Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Target yao sasa ni kuelekea ndani ya islamic sharia, taratibu na kwa ustadi wa hali ya juu wameanza kuharibu moral islamic culture. Msijione kama mpo salama kwa kushangilia wenzenu kuharibiwa maadili yao. Hao mashetani yamedhamiria kuharibu dunia nzima, halitasalia jiwe hata moja. Sasa nguvu zinaelekezwa kwa waislam
 
Target yao sasa ni kuelekea ndani ya islamic sharia, taratibu na kwa ustadi wa hali ya juu wameanza kuharibu moral islamic culture. Msijione kama mpo salama kwa kushangilia wenzenu kuharibiwa maadili yao. Hao mashetani yamedhamiria kuharibu dunia nzima, halitasalia jiwe hata moja. Sasa nguvu zinaelekezwa kwa waislam
Huo uislamu uharibiwe na wao Mara ngapi! Mkuu amkaa kumeshakucha bado tu unakumbuka shuka.
 
Hiyo Sinodi wata hata hamuelewi ni kitu gani mmekurupukia ku comment na kushambulia huku wengine wakishangilia na wengine wakisononeka
 
.
20230312_185246.jpg
 
Target yao sasa ni kuelekea ndani ya islamic sharia, taratibu na kwa ustadi wa hali ya juu wameanza kuharibu moral islamic culture. Msijione kama mpo salama kwa kushangilia wenzenu kuharibiwa maadili yao. Hao mashetani yamedhamiria kuharibu dunia nzima, halitasalia jiwe hata moja. Sasa nguvu zinaelekezwa kwa waislam
Mm sio muislamu lakini hilo hawatatoboa
 
Huo uislamu uharibiwe na wao Mara ngapi! Mkuu amkaa kumeshakucha bado tu unakumbuka shuka.
wale ndio wameharibiwa na wanazidi kuharibiwa maadili yao kiulaini hukohuko kwenye nchi vinara wa dini hiyo. Afadhali kuna wakristo wanafahamu nini kinaendelea duniani, wanapoyaona haya hawashangai sana na kuhamaki kwa kuwa ni unabii wa siku za mwisho unatimia. Siku ukristo ukitoweka ulimwenguni hakuna rangi dunia itaacha kuona kutoka kwa mashetani hayo
 
Nasi waafrika tunakosa misimamo eti tutanyimwa misaada.

Tukikubali ujinga huo huko mbele nini tutakataa?

Siku ninakosali wakileta hiyo habari sijui tunawakosea LGBTQ sijui nini, najianzishia kanisa la mtu mmoja.

Tuna madhambi ndiyo, lakini hayo mambo hata yakifutwa katika orodha za dhambi bado akili inagoma.

This is too much!
hata mimi siku wakianza kufingisha ndoa za jinsia moja naacha kusali kanisa hilo. Cha ajabu mpaka sasa kuna habari kwamba zipo dayosisi huko majuu kiongozi wake ni shoga halafu huku afrika bado waumini wa madhehebu hayo wanaenda kusali. Kwa nini wasiache kwenda kusali huko wakati kuna makanisa yenye msimamo mkali juu ya dhambi ya ulawiti?
 
Papa anajaribu kuneutralize dhambi, hizi dhambi zingine zimekuwa dhambi za kawaida, anataka pia tuongeze dhambi ya ushoga nayo iwe kama dhambi ya ulevi, kusema uongo na kuzini..

Adhabu ya mzinzi, mwizi nk kwenye Islamic sharia iko wazi tu, tena zingefuatwa watu tungeziogopa, tumezineutralize na kufanya ni normal life style matokeo yake zimetudhidi kiasi tunabaki tunawayawaya tu.. kuna mambo hayahitaji normalization bali yanahitaji ukali na roho mbaya kama kukemea ufisadi, wizi na uzembe kwa Mtanzania.
Unafanya upuuzi wa kitoto wa kuutumia uislamu na Koran kama rejea ya ukristo na biblia.
Et, koran inasema hivi na vile.. Katika ukristo koran ni mdudu gani?.
 
