko ulaya na amerika wanaounga mkono ndoa za jinsia moja wamekwisha. Sisi waumini tukiona makanisa yetu ya kitanzania nayo yakianza kufungisha ndoa hizo itabidi tuyaache tuanzishe imani nyingine mpyaRoman Catholic, Lutheran, Anglican ni makanisa ya ulaya magharibi Afrika hawana haki yoyote zaidi ya kufuata tu order toka makao makuu.
Kama hawataki order warudi kwenye dini zao za kale au waanzishe mafundisho yao.
Upo sahihi.makanisa yatakayolazimika kufuata kilichoanzishwa na makao makuu vatican, cantebury na huko kwingine ndio wataumia. Hawa wengine wa hapa hapa tanzania wanaweza kubaki salama labda kama wana wafadhili na wahisani huko ulaya na amerika wanaounga mkono ndoa za jinsia moja wamekwisha. Sisi waumini tukiona makanisa yetu ya kitanzania nayo yakianza kufungisha ndoa hizo itabidi tuyaache tuanzishe imani nyingine mpya
Kama liliunga mkono mauaji miaka ya kale ni kipi cha ajabu sasa.Japo Baba Mtakatifu Francisco simuelewi, ila ninaamini Kanisa Katoliki kamwe haliwezi kuunga mkono dhambi.
Ninarudia tena; Kanisa haliwezi kamwe kuunga mkono dhambi.Kama liliunga mkono mauaji miaka ya kale ni kipi cha ajabu sasa.
Ndio maana ata shule ulifeli. Papa alisema lini na wapi? Takataka kweli weweNdiyo hivyo wakuu,kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa
Roman Catholic inapigwa vita na wayahudi,walokole,kkkt,wasabato,waislam,nk lakini bado kanisa lipo imara !.kweli nguvu ya Mungu ipo Roman Catholic.
Kasome historia ya kanisa, kabla ya kuandika hiki.Ninarudia tena; Kanisa haliwezi kamwe kuunga mkono dhambi.
AminaRoman Catholic inapigwa vita na wayahudi,walokole,kkkt,wasabato,waislam,nk lakini bado kanisa lipo imara !.kweli nguvu ya Mungu ipo Roman Catholic.