Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wewe uwezo wako ni mdogo sana wa kuelewa mamboHata China ukienda utakuta bidhaa za Japani, India Ulaya, Marekani na Korea kusini, Maada ngumu hii huwezi elewa.
Kariakoo pale ni asilimia 100, Kariakoo ni Dampo make pake ni asilimia 100
Dunia nzima nchi zinapigana kuwa nchi za viwanda, na wanajua nguvu ta nchi yoyoe iko kwenye viwanda na si kuwa Dumping site.
Su bure meli za mizigo zinageuza tupu kurudi ziliko toka then tunashangilia, yaanu tunashangilia meli kubwa za mizigo kutua nanga kuleta products na kuondoka tupu?
Magari ya mizigo huwa yanarudi tupu Dar es salaam mengine yanaamua kubebana kwa sababu sisi ni Dumping site ya products za nje ya nchi.
Sijui SGR itabeba mizigo gani kupeleka Dar es salaam Bandarini
Unawalaumu watu wa kariakoo au wanasiasa kutokua na viwanda lawama unawapa watu wa kariakooHaiondoi neno Dampo, Kariakoo ni Dampo la products za kigeni, shida wana siasa wanawadanganya sana, mitaji haibadili ukweli, maada ngumu huwezi elewa
Hembu tulia uandike kwa utulivu, ulichokiandika hata wewe mwenyewe unaweza usikielewe.Acha kudanganya , uchumi wa nchi hii unategemea kila mwananchi mwenye uhai , so kusema soko kama ilo halina umuhimu japo wanaondesha pale wapo na uhai na wana connection mbalimbali ya wafanyabiashara ndani ya nchi na kutoka nchi zinazotuzunguka ni uhuni wa kujifariji tu
Mfanyabiashara mmoja anaweza kuwa na connection ya wafanya biashasha wenzake 200 na kuzidi ndani na nje ya ichi usione watu wanafika pale kufunga mzigo ,unalija hilo , kama hujui tafiti ,msiipoteze serikali kwa mabandiko yenu uchwara , diplomacia inahitajika katika kutatua mgogoro huu sio ubabe au siasa
Nyie mnafikiri wapikao pale funga mizigo wanakuja tu , acheni ujua
Nani alikudanya viwanda vinajengwa na seraViwanda havijenngwi na Chama vinajengwa kwa Sera nzuri ambazo Bongo hazipo, tumekalia siasa za Uchawa tu na kudanganyana
Mkuu wangu kuna mambo ya hovyo sana tz hasa katika uwekezaji na kufanya biashara.Unachokieleza ni sahihi kabisa. Lakini kwa upande mwingine ni kuwa kwa kuwa tumekosa uzalishaji kutokana na sera mbovu za uchumi za Serikali, japo kiuhalisia uchuuzi una nafasi ndogo katika kujenga uchumi wa nchi, lakini angalao huo uagizaji nje hizo bidhaa duni za China, na ndiyo unaowahakikishia wananchi upatikanaji wa bidhaa. Wananchi hawana namna kwa sababu upeo wa viongozi wa nchi katika masuala ya uchumi ni hafifu sana.
Msululu wa kodi kwa viwanda, sera hovyo za uchumi uchumi, na sheria zinazobadilika kila mara kwenye uwekezaji, zinazuia kabisa ukuzaji wa viwanda.
Kaa pembeni kama hujaelewa jf hatujifunzi muandikoHembu tulia uandike kwa utulivu, ulichokiandika hata wewe mwenyewe unaweza usikielewe.
Wabongo kitu pekee tunacho weza kufanya kwa weledi wa hali ya juu basi huwa ni KULALAMIKA, KULIA LIA na KUKOSOAKariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.
Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.
Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.
Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?
Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.
Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?
Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?
Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.
Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.
