Kanusho: Bodaboda na Bajaji hawajapigwa marufuku kuingia katikati ya Jiji kuanzia Alhamisi 21 Aprili, 2022

Kanusho: Bodaboda na Bajaji hawajapigwa marufuku kuingia katikati ya Jiji kuanzia Alhamisi 21 Aprili, 2022

Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Halmashauri ya Jiji hilo , na kwamba Marufuku hiyo inaanza haraka iwezekanavyo kuanzia kesho Alhamisi tarehe 21/04/2022.

Chanzo : MwanaHalisi Digital
 
Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa na Halmashauri ya Jiji hilo , na kwamba Marufuku hiyo inaanza haraka iwezekanavyo kuanzia kesho Alhamisi tarehe 21/04/2022.

Chanzo : MwanaHalisi Digital
Hizi ni marufuku za msimu, kiki na zilizozoeleka kwa muda sasa. Hakuna Jipya!
 
Kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Back
Top Bottom