DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mbona kuna watu wanatoa negative na wanapata positive.
Mwizi anaiba anapata, halafu kuna mtu ambaye anatoa kuwapa maskini ila yeye hapati chochote in return, mpaka akahangaike tena kutafuta alichotoa kuwapa maskini ili kirudi ku replace kile alichotoa.
Mimi ninachosema hapa ni kwamba,πππ wewe jamaa unaonekana mbishi Sana japokuwa unakuaga na hoja za msingi Ila hii umechemka 100%
Kitendo cha kuhusisha hoja hii ya karma na umasikini umezingua.
Kitu Ambacho weakest people huwa wanakosea ni kutafsiri neno karma hasa wanapojua karma inatoa majibu katika mambo mabaya na kusahau pia kuwa karma inatoa majibu hata katika mambo chanya.
Mimi ninachosema hapa ni kwamba,
Hakuna kitu chochote kile kinachotoa majibu ya mambo yetu hapa duniani.
Majibu ya mambo yetu ni sisi wenyewe.
Hata hiyo karma ni dhana ya kutungwa tu na sisi wenyewe.
Ila in reality hai apply na haipo.
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Hata chanzo cha kila kitu lazima kiwe na chanzo chake kingine.Je mkuu kila kitu kina chanzo na chanzo cha binadamu ni nini mkuu?
Unaamisha binadamu hana chanzoKama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Hata chanzo cha kila kitu lazima kiwe na chanzo chake kingine.
Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe tu, pasipo chanzo, Maana kitazua maswali ya kiliwezaje ku exist chenyewe pasipo chanzo.
Ili ulazima huu U apply kwa kila kitu.
Na kwa hivyo, Kutakuwa na vyanzo vingi visivyokuwa na mwisho (Endless) to Infinity...
Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina chanzo, Hata Ulimwengu na vyote vilivyomo except man-made things, Havina na havihitaji kuwa na chanzo.
Hivyo Ulimwengu, binadamu na viumbe hai wote except man-made things, Havina chanzo.
Wapendwa katika Bwana wapigwa za uso kivipi ?Kidogo nimekuelewa labda aje tena DR Mambo Jambo naona wapendwa katika bwana wapigwa za uso..
Ndio hana chanzo.Unaamisha binadamu hana chanzo
YesGod never exist Ila ni Picha iliyojengeka katika akili za watu
YesKarma the same never exist
Binafsi wewe unaamini katika one realm
Mimi nimekupata Ila tumepishana kimantiki Ila tumeendana kimaana
Dini inakataza wasiue wakati dini ina ua π€Wapendwa katika Bwana wapigwa za uso kivipi ?
Karma(tendo ) ina apply wote , watenda mazuri na watenda mabaya.
Mimi naona wapendwa katika Bwana wako kwenye upande salama maana dini inawafundisha kutenda mema na kuwakataza wasiue, wasiibe n.k
You don't need religion to have Morals. If you can't determine right from wrong then you lack common sense not religion.Wapendwa katika Bwana wapigwa za uso kivipi ?
Karma(tendo ) ina apply kwa wote , watenda mazuri(mema) na watenda mabaya.
Mimi naona wapendwa katika Bwana wako kwenye upande salama maana dini inawafundisha kutenda mema na kuwakataza wasiue, wasiibe n.k
Mkuu umeniquote vibaya: kwanza ni sahihi kwamba, Tabia njema haihusiani na mafanikio , mafanikio ni mchakato, ukiuweza huo mchakato ukapenya unatusua, huo mchakato ukikushinda, unafeli - karma.Kuna binadamu wanatia juhudi sana kwenye maisha, lakini bado wana angukia pua.
Nakumbuka kipindi nipo Advance level, kuna jamaa mmoja alikuwa kombi ya PCM alikuwa anafua msuli vibaya mno. Yani alikuwa anapiga kitabu balaa.
Lakini mwisho wa siku Necta alipiga divisheni four.
Kuna watu wana tabia mbaya na wana mafanikio makubwa.
Kuna watu wana tabia njema ila hawana mafanikio na wengine ni maskini choka mbaya.
Kwa hiyo hakuna uhusiano wowote wa tabia njema na mtu kufanikiwa.
By experience mtu akikwambia anamwachia MUNGU Kwa Sisi waswahili ni unafki Tu WA kumshirikisha Mungu...Huyo mtu hajakusamehe na kitu anachofanya ni kutumia ushirikina kukudhuru...Na Kwa asilimia kubwa atakulipa kisasi Tu..Watu wanaosema namwachia Mungu wengi ni wanafki WA kuogopa Sana.Mbona mababu zetu waliteswa sana kipindi cha ukoloni na walimwachia huyo Mungu lakini hajafanya chochote?
