Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,150
Wewe wasemaVita visiwe kisingizio cha kuhalalisha kushindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe wasemaVita visiwe kisingizio cha kuhalalisha kushindwa
Usafiri wa boda boda ni uncontrollable.Boda boda ni masikini ?
Haki ni nini / ipi ?, Sawa Boda wazuiwe ila kuna mbadala wa watu / public transport ya kutosha ambayo ni effective na efficient...
akili huna weweUsafiri wa boda boda ni uncontrollable.
Polisi traffic wameshindwa kuwadhibiti kufuata sheria za barabarani.
Nafikiri kinachofuata ni kuzipiga marufuku mijini.
Boda boda ni kero.
Hii siyo serikali ya watu wa hali ya chini, wewe kama ni mbangaizaji kufa tu lakini no kuingia town.Watu wamejiajiri na wanalea familia makatazo mengine watu wana kurupuka tu
Unauhakika awamu ya tano hakujawahi kuwa na katazo la aina hii?View attachment 2194213
DarMpyaBlog wameandika kuwa Bodaboda na Bajaj ni marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es Salaam kuanzia April 21, 2022.
My take: Sielewi kwa nini awamu ya sita inaonea sana watu wa hali ya chini.
Tena Mama tunampongeza kaupiga mwingi mno, hawa wabangaizaji wakae huko vichochoroni watuache tujinafasi.Tutaelewa tu.
Jiji la Dar es Salaam limepiga MARUFUKU pikipiki na bajaj kuingia maeneo ya Kariakoo na Postal.
Asante sana mama kwa hilo la kuzuiliwa vyombo hivyo vya moto kuingia mjini maana is isingekuwa juhudi zako hakika lisingefanikiwa.
Wewe ndiye makalio yako, waache wabangaizaji wakome, ningekuwa RC dar nigewasogeza kabisa waishie mbezi na toangom, na boko, yaani ningewakomesha kabisa hawa hohehahe maana wanakuja kutuharibia mijiHuyo aliyetoa makatazo hayo..
Mwambieni ni matak***o
Waafrika aliyetulogaa ni nani
Katikati ya jiji ni wapi?Sababu ya kupiga marufuku ni Nini? Kwani barabara zimetengenezwa kwa ubaguzi.
FireKatikati ya Jiji ndio wapi exactly? I mean BOundary ni ipi??
Hivi zile BMW 1350 nazo ni pikipiki? Zitaruhusiwa kuingia huko ndani kwao? Ikitokea mtalii anaendesha hiyo 150, watamzuia? Isije kuwa mtalii anaruhusiwa kuvaa kandambili popote ila mzawa ikaonekama uchafu!Kama ni usafiri wangu wa kwenda kazini kwangu nauacha wapi na kwanini?
Umekuja mjini 2022?Bora baba angekuwepo mama katutupa sana watoto zake sijuwi kwani lakini maana sisi wengine izo bodaboda ndiyo usafiriwetu Sasa tufanyeje?
O
Hata sasa mipaka itakuwa hiyo hiyoMipaka ya zamani ilikua, daraja la salender kwa barabara ya Ally Hassan Mwinyi, Jangwani kwa barabara ya Morogoro, Mkuki house mbele kidogo kuna kidaraja kabla hujafika mataa ya keko barabara kwa barabara ya Pugu, Mataa ya karume kwa barabara ya Uhuru, Daraja la treni jirani Puma kwa barabara ya Kilwa, Kivukoni ferry kwa wanaovuka. Zamani ilitumika hiyo mipaka.
Ukikutwa umepakia wanakudaka hadi yard zaoIlikuwa kuingia mjini hadi uwe na kibali....
Kibali kwa Boda ilikuwa 150,000/= kwa mwaka..Na kinatolewa kwa sababu maalumu tena zenye mashiko....
Ingia ndo utajua mipaka[emoji1787][emoji1787]Katikati inaanzia wapi/mipaka yake ni ipi?
😁😁 sasa mjinga kama wewe nikujibu nini?Wewe ndiye makalio yako, waache wabangaizaji wakome, ningekuwa RC dar nigewasogeza kabisa waishie mbezi na toangom, na boko, yaani ningewakomesha kabisa hawa hohehahe maana wanakuja kutuharibia miji
Akili sina lakini tunawagonga wengi sana barabarani.akili huna wewe