Kanusho: Bodaboda na Bajaji hawajapigwa marufuku kuingia katikati ya Jiji kuanzia Alhamisi 21 Aprili, 2022

Kanusho: Bodaboda na Bajaji hawajapigwa marufuku kuingia katikati ya Jiji kuanzia Alhamisi 21 Aprili, 2022

Katikati ya Jiji ndio wapi exactly? I mean BOundary ni ipi??
Mipaka ya zamani ilikua, daraja la salender kwa barabara ya Ally Hassan Mwinyi, Jangwani kwa barabara ya Morogoro, Mkuki house mbele kidogo kuna kidaraja kabla hujafika mataa ya keko barabara kwa barabara ya Pugu, Mataa ya karume kwa barabara ya Uhuru, Daraja la treni jirani Puma kwa barabara ya Kilwa, Kivukoni ferry kwa wanaovuka. Zamani ilitumika hiyo mipaka.
 
Long overdue!
Jiji la DSM na miji mingine ina a perrenially pshycotic 3rd world problem ya kuenzi umasikini na kufikiri ndio haki.
Kwahiyo wana enzi tu umasikini haupo? Tukubaliane na ukweli au hali halisi 90% ya wakazi wa dar ni masikini survive on hand to mouth economy au substance economy, hawezi kupanda tax ya shilling 10000 kutoka stendi ya bus ya mwendo kasi hadi kituo chake cha kazi either apande boda boda ya 1000 au atembee kwa Mungu atachelewa majukumu yake ya kazi.
 
Wamejiajiri sawa ila miji council nayo ina mipango yake
Umesahau kuwa hii marufuku ilikuwepo tangu zamani na wahusika walitii . Ruhusa ya kuingia jijini ilikuja baada ya daladala kuzuia kusimamisha watu mwaka juzi
Kwahiyo kabla ya mwaka juzi watu walikuwa hawajajiajiri?
Ilikuwa kuingia mjini hadi uwe na kibali....

Kibali kwa Boda ilikuwa 150,000/= kwa mwaka..Na kinatolewa kwa sababu maalumu tena zenye mashiko....
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si gari lako hilo, mie unajua ninalotaka. Birthday yangu wiki ijayo, usiniangushe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka...Haya tusiharibu uzi wa watu hapa...
 
Long overdue!
Jiji la DSM na miji mingine ina a perrenially pshycotic 3rd world problem ya kuenzi umasikini na kufikiri ndio haki.
Boda boda ni masikini ?

Haki ni nini / ipi ?, Sawa Boda wazuiwe ila kuna mbadala wa watu / public transport ya kutosha ambayo ni effective na efficient ?

Nitaunga mkono hii hoja kama zinaleta usumbufu kwa watu wote au zinaongeza foleni kwahio impact ni kwa jamii / watu wengi..., ila suluhisho ni kuhakikisha public transport inatosheleza hivyo kuondoa uhitaji wa bodaboda mijini
 
Tatizo linatengenezwa alafu mama atakuja kuwaruhusu waendelee na sifa ya mama kuupiga mwingi itasikika
 
Back
Top Bottom