Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Utaacha kanisa lako kwa sababu ya ushoga??
Sijui kwanini Kanisa linakuwa mbele na huu ushetani, yaani wanapamba ili watu waone ni kitu cha kawaida kabisa.
 
Mtaondoka katika makanisa yenu au mtavumilia tu??
Wao ndio wameanzisha hizi dini na ndio wenye kuweza kuamua kipi kifuatacho.
Hata wanawake kuvaa suruari, rap music, ponograph,utoaji mimba nk vimeanzia
 
Papa amesemaje kuhusu ushoga
Acha uongo unalifahamu kanisa Catholic wewe? au unataka kulichafua, haliwezi kuunga mkono ushenzi na ujinga unaouzungumza. Aliyekutuma Amefeli hakuna habali kama hiyo.
 
Unaongeleaje maneno ya papa kuhusu ushoga?
Nasadiki kwa Mungu mmoja Baba Mwenyezi Muumba wa mbingu na nchi na Vitu vyote Vinavyoonekana na Visivyonekana.Uongo ni kitu kisichoonekana na Uzushi vile vile mimi naamini katika Baba na Mwana na Roho Mtakatifu.Mengine haya mara Ujerumani wamesema vile au Canada wameamua hivi hizo zote ni kazi za shetani.
 
Kama kweli wana msimamo mkali watoe kauli dhidi ya alayosema papa kuhusu ushoga.
Ukatoliki unatiwa doa na watu wa juu wenye mamlaka jambo ambalo lina wafedhehesha waumini wake wenye misimamo mikali dhidi ya uchafu huu
 
Msikitini huwezi leta huu ujinga,utakatwakatwa vipandevipande jambia likianzia usogoni
 
Papa amesemaje kuhusu ushoga?
Mleta mada inabidi upimwe akili.The Church will NEVER EVER do such a thing.Haipo na haitokaa kutokea, nyie endeleeni na conspiracy theories zenu zilizoanza tangu karne ya kwanza lakini mpaka sasa Kanisa limebaki vilevile.
 
Msimamo wa papa kuhusu mashoga ni upi?
Kanisa Katoliki ni moja, Maaskofu hao wamefanya vitu ambavyo hawana mamlaka navyo. Automatically walipaswa kusimamishwa huduma na kuteuliwa wengine.

Kanisa la Ujerumani baada ya ule uasi waliouchochea wa Martin Luther naona wanakuja na mpango mwingine wa kujitoa kuwa sehemu ya Kanisa Katoliki.

Dhehebu jipya litazaliwa soon alafu karne nyingi zijazo wafuasi wake watalishwa uongo juu ya Kanisa Katoliki na kulichukia bila kujua chanzo cha kuanzishwa dhehebu lao.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Huku ndio Ulaya wamefikia na wanataka kutulaximisha..

Afrika ikatae na ijitenge na huu upuuzi hata kama Papa wa Vatican yeye anasema Iko sawa.

====
Mkutano wa Sinodi - ambao unalenga katika mageuzi ya Kanisa - uliidhinisha hati huko Frankfurt siku ya Ijumaa ili kuruhusu wapenzi wa jinsia moja wapewe baraka zao na Kanisa Katoliki la Ujerumani kuanzia mwaka 2026.

Kati ya wanachama 202 wa Mkutano wa Sinodi, 176 walipiga kura kuunga mkono hati hiyo, huku 14 wakipinga na 12 wakijizuia.

Mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi

Kuruhusu sherehe za baraka kwa wapenzi wa jinsia moja ni miongoni mwa madai muhimu katika mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi, ambao umekuwa ukiendelea tangu mwaka 2019.

Harakati za kisasa pia zinataka kumaliza ukungu kwa mapadri na kuona wanawake wanapewa daraja la mashemasi.

Kulingana na shirika la habari la Kikatoliki la Kijerumani KNA, baraka pia zitaruhusiwa kwa watu waliooa tena kiraia na wanaoachika.

KNA iliripoti kuwa kulikuwa na mapendekezo kwamba Baraza la Maaskofu la Kijerumani na Kamati Kuu ya Wakatoliki wa Kijerumani "waweze kukuza na kuwasilisha maadhimisho yanayofaa kwa wakati unaofaa."

Miaka mitatu kwa mabadiliko hayo kutekelezwa itatumika kwa ajili ya kuendeleza mfumo wa liturjia ya sherehe hiyo kwa ushiriki wa maaskofu.

Kanisa Katoliki na mageuzi

Vatikani na harakati za mageuzi ya Ujerumani

Kanisa nchini Ujerumani ilianzisha harakati ya mageuzi wakati idadi kubwa ya Wajerumani walipokuwa wanatoka katika makongamano ya Kanisa na skandali za unyanyasaji wa kingono zinazohusisha Kanisa. Uanachama wa kanisa ulishuka chini ya asilimia 50 kwa mara ya kwanza mwaka 2021.

Vatikani hapo awali ilifanya wazi kwamba inaona madai ya Njia ya Sinodi ya kushughulikia ubaguzi wa kimapenzi, ukungu, na wanawake katika Kanisa kama yanayosababisha mgawanyiko, na kuonya kwamba madai hayo yanaweza kusababisha mwanya.

