Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hatari snNdio hicho tu wanaweza.
Ila kupanda kwa bei za bidhaa na huduma atasingizia Vita vya Ukraine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari snNdio hicho tu wanaweza.
Ila kupanda kwa bei za bidhaa na huduma atasingizia Vita vya Ukraine.
...hizo ni juhudi za mama.Kama ni usafiri wangu wa kwenda kazini kwangu nauacha wapi na kwanini?
Uwiii atatuua...hizo ni juhudi za mama.
Bila kusahau vitz zinachemsha lami Sana sababu ya kuchemka sanaWapige marufuku na IST, zinasababisha foleni.
Kwa kuwa wewe una hammer sioWapige marufuku na IST, zinasababisha fole
SIJUWI KAMA KUMBUKUMBU ZANGU ZIMEPOTEA ENZI ZILE MTOTO PENDWA WA BABA ALIWAHI KUKATAZA.Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania imewatangazia kuanzia kesho Alhamisi bodaboda na bajaji zote hazitaruhusiwa kuingia katikati ya Jiji hilo.
Utalipia kibali cha kukuruhusu kuingia mjini, tena ukiwa peke ako bila abiria!!Kama ni usafiri wangu wa kwenda kazini kwangu nauacha wapi na kwanini?
Utawala mbovu kabisaUtalipia kibali cha kukuruhusu kuingia mjini, tena ukiwa peke ako bila abiria!!
OHalmashauri ya Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania imewatangazia kuanzia kesho Alhamisi bodaboda na bajaji zote hazitaruhusiwa kuingia katikati ya Jiji hilo.
Hizi ni marufuku za msimu, kiki na zilizozoeleka kwa muda sasa. Hakuna Jipya!Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Halmashauri ya Jiji hilo , na kwamba Marufuku hiyo inaanza haraka iwezekanavyo kuanzia kesho Alhamisi tarehe 21/04/2022.
Chanzo : MwanaHalisi Digital
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Halmashauri ya Jiji hilo , na kwamba Marufuku hiyo inaanza haraka iwezekanavyo kuanzia kesho Alhamisi tarehe 21/04/2022.
Chanzo : MwanaHalisi Digital