Huyo Mungu ni Mungu gani?
P popote ulipo pitia huu uzi na utuambie je ni kweli umekuwa ukitufariji tu,ama umekuwa ukitudanganya kwa manufaa ya kundi gani au nani?Kuhusu karma.Karma Doesn't exist.
Karma ni dhana ya kimaskini inayowapa matumaini uchwara watu maskini kujifariji na matatizo yao dhidi ya watesi wao.
Mababu zetu waliteswa sana na kusulubishwa ipasavyo wakati wa utumwa na ukoloni, Lakini hiyo karma haijawahi kufanya, haijafanya na haitakaa ifanye chochote dhidi ya wazungu.
Waafrika wamebaki maskini na wazungu wanazidi kuwa matajiri.
Unafikiri matajiri watateseka kwa sababu ya kudhulumu maskini kisa eti kuna karma?
Haitakaa itokee, Sahau na futa hii dhana kabisa akilini mwako.
Tuanze tu hapa Afrika. Watawala wengi na viongozi wa serikali wamekuwa wakiwahujumu wananchi wao kwa ufisadi, wizi wa fedha za umma, ubadhirifu wa mali za umma na kuwasulubu raia wao kwa kuwatwanga kodi kubwa.
Wananchi wanabaki kulia lia tu, Mara oooh! Tunamwachia Mungu, Mungu atatenda, Mungu atafanya, Mungu atatulipia, Wengine wanajifariji Karma itawafunza viongozi wao!! Na maneno mengi ya kujifariji. Lakini mwisho wa siku hakuna kinacho tokea.
Watawala na vizazi vyao wanazidi kuneemeka na kutajirika huku wananchi walala hoi na vizazi vyao wanazidi kuwa makapuku, makabwela, mafukara na maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.
The rich goes richer, the poor goes poorer.
Kama karma ingekuwa inafanya kazi kweli, Manung'uniko yote ya wananchi maskini kudhulumiwa na wanasiasa matajiri yangefanya karma iwafikie wanasiasa wote na kuwafanya wabadilike.
Lakini hakuna kinachotokea na karma haionekani kusaidia chochote zaidi ya kuwapa matumaini uchwara tu, wadhulumiwa watu maskini.
Maskini wanazidi kuwa maskini na manung'uniko yao na matajiri wanazidi kuwa matajiri licha ya kuwadhulumu maskini.
Karma is an illusion.
Forget about karma, Make your own money live the best life you can live. Stop hoping that karma will catch up with your oppressors. It won't.
Never think that the rich will suffer because they oppress the poor. Never they won't.
Mababu zetu waliteswa sana na wakoloni na hiyo karma haikufanya chochote.
Watawala na viongozi wa Afrika wanazidi kuwatesa waafrika na hiyo karma haifanyi chochote.
Karma doesn't exist. In the jungle of life salvation is largely on your hands.
I'm out.
Babu zetu waliteswa kwa sababu ya ushenzi waliokuwa nao wa kutoa watoto kafara kwa miungu yao.Karma Doesn't exist.
Karma ni dhana ya kimaskini inayowapa matumaini uchwara watu maskini kujifariji na matatizo yao dhidi ya watesi wao.
Mababu zetu waliteswa sana na kusulubishwa ipasavyo wakati wa utumwa na ukoloni, Lakini hiyo karma haijawahi kufanya, haijafanya na haitakaa ifanye chochote dhidi ya wazungu.
Waafrika wamebaki maskini na wazungu wanazidi kuwa matajiri.
Unafikiri matajiri watateseka kwa sababu ya kudhulumu maskini kisa eti kuna karma?
Haitakaa itokee, Sahau na futa hii dhana kabisa akilini mwako.
Tuanze tu hapa Afrika. Watawala wengi na viongozi wa serikali wamekuwa wakiwahujumu wananchi wao kwa ufisadi, wizi wa fedha za umma, ubadhirifu wa mali za umma na kuwasulubu raia wao kwa kuwatwanga kodi kubwa.
Wananchi wanabaki kulia lia tu, Mara oooh! Tunamwachia Mungu, Mungu atatenda, Mungu atafanya, Mungu atatulipia, Wengine wanajifariji Karma itawafunza viongozi wao!! Na maneno mengi ya kujifariji. Lakini mwisho wa siku hakuna kinacho tokea.
Watawala na vizazi vyao wanazidi kuneemeka na kutajirika huku wananchi walala hoi na vizazi vyao wanazidi kuwa makapuku, makabwela, mafukara na maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.
The rich goes richer, the poor goes poorer.