Mwezi wa Julai mwaka jana, Kiti kitakatifu kiliionya viongozi wa marekebisho ya Kijerumani kwamba hawana mamlaka ya kuwaongoza maaskofu kuhusu masuala ya maadili au mafundisho.

Askofu wa Eichstätt, Gregor Maria Hanke, alionya juu ya hatari ya kutokea mgawanyiko ndani ya Kanisa kuhusu suala hilo, kama ilivyotokea ndani ya Kanisa la Kianglikana.
====
The Synodal Assembly — which is focused on reforming the Church — adopted a paper in Frankfurt on Friday to allow for same-sex couples to have their relationships blessed by the German Catholic Church from 2026.

Of the 202 members of the Synodal Assembly, 176 voted in favor of the paper, while 14 against and 12 abstained.

Synodal Path reform process

Allowing blessing ceremonies for same-sex couples has been among the key demands in the Synodal Path reform process, which has been ongoing since 2019.

The progressive movement also seeks to end celibacy for priests and see women ordained as deacons.

According to the German Catholic news agency KNA, blessings would also be allowed for civilly remarried and divorcees.

KNA reported that the there was a recommendation that the German Bishops' Conference and the Central Committee of German Catholics "develop and introduce appropriate liturgical celebrations in a timely manner."

The three years for the change to take effect are to be used to develop the liturgical format of the ceremony with the participation of
the bishops.

Catholic Church and reform

The Vatican and Germany's reform movement

The church in Germany launched the reform movement amid record numbers of Germans leaving congregations and sex abuse scandals involving the church. Church membership dropped below 50% for the first time in 2021.

The Vatican has in the past made it clear that it views the Synodal Path's calls for addressing homosexuality, celibacy and women in the Church as divisive, and warned those calls could cause a fracture.

In July last year, the Holy See warned German reformers that they had no authority to instruct bishops on moral or doctrinal matters.

Bishop of Eichstätt, Gregor Maria Hanke, warned of the danger of a rift occurring within the Church on the issue, as has been seen within the Anglican Church.
Kanisa katoliki ni kubwa Ujerumani ipo kwenye kitu kinaitwa schism. Ndio kinachotokea, tuna uzoefu nazo,. Ata hili liyapita.
 
Hizi ni tamaduni za Wazungu

Tulikuwa na Imani zetu nzuri tuu na maisha yalienda.

Hii ndio hasara ya kutokuwa na utamaduni wenu.

Mtu ambae hana utamaduni wake kamwe hawezi kua na nguvu ya maamuzi kwenye maisha yake, atamilikiwa kwa njia zote yaani utamaduni, uchumi na jamii kwa ujumla, ibada za mababu zetu sio kwamba ni mbaya hapana, na zilimtambua Mungu sema walipoingia watawala wakatukaririsha kua ibada zetu ni mbaya na tukabeba kama lilivo shida ikaanzia hapo, nadhani ni wakati wa kutafakari kwa kina kwani tuendako sasa ni kiza kinene
 
Mleta mada inabidi upimwe akili.The Church will NEVER EVER do such a thing.Haipo na haitokaa kutokea, nyie endeleeni na conspiracy theories zenu zilizoanza tangu karne ya kwanza lakini mpaka sasa Kanisa limebaki vilevile.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huna nguvu ya kuwazidi maaskofu wewe.
 
Romee ndo mwanzilishi wa ukatoliki na uislamu, soon myawekwa kibano msipate pa Kutokea.

Jitengeni na DINI zilizoanzishwa na WANADAMU.

Yesu haishi Kanisani au HEKALUNI, anabisha HODI ndani ya moyo wa mtu, ukifungua anaingia na kukaa.

ANGALIZO;

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen.
Acha uongo wewe uislam umenzishwa na nani ? [emoji1787]
 
Huku ndio Ulaya wamefikia na wanataka kutulaximisha..

Afrika ikatae na ijitenge na huu upuuzi hata kama Papa wa Vatican yeye anasema Iko sawa.

====
Mkutano wa Sinodi - ambao unalenga katika mageuzi ya Kanisa - uliidhinisha hati huko Frankfurt siku ya Ijumaa ili kuruhusu wapenzi wa jinsia moja wapewe baraka zao na Kanisa Katoliki la Ujerumani kuanzia mwaka 2026.

Kati ya wanachama 202 wa Mkutano wa Sinodi, 176 walipiga kura kuunga mkono hati hiyo, huku 14 wakipinga na 12 wakijizuia.

Mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi

Kuruhusu sherehe za baraka kwa wapenzi wa jinsia moja ni miongoni mwa madai muhimu katika mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi, ambao umekuwa ukiendelea tangu mwaka 2019.

Harakati za kisasa pia zinataka kumaliza ukungu kwa mapadri na kuona wanawake wanapewa daraja la mashemasi.

Kulingana na shirika la habari la Kikatoliki la Kijerumani KNA, baraka pia zitaruhusiwa kwa watu waliooa tena kiraia na wanaoachika.

