King _Of_Everything
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 695
- 1,354
Mipaka ya zamani ilikua, daraja la salender kwa barabara ya Ally Hassan Mwinyi, Jangwani kwa barabara ya Morogoro, Mkuki house mbele kidogo kuna kidaraja kabla hujafika mataa ya keko barabara kwa barabara ya Pugu, Mataa ya karume kwa barabara ya Uhuru, Daraja la treni jirani Puma kwa barabara ya Kilwa, Kivukoni ferry kwa wanaovuka. Zamani ilitumika hiyo mipaka.Katikati ya Jiji ndio wapi exactly? I mean BOundary ni ipi??
Kwahiyo wana enzi tu umasikini haupo? Tukubaliane na ukweli au hali halisi 90% ya wakazi wa dar ni masikini survive on hand to mouth economy au substance economy, hawezi kupanda tax ya shilling 10000 kutoka stendi ya bus ya mwendo kasi hadi kituo chake cha kazi either apande boda boda ya 1000 au atembee kwa Mungu atachelewa majukumu yake ya kazi.Long overdue!
Jiji la DSM na miji mingine ina a perrenially pshycotic 3rd world problem ya kuenzi umasikini na kufikiri ndio haki.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wapige marufuku na IST, zinasababisha foleni.
Ilikuwa kuingia mjini hadi uwe na kibali....Wamejiajiri sawa ila miji council nayo ina mipango yake
Umesahau kuwa hii marufuku ilikuwepo tangu zamani na wahusika walitii . Ruhusa ya kuingia jijini ilikuja baada ya daladala kuzuia kusimamisha watu mwaka juzi
Kwahiyo kabla ya mwaka juzi watu walikuwa hawajajiajiri?
Unaomba kibali..Kama ni usafiri wangu wa kwenda kazini kwangu nauacha wapi na kwanini?
TeteteteteUnaomba kibali..
Kikiambatana na barua ya Mwajiri au sababu za wewe kuingia na hicho chombo Mjini..
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Bila kisahau vitz zinanyesha lami Sana sababu ya kuchemka sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Espy Atoto sasa Itakuwaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si gari lako hilo, mie unajua ninalotaka. Birthday yangu wiki ijayo, usiniangushe.
Boda boda ni masikini ?Long overdue!
Jiji la DSM na miji mingine ina a perrenially pshycotic 3rd world problem ya kuenzi umasikini na kufikiri ndio haki.
Kuamini vita ya ukraine ndo chanzo cha matatizo Inahitaji uwekewe ubongo mpyaHii vita ya Yukirein na Urusi iishe tu
Ona Sasa boda hatuingii siti senda
Haha... Jaribu kuchunguza mkuu, IST zinaongoza kusababisha foleni hapa jijini.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wacha hizo...
Nahitaji ubongo mpyaKuamini vita ya ukraine ndo chanzo cha matatizo Inahitaji uwekewe ubongo mpya
Vita visiwe kisingizio cha kuhalalisha kushindwaNahitaji ubongo mpya