Karipio la Rais Samia: Unaiba hela ya Umma ikusaidie nini? Utazikwa nayo? Utajibu nini Mbele ya Mungu?

Karipio la Rais Samia: Unaiba hela ya Umma ikusaidie nini? Utazikwa nayo? Utajibu nini Mbele ya Mungu?

Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!
Rais anapiga porojo, nawewe unaleta porojo.

Rais Ni mamlaka, tulitarajia atangaze kuchukua hatua za uwajibikaji na uwajibishaji.

Haya madudu yameanza leo? Tuache porojo.
 
I wish tungekua na rais ambaye anasema "Mwenyezi Mungu amenituma niwashughulikie wezi wa fedha za umma na walevi wa madaraka effectively"

"Umepewa fedha za mradi, umekula percent kadhaa, umepunja mradi mwisho wa siku haujakamilika. Inatakiwa CV yako ipigwe banned, kamwe usifanye tena kazi ya umma, na inatakiwa kesi yako iendeshwe haraka sana uanze kutumikia kifungo na adhabu ya makosa yako kwa mujibu wa sheria na ikiwezekana ufilisiwe" Yani kiongozi akizingua kwa makusudi hakuna second chance, ni banned for life. Mpaka watu waogope kuwa viongozi na sio kukimbilia kadi za chama ili wapate fursa za kucheza na fedha za umma.

Siku top leaders wetu wakiwa na mindset za hivi, vitu vingi vitanyooka. Ila mambo ya kumuachia Mungu na kusameheana kwa kuhamishana vitengo hayawezi kututoa tulipo. We need patriotic & responsible Leaders.

Story za wateuliwa kula hovyo kodi za watu tumezichoka. Na ni weakness kubwa sana kwenye utawala kama watu uliowakabidhi majukumu fulani wanakuchezea na huwawajibishi. Imagine mtu anakatwa kodi kwenye biashara yake au mshahara wake and then badala ya kuwaza kuwa hizi fedha zitasaidia kuleta ahueni kwenye nchi yake anaanza kuwaza kuna washenzi wanaenda kuzila kiu laini sana na hawatafanywa kitu. Ndio tumefika hapo!
Hii mentality walikuja nayo Wachina, na mpaka leo hela na mali za serikali zinaogopwa vibaya sana kule.


Hapa ukitaka kukamata wezi kwasasa ni kuangalia mishahara yao pamoja na vyanzo vyao vingine vya mapato ambavyo vinaweza kuthibitika kisha vilinganishwe na utajiri walio nao, kama haviendani firisi wote na wafikishwe vizimbani.


Hii nchi watu wezi wanatakiwa waishi kama mashetani, walimie meno haswa, ila ndohivyo tuna rais mrembuaji tu.
 
Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!
😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!
Hawazikwi nazo lakn watawaachia vizazi vyao urithi wa kutosha.
 
Ni kweli, ila kabla ya kumsema MUNGU mtukufu mno, tutumie sheria zetu tulizotunga bungeni.
Ikumbukwe kabla ya kikao cha bunge letu kuanza huwa tunasali.
 
Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!
zinawasaidia kula mbususu kwani mwisho wa siku lengo ni kula pisi kali. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Lile jamaa leo usiku kuna watu wangelala jela na zile Landcruiser LX zingekuwa busy kupeleka watu chimbo zisizojulikana..

Misiba ya vifo vya sukari na pressure hii week ingekuwa mingi sana.
 
Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!
EEEeeeenHeeeee!

Huu "uchungu", hatimaye utakuwa 'Utungu'.

"...mbele za Mungu", sote tusemeee "Tumwachie Mungu"!

WaChina hawajui habari za mungu wala nini, ndiyo maana mijizi ya huko haisubiri "Kumwachia Mungu".

Hizi ni kasumba ambazo mijizi yetu hapa inaielewa vizuri sana, na hasa kutoka kwa kiongozi kama huyu.

Tuendelee tu kumwomba mungu hapo tutakapofika "mbele zake."
 
Kwamba Mhe. Rais amemuachia Mungu swala hili ama????.

Wajameni nielewesheni maana sijaelewa kabisa.
 
Mama anapigana vita na watu wa karibu yake na wanamjua wanacheka nae na kuna wengine ni marafiki zake. TRC ile inapigwa vita kila siku sababu kuna wabunge kibao wana malori ya mizigo na mabasi ya kubeba abiria lazima tu walichezee rafu lile shirika na tena wengine ndio wafadhili kwenye kampeni zao za siasa,TTCL lile shirika wakina Rostam na wabunge wake ndio walio liharibu tokea zamani nk.

Kwa hiyo bi mkubwa kama akitafakari wanao muhujumu ni watu anao wajua na wengine ni sehemu ya marafikizake ambao ni wanafiki wanamchekea huku wao wakiendesha mambo ya kwa maslahi yao.
Tunahitaji mapinduzi ya kweli, vinginevyo hatufiki popote.

Viongozi wa aina hii, tunapoteza tu wakati.
 
I wish tungekua na rais ambaye anasema "Mwenyezi Mungu amenituma niwashughulikie wezi wa fedha za umma na walevi wa madaraka effectively"

"Umepewa fedha za mradi, umekula percent kadhaa, umepunja mradi mwisho wa siku haujakamilika. Inatakiwa CV yako ipigwe banned, kamwe usifanye tena kazi ya umma, na inatakiwa kesi yako iendeshwe haraka sana uanze kutumikia kifungo na adhabu ya makosa yako kwa mujibu wa sheria na ikiwezekana ufilisiwe" Yani kiongozi akizingua kwa makusudi hakuna second chance, ni banned for life. Mpaka watu waogope kuwa viongozi na sio kukimbilia kadi za chama ili wapate fursa za kucheza na fedha za umma.

Siku top leaders wetu wakiwa na mindset za hivi, vitu vingi vitanyooka. Ila mambo ya kumuachia Mungu na kusameheana kwa kuhamishana vitengo hayawezi kututoa tulipo. We need patriotic & responsible Leaders.

Story za wateuliwa kula hovyo kodi za watu tumezichoka. Na ni weakness kubwa sana kwenye utawala kama watu uliowakabidhi majukumu fulani wanakuchezea na huwawajibishi. Imagine mtu anakatwa kodi kwenye biashara yake au mshahara wake and then badala ya kuwaza kuwa hizi fedha zitasaidia kuleta ahueni kwenye nchi yake anaanza kuwaza kuna washenzi wanaenda kuzila kiu laini sana na hawatafanywa kitu. Ndio tumefika hapo!
Jpm jpm,alijaribu,ilikuwa ni hatari kuzishika sharibu za jpm kwa kuiba hela za umma,lkn leo ndio anaitwa dikteta,
 
Samia ni mpole mno, yaani hata kufoka anajilazimisha tu, hapo anaongea wapigaji wanamng'ong'a tu. Alipaswa achukue hatua hapo hapo, report unayo mezani inaonesha watu wamepiga, halafu kirahisi tu unasema watupishe....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kazi ipo
Anamuachia Mungu[emoji16]
 
Halafu saiv wanalalamika kuibiwa😂😂😂si walijiita wacha Mungu hawatatumia lugha kali wala nguvu kubwa

Jk alikua anacheka cheka wakamuita dhaifu


Magu alikuwa ananyoka nao wakamwita dikteta

Amekuja mpole wanasema kwanini anacheka
Watz hawaeleweki wanataka nini
 
Back
Top Bottom