KNA iliripoti kuwa kulikuwa na mapendekezo kwamba Baraza la Maaskofu la Kijerumani na Kamati Kuu ya Wakatoliki wa Kijerumani "waweze kukuza na kuwasilisha maadhimisho yanayofaa kwa wakati unaofaa."

Miaka mitatu kwa mabadiliko hayo kutekelezwa itatumika kwa ajili ya kuendeleza mfumo wa liturjia ya sherehe hiyo kwa ushiriki wa maaskofu.

Kanisa Katoliki na mageuzi

Vatikani na harakati za mageuzi ya Ujerumani

Kanisa nchini Ujerumani ilianzisha harakati ya mageuzi wakati idadi kubwa ya Wajerumani walipokuwa wanatoka katika makongamano ya Kanisa na skandali za unyanyasaji wa kingono zinazohusisha Kanisa. Uanachama wa kanisa ulishuka chini ya asilimia 50 kwa mara ya kwanza mwaka 2021.

Vatikani hapo awali ilifanya wazi kwamba inaona madai ya Njia ya Sinodi ya kushughulikia ubaguzi wa kimapenzi, ukungu, na wanawake katika Kanisa kama yanayosababisha mgawanyiko, na kuonya kwamba madai hayo yanaweza kusababisha mwanya.

Mwezi wa Julai mwaka jana, Kiti kitakatifu kiliionya viongozi wa marekebisho ya Kijerumani kwamba hawana mamlaka ya kuwaongoza maaskofu kuhusu masuala ya maadili au mafundisho.

Askofu wa Eichstätt, Gregor Maria Hanke, alionya juu ya hatari ya kutokea mgawanyiko ndani ya Kanisa kuhusu suala hilo, kama ilivyotokea ndani ya Kanisa la Kianglikana.
====
The Synodal Assembly — which is focused on reforming the Church — adopted a paper in Frankfurt on Friday to allow for same-sex couples to have their relationships blessed by the German Catholic Church from 2026.

Of the 202 members of the Synodal Assembly, 176 voted in favor of the paper, while 14 against and 12 abstained.

Synodal Path reform process

Allowing blessing ceremonies for same-sex couples has been among the key demands in the Synodal Path reform process, which has been ongoing since 2019.

The progressive movement also seeks to end celibacy for priests and see women ordained as deacons.

According to the German Catholic news agency KNA, blessings would also be allowed for civilly remarried and divorcees.

KNA reported that the there was a recommendation that the German Bishops' Conference and the Central Committee of German Catholics "develop and introduce appropriate liturgical celebrations in a timely manner."

The three years for the change to take effect are to be used to develop the liturgical format of the ceremony with the participation of
the bishops.

Catholic Church and reform

The Vatican and Germany's reform movement

The church in Germany launched the reform movement amid record numbers of Germans leaving congregations and sex abuse scandals involving the church. Church membership dropped below 50% for the first time in 2021.

The Vatican has in the past made it clear that it views the Synodal Path's calls for addressing homosexuality, celibacy and women in the Church as divisive, and warned those calls could cause a fracture.

In July last year, the Holy See warned German reformers that they had no authority to instruct bishops on moral or doctrinal matters.

Bishop of Eichstätt, Gregor Maria Hanke, warned of the danger of a rift occurring within the Church on the issue, as has been seen within the Anglican Church.


Ukristo sio dini tena na huyo Yesu anayedaiwa atashuka kutoka mbinguni kakaa kimya huko juu akistarehe akiacha kanisa linafanya mambo machafu ya aina hii ??!!--- Yesu shuka sasa ukemee haya machafu kwani huoni shetani anaonyesha nguvu zake mitaani hadi madhabahuni kwa Bwana??, mbaya zaidi ushetani huo unaongozwa wa wale wanaojiita watumishi wako!;, Shuka kutoka huko mbinguni ukemee uchafu huu unaofanywa kwa jina lako.

Hakuna tena uokovu wa kiroho upande wa dini ya ukristo kama mambo yenyewe ndio hayo.

Njooni kwenye Uisilamu wa Ahmadiyya ili mpate uokovu.
 
Ukristo sio dini tena na huyo Yesu anayedaiwa atashuka kutoka mbinguni kakaa kimya huko juu akistarehe akiacha kanisa linafanya mambo machafu ya aina hii ??!!--- Yesu shuka sasa ukemee haya machafu kwani huoni shetani anaonyesha nguvu zake mitaani hadi madhabahuni kwa Bwana??, mbaya zaidi ushetani huo unaongozwa wa wale wanaojiita watumishi wako!;, Shuka kutoka huko mbinguni ukemee uchafu huu unaofanywa kwa jina lako.

Hakuna tena uokovu wa kiroho upande wa dini ya ukristo kama mambo yenyewe.ndio hayo.

Njooni kwenye Uisilamu wa Ahmadiyya.
Hakuna pa kukimbilia kama Bado uko kwenye hizi dini, masheikh wako wameshaanguka sahihi, soon mtaagizwa kuungana kuanzisha Dini moja ya shetani.

Toka huko haraka kwenye dini.
 
Back
Top Bottom