Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapovu ya nini🫣🫣We Fala jibu hoja mambo ya kuguswa kwa huyo mapengo au nguvu ya katoliki ina uhusiano gani!!! Vibaraka wa Vatican [emoji1262]!!!
Goigoi kazini.Wapi imeandikwa hivyo?
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Kanisa lina nguvu ila sio yule mzeeUna uliza hili swali kwa kutojua kweli au unatania Mkuu?
Ukitaka kujua nguvu ya Kanisa la RC hapa Tanzania, mguse huyo Mzee
Wanajifanya hawajuiHebu acha ujinga. Kwa nini unasita kuinyoshea CCM kidole kama chanzo cha matatizo katika taifa hili?
Je hizo sera za CCM zina faida gani kama serikali wanayoiunda haiwezi kusimamia uendeshaji wa Bandari kwa ufanisi?
Je ndani ya CCM hakuna watu wenye sifa na uadilifu hadi tuuze bandari yetu kwa Waarabu?
Kumbuka juhudi zinazofanywa na CCM kung’ang’ania madaraka hata kama hawana uwezo wala sifa.
Adui wa taifa hiki ni hili genge la wezi na walafi ambalo lina ujasiri na halioni aibu wala tabu kula hadi mbegu.
Tatizo atuna utashi wa kufanya kazi kwa weredi na uzalendo.Hili la bandari halitaisha leo Wala kesho
Hapa CCM wamelikoroga Bora hata issue za migodi na gesi ambapo wawekezaji ndio wenye technology ila hili la bandari tunauwezo wa Kununua mitambo na tukaendesha wenyewe
Huyo sio Shekhe mfuga majini huyo ni kiongozi wa Kanisa kubwa dunianiAkalale huyo mzee, biashara anayoielewa ni ya kufuga misukule tu.
Kwani Waarabu Wana shida gani?Wanajidhalilisha sana hawa viongozi wa dini. Tics kakaa pale bandarini miaka 25+ hatukuwahi kuwasikia hata siku moja saivi ndo wanajifanya wanaongea kisa tu wawekezaji ni waarabu.
Kanisa Moja Takatifu la MitumeHuyo sio Shekhe mfuga majini huyo ni kiongozi wa Kanisa kubwa duniani
Neno lake ni tosha kwetu wakatoriki na Jpili Kanisani tunasomewa waraka
Mwondoe shetani nafsini mwako. Hakuna mtu mwenye imani ya kweli ya Mungu mwenye kauli za kishetani kama hizo zako.Akalale huyo mzee, biashara anayoielewa ni ya kufuga misukule tu.
KabisaAmérica na Europe hawezi kuwekeza kwenye nchi ya wajinga wajinga.
Huku wanapaweza wahindi na wachina tu
Ongezea Warusi na Waarabu kwani bila kuwa mnyapara Mtanganyika hatokuelewa kwa sababu hajiheshimu.América na Europe hawezi kuwekeza kwenye nchi ya wajinga wajinga.
Huku wanapaweza wahindi na wachina tu
Wee Kwan umeenda kuangalia vipindi vya kipuuziAzam tv inavipindi vinatukana dini ya kikristo kupitia tamthilia .Tunaomba wahusuka wqngalie hili kwq haraka.
Ni mkataba wa kitapeli snHadi viongozi wa dini wanaupinga huu mkataba ujue ni wa kihuni zaid na haufai.Shauri zenu watawala msiposikia sauti za wengi maana sauti za wengi ni ya Mungu.
Ule siyo mkataba, ni ushenzi wa hali ya juu. Kama ni mkataba mzuri, waypeleke hivyo hivyo huko Zanzibar.Ni mkataba wa kitapeli sn
Ni vigumu sana kumwamini pengo,hasahasa kwa watu wenye fikra mbilikimo kama wewe. Wewe una julikana waazi ni mtu wa aina ipi.Tatizo la Pengo ni kutokuaminika
Hoja ya pengo umeielewa?, ameongolea juu ya kuwajengea uwezo watanzania,wewe nawe unalipuka na mengine tu.It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?