Dubai wanategemea uchuuzi? kaangalia mapato ya Dubai yanatokana na nini then rudi hapaDubai wanazalisha nini na je product zao zinatoka wapi
Kitovu cha kuwa kituo cha Ku import bidhaa za nje, Tungekuwa na viwanda vingekuwa na mchango mkubwa sana kuliko hio KariakooMwa ujuavyo nchi yako uchumi wake unatokana na kuinport au kuexport? Katika mzan wa %
Ukipata jibu
Hutoibeza kariakoo ndo kitovu cha uchumi wa nchi kibiashara
KitumbiniHiviii bidhaa zinazozalishwa na viwanda vyetu zinauzwa wapi kama 100% ya bidhaa zinazouzwa Kariakoo zinatoka China?
Sikiliza wewe ,ndio hatuna viwanda ,ila tuna wafanyabiashara wakubwa , kupita wafanyabiashara serikali inaweza kuamua tu kwambaWabongo kitu pekee tunacho weza kufanya kwa weledi wa hali ya juu basi huwa ni KULALAMIKA, KULIA LIA na KUKOSOA
Tz hakuna kiwanda cha nguo, viatu, simu, kompyuta, simu, tv, radio nk nk....... Lakini wanao leta hizo bidhaa ambazo ni muhimu na za lazima kwenye maisha unawaita HAWANA UMUHIMU WOWOTE
Badala tuchangamkie fursa ya kujenga viwanda sisi tunalia lia eti katiakoo hai hamasishi ukuaji wa viwanda Tz
Sasa sijui ulitaka Chalamila apige marufuku uagizaji bidhaa nje?
Mkuu swala la uchumi halipo hivyo, nchi inanunua kwa wingi nje bidhaa ambazo haizalishi
Kama tunataka hivyo tujenge kwanza viwanda vyetu
BTW unajua ni kiasi gani serikali inakusanya kwa mwaka pale kariakoo?
Unadhani ni kwa nini kariakoo ni “mkoa maalumu”wa kikodi?
Angalia tu sakata la sukari lilivyo
Serikali inalinda viwanda vya ndani kwa kudhibiti uagizaji sukari nje lakini bado viwanda vinasuasua tu
Ukweli ni kwamba Kariakoo ni MUHIMU sana kwenye kuchangia pato kwasababu hatuna viwanda mbadala vya kuzalisha bidhaa zinazoagizwa
Ni kazi ngumu sana kutuelewa Wabongo huwa tunataka nini haswa
Mmh umesoma kweli alicho kujibu mkuu apo juu?Sikiliza wewe ,ndio hatuna viwanda ,ila tuna wafanyabiashara wakubwa , kupita wafanyabiashara serikali inaweza kuamua tu kwamba
Kupitia wafanyabiashara tulionao ikaingiza mguu kwamba kama ni vifaa vya entronics, wafanyabiasha hawa ndo watakua wanaleta baada ya ushindanishi kutoka mataifa mbalimbali , kadhalika vyombo vya ndani n.k ,ila hata hivyo viwanda nani ameviua?
Hujaelewa pita kushoto ,kuchapia jambo la kawaida jf is my home ,hatuna mtiani wa kuandika hapa , nimekosea jiongezeMmh umesoma kweli alicho kujibu mkuu apo juu?
Je ulichokiandika pia umekisoma?
Jamaa amekujibu kiuchumi zaidi sio porojo Kama zako, inaonesha zahiri wew unakinga mkono mwisho wa mwezi..
Tuna wachumi uchwara tena wanikome, Mbunge Msukuma uchumi kasomea wapi ,na yupo na hela kiasi gani, Kishimba kasomea uchumi wapi ,nenda pale Dodoma mkabala na chuo cha mipango angalia kijiji kama sio makazi ya wapangaji alichofanya pale na je ni pale tu hulizia historia yake .Mmh umesoma kweli alicho kujibu mkuu apo juu?
Je ulichokiandika pia umekisoma?
Jamaa amekujibu kiuchumi zaidi sio porojo Kama zako, inaonesha zahiri wew unakinga mkono mwisho wa mwezi..
Wafunge milele Kama wataweza, serikali inawadekeza Sana, angekuwepo magu ndo mngelijua jiji.Ok. Kwahiyo maduka yasifunguliwe siyo?