Kama karma ingekuwa inafanya kazi kweli, Manung'uniko yote ya wananchi maskini kudhulumiwa na wanasiasa matajiri yangefanya karma iwafikie wanasiasa wote na kuwafanya wabadilike.
Lakini hakuna kinachotokea na karma haionekani kusaidia chochote zaidi ya kuwapa matumaini uchwara tu, wadhulumiwa watu maskini.
Maskini wanazidi kuwa maskini na manung'uniko yao na matajiri wanazidi kuwa matajiri licha ya kuwadhulumu maskini.
Karma is an illusion.
Forget about karma, Make your own money live the best life you can live. Stop hoping that karma will catch up with your oppressors. It won't.
Never think that the rich will suffer because they oppress the poor. Never they won't.
Mababu zetu waliteswa sana na wakoloni na hiyo karma haikufanya chochote.
Watawala na viongozi wa Afrika wanazidi kuwatesa waafrika na hiyo karma haifanyi chochote.
Karma doesn't exist. In the jungle of life salvation is largely on your hands.
I'm out.
Hao wakunungwa uliowataja wako β .Kama karma ni sawa na "kuvuna ulicho panda" basi hai apply kwa mambo yote.
Kuna watu wanapata bahati kwenye maisha bila hata ya kujihangaisha na wala hakuna walicho panda.
Yani wao ni kamseleleko tu.
Sasa hapa karma haipo.
Kuna watu wanavuna vitu ambavyo hata hawajapanda.
Hiyo inaitwa kiroho saaafiiView attachment 3167368karma is really broh naquote"Tutaonana siku moja kwenye mitikasi ya dunia Mama usijali kadunia huwa kana ushenzi sana huwez nielewa sasa hivi"
Bro unapiga kwenye mshonoπππππKarma Doesn't exist.
Karma ni dhana ya kimaskini inayowapa matumaini uchwara watu maskini kujifariji na matatizo yao dhidi ya watesi wao.
Mababu zetu waliteswa sana na kusulubishwa ipasavyo wakati wa utumwa na ukoloni, Lakini hiyo karma haijawahi kufanya, haijafanya na haitakaa ifanye chochote dhidi ya wazungu.
Waafrika wamebaki maskini na wazungu wanazidi kuwa matajiri.
Unafikiri matajiri watateseka kwa sababu ya kudhulumu maskini kisa eti kuna karma?
Haitakaa itokee, Sahau na futa hii dhana kabisa akilini mwako.
Tuanze tu hapa Afrika. Watawala wengi na viongozi wa serikali wamekuwa wakiwahujumu wananchi wao kwa ufisadi, wizi wa fedha za umma, ubadhirifu wa mali za umma na kuwasulubu raia wao kwa kuwatwanga kodi kubwa.
Wananchi wanabaki kulia lia tu, Mara oooh! Tunamwachia Mungu, Mungu atatenda, Mungu atafanya, Mungu atatulipia, Wengine wanajifariji Karma itawafunza viongozi wao!! Na maneno mengi ya kujifariji. Lakini mwisho wa siku hakuna kinacho tokea.
Watawala na vizazi vyao wanazidi kuneemeka na kutajirika huku wananchi walala hoi na vizazi vyao wanazidi kuwa makapuku, makabwela, mafukara na maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.
The rich goes richer, the poor goes poorer.
Kama karma ingekuwa inafanya kazi kweli, Manung'uniko yote ya wananchi maskini kudhulumiwa na wanasiasa matajiri yangefanya karma iwafikie wanasiasa wote na kuwafanya wabadilike.
Lakini hakuna kinachotokea na karma haionekani kusaidia chochote zaidi ya kuwapa matumaini uchwara tu, wadhulumiwa watu maskini.
Maskini wanazidi kuwa maskini na manung'uniko yao na matajiri wanazidi kuwa matajiri licha ya kuwadhulumu maskini.
Karma is an illusion.
Forget about karma, Make your own money live the best life you can live. Stop hoping that karma will catch up with your oppressors. It won't.
Never think that the rich will suffer because they oppress the poor. Never they won't.
Mababu zetu waliteswa sana na wakoloni na hiyo karma haikufanya chochote.
Watawala na viongozi wa Afrika wanazidi kuwatesa waafrika na hiyo karma haifanyi chochote.
Karma doesn't exist. In the jungle of life salvation is largely on your hands.
I'm out.
Pimbilisi au simbilisi?Bro unapiga kwenye mshonoπππππ
HALF HUMANS HALF ANIMALS(BLACK PROPLE) Watapinga sanaπππππππ sijui ilikuwaje mpaka inapelekea maskini kuwa na imani kali kiasi hichoππππ
Gonga nyundo hizi pimbilisi bado zinapumuaπ€£π€£π€£