Nimemsikia mwenyekiti wa wafanyabiashara wa kariakoo anasema kwa mwezi Kodi inayopatikana Kariakoo ni bilion 14 , mbona kidogo sana?!Wewe unaiita Kariakoo dampo una akili kweli? Hivi unajua thamani ya mitaji ya biashara waliyoiweka watu pale?
Acha dharau mdogo wangu, pale pana mzunguko sana wa fedha na hata wateja kutoka nje ya nchi kama Congo huenda kununua bidhaa Kariakoo. Bidhaa zinatoka Kariakoo zinaenda mikoani
Mpaka Kariakoo iitwe mkoa wa kikodi unafikiri TRA walikurupuka
Hili haliondoi ukweli kwamba ni eneo linalochangia pakubwa Tanzania kutofikia uchumi wa viwanda.Kariakoo ni mkoa wa kikodi , watu kutoka nchi jirani wamejaa kariakoo kununua vitu.. wa comoro wamejaa kariakoo wakifunga mizigo..
Mzigo kiasi gani unatoka Kariakoo kwenda China?Karikoo ni TRADING ECONOMY ni uchumi unaojitegemea na hakuna nchi isiyofanya TRADING meli haziji TZ tu daily Meli zipo baharini kupeleka bidhaa kila sehemu ya Dunia.
Kwani kariakoo ni bandari hadi itoe mzigo kwenda chinaMzigo kiasi gani unatoka Kariakoo kwenda China?
Imeshakuwa dampo la bidhaa za nje siku nying sana, hadi sukari na mafuta ya kula vinaagizwa kutoka nje!Ndio vinatakiwa vipromotiwe, mapinduzi ya viwanda hayaji kwa kuoenda vya nje, Hii nchi inaend akuwa Dampo la kudumu la bidhaaa za nje
Inavyopokea mizigo kutoka China kwani ni bandari?Kwani kariakoo ni bandari hadi itoe mzigo kwenda china
Ok. Kwahiyo maduka yasifunguliwe siyo?
Ulitaka iwe kiasi gani?Nimemsikia mwenyekiti wa wafanyabiashara wa kariakoo anasema kwa mwezi Kodi inayopatikana Kariakoo ni bilion 14 , mbona kidogo sana?!
Sawa, lakini tujiulize kama visipokuwepo hizo bidhaa za China n.k. wafanyabiashara watauza nini? Nchi hii hata sabuni ya mche ya kufulia zinaagizwa nje. Kuna mahali tumekwama.Kariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.
Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.
Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.
Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?
Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.
Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?
Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?
Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.
Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.
Soko la Kariakoo na kutofikia uchumi wa viwanda ni vitu viwili ambavyo havihusiani kabisaHili haliondoi ukweli kwamba ni eneo linalochangia pakubwa Tanzania kutofikia uchumi wa viwanda.
Bilioni 100Ulitaka iwe kiasi gani?
Akikupinga hapa wala usimjibu, mpuuze.Una uwezo mdogo wa kujenga hoja.
Ukisema kariakoo haina umuhimu kwa uchumi, uchumi ni nini na unajengwa na vitu gani. Kwa akili yako uchumi ni viwanda tu nani alikukaririsha uchumi ni viwanda tu.
Ilala ndio sehemu inachangia aslilimia kubwa ya makusanyo ya kodi nchi nzima hii TZ na mapato hayo ndio yanaenda kuunda pato la Taifa la ujumla. Unasemaje halina umuhimu hizi akili.
Viwanda hio ni sector nyengine kabisa initiate kujengwa kwa viwanda kama factor moja ya kiuchumi ila usi initiate factor kwa ku-undermine factor nyengine. Karikoo ni TRADING ECONOMY ni uchumi unaojitegemea na hakuna nchi isiyofanya TRADING meli haziji TZ tu daily Meli zipo baharini kupeleka bidhaa kila sehemu ya Dunia.
Kama unawaza Uchumi ni kiwanda una safari ndefu kujifunza uchumi.
Serikali gani iko madarakani?Viwanda havijenngwi na Chama vinajengwa kwa Sera nzuri ambazo Bongo hazipo, tumekalia siasa za Uchawa tu na kudanganyana
Itabeba products za kutoka mikoa ya kanda ya ziwa, Burundi na Rwanda. Afrika inalo tatizo la wanasiasa kudanganywa na wazungu na wao kugeuka tegemezi bila hata ya kupanua fikra zao juu ya nini wanachoweza kuuza huko nje.Dunia nzima nchi zinapigana kuwa nchi za viwanda, na wanajua nguvu ta nchi yoyoe iko kwenye viwanda na si kuwa Dumping site.
Su bure meli za mizigo zinageuza tupu kurudi ziliko toka then tunashangilia, yaanu tunashangilia meli kubwa za mizigo kutua nanga kuleta products na kuondoka tupu?
Magari ya mizigo huwa yanarudi tupu Dar es salaam mengine yanaamua kubebana kwa sababu sisi ni Dumping site ya products za nje ya nchi.
Sijui SGR itabeba mizigo gani kupeleka Dar es salaam Bandarini
Unajua jinsi kodi inavyokusanywa hapo K/koo?Bilioni 100
Dubai wanazalisha nini na je product zao zinatoka wapiBongo ni siasa mkuu, ni aibu kituo cha Biashara kuwa na asilimia 100 ya bishaa. za nje na tunashangilia mno, ni ujinga mkubwa sana.
Kariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.
Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.
Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.
Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?
Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.
Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?
Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?
Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.
Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.
UAE wanazalisha mafuta, gesi na kila huduma ya anasa dunia hii.Dubai wanazalisha nini na je product zao zinatoka wapi
Acha kudanganya , uchumi wa nchi hii unategemea kila mwananchi mwenye uhai , so kusema soko kama ilo halina umuhimu japo wanaondesha pale wapo na uhai na wana connection mbalimbali ya wafanyabiashara ndani ya nchi na kutoka nchi zinazotuzunguka ni uhuni wa kujifariji tuKariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.
Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.
Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.
Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?
Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.
Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?
Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?
Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.
Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.