Crusade wars.
Hii ndiyo unaiita history ya kanisa na hata uwatake members wakaisome nje ya Jf?.
Umepata wapi uthubutu wa kuandika neno "crusade war" hapa Jf ilhali unawataka wengine wakaisome na kuiandika hiyo sentensi nje ya Jf?.
Kwa ufahamu crusade ilikuwa ni kusapoti mauaji?.

Bure kabisa.
 
Hii ndiyo unaiita history ya kanisa na hata uwatake members wakaisome nje ya Jf?.
Umepata wapi uthubutu wa kuandika neno "crusade war" hapa Jf ilhali unawataka wengine wakaisome na kuiandika hiyo sentensi nje ya Jf?.
Kwa ufahamu crusade ilikuwa ni kusapoti mauaji?.

Bure kabisa.
Ulitaka niandike historia yote ya Crussade kwenye section ya comment ?

By the way umesoma tulipo anzia na huyo mdau ?

Kwani Crussade war ilikuwa ni nini ? Na ili idhinishwa na nani na kanisa gani ?

Huko vitani walikuwa wanacheza mziki au ?
 
Ulitaka niandike historia yote ya Crussade kwenye section ya comment ?

By the way umesoma tulipo anzia na huyo mdau ?
Ulitaka, ulitaka nini? Unataka kuashumu nini hasa? Una assume tu na kuandika na then unataka watu wakupe umakini wao kwa mambo yako ya kuashumu.

Lete ushahidi wa kanisa kusapoti mauaji. Crusade War ilikuwa ni "RETALIATION" habari ya kusapoti itolee ushahidi wewe na ninajua huna ushahidi ila usema hovyo wako ndiyo umekufanya uropoke kwa kitu usichokuwa nacho ushahidi.
 
Ulitaka, ulitaka nini? Unataka kuashumu nini hasa? Una assume tu na kuandika na then unataka watu wakupe umakini wao kwa mambo yako ya kuashumu.

Lete ushahidi wa kanisa kusapoti mauaji. Crusade War ilikuwa ni "RETALIATION" habari ya kusapoti itolee ushahidi wewe na ninajua huna ushahidi ila usema hovyo wako ndiyo umekufanya uropoke kwa kitu usichokuwa nacho ushahidi.
Sina ushahidi kuwa kanisa chini ya papal urban II lili amrisha crusade war ?

Au lengo lako wewe mimi niandike kitabu hapa ? Sio muandishi mzuri wa maneno mengi.
 
Target yao sasa ni kuelekea ndani ya islamic sharia, taratibu na kwa ustadi wa hali ya juu wameanza kuharibu moral islamic culture. Msijione kama mpo salama kwa kushangilia wenzenu kuharibiwa maadili yao. Hao mashetani yamedhamiria kuharibu dunia nzima, halitasalia jiwe hata moja. Sasa nguvu zinaelekezwa kwa waislam
Abadan. Hii ni Dini iliyohifadhiwa.

The Messenger of Allah (sallallāhu alaihi wa sallam) said, “There will not cease to be a group of my Ummah uppermost upon the truth. They will not be harmed by those who forsake them, until Allah’s affair comes to pass and they are uppermost.” [Reported by Muslim]’

The Prophet (sallallaahu alaihi wa sallam) said,

“This knowledge will be carried by the trustworthy ones of every generation. They will expel from it the alterations made by those going beyond bounds, the false claims of the liars and the false interpretations of the ignorant.”

Reported by Ibn ‘Adiyy, Ibn ‘Asaakir and others and it is saheeh.
 
Sijasema papa amebariki nimesema Papa alivyoshauri,Soma uelewe, Papa alishauri kanisa lifungue milango kwa mashoga kwani wote ni watoto wa Mungu
Hii ni lugha ya uwani maana yake anasapoti ushoga.
Katumia lugha ya walinielewa vibaya
 
Back
Top Bottom