Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mnafiki sana huyu mzee"....najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Huyo mzee hana maama yoyote anazeeka vibayaShida ya Pengo anaweza kuyakataa maneno yake mwenyewe kama ule waraka wa TEC
Pengo naye ni mtu wa kanisa? Kanisa gani ndugu yangu?Kama Madam President akishindwa kuwaelewa hadi hawa watu wa Kanisa, basi atakuwa amejiandalia kufeli 2025.
Itakuwa Sikio la kufa
Hao viongozi wameshanusa hawatapata kitu.Hadi viongozi wa dini wanaupinga huu mkataba ujue ni wa kihuni zaid na haufai.Shauri zenu watawala msiposikia sauti za wengi maana sauti za wengi ni ya Mungu.
Tatizo linaanzia juu, labda kulimaliza tuajiri rais mgeni toka nje.Nimewatolea mfano tu hao TANESCO lakini wote TTCL, ATCL, NHC, TPDC, TRC na ikiwezekana halmashauri kama kuna uwezo wa kuajiri wageni katika nafasi ya wakurugenzi iwe hivyo.
Wakristo ni watu huru sio kama nyie ambavyo hampindui kwa waraabu mkishapewa tende tu mnaona kila mwarabu mwenye ndevu mnamwona mtumeMfano Dpworld wangekuwa wanatokea Rome Italy..
Angeuliza haya maswali???
Kwani saizi wanapata nini?Hao viongozi wameshanusa hawatapata kitu.
Hao si ndio supporters wa wasiojulikana enzi zile?
Swali jepesi liwe hili je watanzania hatuna akili za luendesha bandari zetu?,(are Tanzanians lacking skill set,(logistic skills) and personal entrepreneurial competences"....najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Sana huyo aende kwa mabwana zake huko vatican"....najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Tatizo ni ubinafsi wa CCM na mfumo wake, pia tuna jamii mfu ambayo haiwezi ikahoji kwa sauti inayosikikaAngeuliza tu.
Hoja yake je ni kweli tumeishindwa kabisa kuindesha hio bandari.
Wakati tunaamuni Dp Wana uwezo why Kaa sisi tusijijengee huo uwezo halafu tukasimimia wenyewe. Why!?
Shida Nini mtaji!?, Usimamizi!? Mashine !?, Je serikali hii yenye kununua mashangingi na anasa za Kila aina Kila mwaka zile za MATUMIZI MENGINE inashindwa kuendesha bandari ni strictly way!?
Wengi tunahoji kwa muktadha huo hata ingetoka mars tungeuliza maana huwezi mpya mtu rasilimali muhimu kama bandari milele halafu ukawa umejifunga kwa mkataba kwa masharti kibao.
Hii nchi bhana inachosha sana
Huko Beira kuna DP World au wanaendesha wenyewe?It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Utaratibu wa siasa ni ushindani wa vyama, chances ya kubadili kama hawa waliokuwepo awafai ni kupitia sanduku la kura kila baada ya miaka mitano.Tatizo linaanzia juu, labda kulimaliza tuajiri rais mgeni toka nje.
Huko Beira kuna DP World au wanaendesha wenyewe?
"....najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!
"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.
Kanisa Katoliki TV.
Tatizo la Pengo ni kutokuaminika
Nilishamtoa thamani kabisa huyo jamaa, tena afadhali akae kimya tu mnafiki huyo. Maana alichagua kutofautiana na wenzake wote kwa ajili tu kumbeba mwendazake, hata pale wenzake walipodharirishwa na kutiwa misukosuko na serikali ile yeye bado aliamua kuwa upande wake.Mfano Dpworld wangekuwa wanatokea Rome Italy..
Angeuliza haya maswali???
Labda wewe ndio huwezi....unaongea kwa niaba ya wote?...It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Nawamulikia mpaka mchana w jua kali na bado wanajitia upofu..Mwanga Mkali! MULIKA SASA TUJUE TUNAFANYEJE!!!
Hatuwe = wanasiasa hawawezi. Wako watanzania wengi wenye uwezo hivyo usiseme hatuwezi.It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Kwahiyo ni heri aibe Mwarabu sio?Makontena 65 imeingia Tanzania na kushusha mizigo lakini hakuna rekodi yake yoyote ile. Huu wizi wa bandari umezidi mipaka.
In Magufuli voice
usitumie nguvu nyingi ukiambiwa Linda kura yako usidharau.Ni muda wa kuangalia management companies au raia wa kigeni wenye sifa sahihi na kuwapa kazi za kusimamia taasisi zote za kibiashara zinazomilikiwa na serikali sio bandari tu.
Muhimu ni kuwekeana mikataba ya performance targets.
Juzi Suma JKT imezindua kituo chao mafuta kwa hakiba ya hela zao; kwa sababu hakuna ubadhirifu kama ilivyo kwenye taasisi za serikali.
Kwanini TPDC aina vituo vya mafuta kuwa mshindani ndani ya soko. Moja ya sababu ni kwamba mteja wake mkubwa wa gas hivi sasa ni TANESCO na Dangote. TANESCO toka wameanza kupewa gas na TPDC awajawahi lipa ata centi 5, gas ambayo wanatumia kufanyia biashara na juzi hilo deni la TPDC serikali wamelifuta.
Watu ambao wameshindwa kuwalipa taasisi ambayo inauwazia malighafi wanayozalishia, hapo hapo wameenda kuingia mkataba wa kununua umeme wa jua; kipindi ambacho watakuwa na uzalishaji wa ziada bwawa la Nyerere.
Nimewatolea mfano tu hao TANESCO lakini wote TTCL, ATCL, NHC, TPDC, TRC na ikiwezekana halmashauri kama kuna uwezo wa kuajiri wageni katika nafasi ya wakurugenzi iwe hivyo.
Ifike wakati tuambizane ukweli watanzania hasa wanaoteuliwa na serikali awawezi kazi; unahitajika utaratibu mwingine ukizingatia sector zingine zina multiplier effect kubwa ya uchumi kama bandari.
Serikali isiishie na bandari tu, waende mbele wenyeji awawezi kazi.