Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
🤣🤣Natumia tecno camon 16s mwaka wa 3 sasa na napata internet speed 4G, rom 128Gb na ram 4.
kamera kali, chaji inatulia sana
kabla hujajifungia kwenye gereza la Iphone, waza kuhusu autoparts za simu yako, vingapi utakosa kwa wenzio ukiwa na hayo masimu😂😂
Mazoez mepesi sana tajiri Return mikono miwili nasolve Karibu san 0682400906Wale wa mazoezi??
Ipo tajiri Karibu sanaaa 0682400906tecno ya batani ya elfu 40 unayo hapo? Cha muhimu iingie fesibuku tu
750k pin dot clean 1.2Google pixel 6 pro sh ngap
Nipe bei ya Google pixel 5&6&7750k pin dot clean 1.2
Na picha zakeNipe bei ya Google pixel 5&6&7
kwa mimi ninaetaka kuhama kutoka infinix ambayo uwezo wake ni RAM 2.00GB, ROM 32.00GB, CAMERA 13M DUAL, BATTERY 6000mAhIpo tajiri Karibu sanaaa 0682400906
5 450,850 6,7 1.25MNipe bei ya Google pixel 5&6&7
5 450,850 6,7 1.25M
Kwa samsung ambazo zinakaa na chaji kwa muda mrefu ni A series kwaiyo wew unaweza kuchagua kwanzia A 13 mpak A 72 maelekezo zaidi 0682400906 whats appkwa mimi ninaetaka kuhama kutoka infinix ambayo uwezo wake ni RAM 2.00GB, ROM 32.00GB, CAMERA 13M DUAL, BATTERY 6000mAh...
elekeza hapahapa situmii whatsappKwa samsung ambazo zinakaa na chaji kwa muda mrefu ni A series kwaiyo wew unaweza kuchagua kwanzia A 13 mpak A 72 maelekezo zaidi 0682400906 whats app
Galaxy S20Kwa thamani na ubora wa google pixel 5 inaweza kufanana na samsung ipi