James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Issa Shivji ambaye watu wanamponda humu alishaelezea kuhusu Zanzibar kuwa nchi ama si nchi miaka kadhaa iliyopita. Alieza kisheria kuwa Zanzibar ni nchi (country) pia ni taifa ( nation) lakini siyo dola (state).Mkuu, Zanzibar ni nchi. Rejea kwenye Katiba ya Zanzibar.
source: zanzibar constitution.
YESU NI MASIHI
Mwenye kusikia na asome,amekuwa anairejelea Dubai kama nchi na siyo Mji!! Na hapa tunamzungumzia msomi wa ngazi ya PhD!
Nimeisoma point za msingi za kimkataba walikuwa honest kwenye kuelimisha umma.Mkuu IGA yenye kurasa 38 na udadavuzi wake kutoka Tanganyika Law Society wenye kurasa 14 umesoma?
Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
IGA nilisoma kwa kuruka ruka kulingana na vipengele tatanishi vilivyobainishwa. Taarifa ya TLS nimeisoma yote.Mkuu IGA yenye kurasa 38 na udadavuzi wake kutoka Tanganyika Law Society wenye kurasa 14 umesoma?
Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
What we have established so far Dubai sio jimbo ni state (nchi) that’s point A.
Point B as a state their ‘Federal Constitution’ determines what Dubai can and can’t do; hayo ndio ya msingi. Na kwa katiba yao wanaweza ingia IGA na nchi yeyote on devolved matters,
Mengine yote ni akili zako (logically) it has nothing to do with me.
Wameshangazwa mkataba unavyo mix UK laws na TZ laws/environment.Nimeisoma point za msingi za kimkataba walikuwa honest.
Baadae wakaongeza njonja za kisiasa ilimradi wakosoe tu.
Mfano kushangazwa na U.K. laws kutumika in dispute resolution. Wakati hapo kinachozungumziwa ni precedents za contract law za kimataifa ambazo msingi wake ni U.K. cases.
By nchi unamaanisha nini?Kiranga, hapo amesema kuna nchi mbili ya Tanzania na Zanzibar. Hapa anachambua mkataba naona kama kuna makosa. Ama dhana ya nchi haijaeleweka kwangu ama kwake.
Ni sawa na kusema Kiranga ni jina la mtoto and his surname is Kiranga.Haya maneno yana utata.
Jimbo ni nini na state ni nini?
Mbona NY ni state, halafu pia ni jimbo?
Unaandika kama vile kitu hakiwezi kuwa state na jimbo at the same time.
Wewe ulikuwa unabisha kama vile Dubai inaweza kusaini mikataba ya kimataifa bila idhinibya UAE, nimekuonesha kwamba katiba ya UAE hairuhusu hilo. Mikataba ya Dubai na nchibza kigeni ni kazima iidhinishwe na UAE.
Umekubali kwamba ubishi wako haukuwa na habari sahihi?
Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Aliyekwambia Vatican ni nchi ni nani au vigezo vya nchi kuwa nchi hauvijui? Ulishawahi kusikia balozi wa vatican katika umoja wa mataifa?Wewe punguani, hata Vatican ni nchi ndani ya nchi.
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Hivi tunaokufundisha wote kuwa Dubai ni nchi unatuona wajinga?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hawana msongo wowote,Sio msongo tu hawajui jiografia kabisa
Kwani nchi lazima iwe na balozi Umoja wa Mataifa?Aliyekwambia Vatican ni nchi ni nani au vigezo vya nchi kuwa nchi hauvijui? Ulishawahi kusikia balozi wa vatican katika umoja wa mataifa?
Ulivyosema nchi mbili Tanzania na Zanzibar ndio nomegundua uwezo wako mdogo wa kufikiri......Laba wewe ndiye hujaelewa..
Ni kweli Dubai ni moja ya Emirate (ufalme mdogo au ki - dola kidogo) zinazounda dola kuu ya kifalme inayoitwa United Arabs Emirates [UAE]..
Kama ilivyo ktk muungano wetu wa Tanganyika. & Zanzibar na kuunda kuunda dola kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) bila kujali kasoro zilizo ktk muungano wetu..
Katika JMT, bado ndani yake Kuna nchi mbili; ya Tanzania na Zanzibar na Kila nchi Ina mamlaka yake i.e mamlaka ya JMT na ile ya Zanzibar..
Vivyo hivyo huko UAE, iko mamlaka kuu ya muungano na vivyo hivyo hizi Emirates ndogo ndogo obviously ikiwemo ya Dubai zina mamlaka zao kamili.
Na bila shaka, hizi Emirates ndogo ndogo ikiwemo ya Dubai nazo zina mamlaka yake Kamili ikiwemo ya kuingia mikataba ya kimataifa kama huu dhidi ya Tanzania...
Ni ngumu mkoa usio na sovereignty as a state kuingia mkataba na sovereign State kama Tanzania...
Kama hii imefanyika, obvious itakuwa ni utapeli na uhuni wa kimataifa unaostahili kuchukuliwa hatua Kali za kinidhamu...
Na si hili tu, bali kama kweli ktk mkataba huu nchi yetu itakuwa imetiliana saini ya muhusiano ya kimataifa na nchi isiyo na sovereignty status halafu wanasheria wetu wakawa hawana ufahamu huu, basi si kosa kusema twaweza kusema kwa ujasiri kabisa kuwa, kumbe tuna wanasheria wajinga na wasio na uelewa wa mambo..!!
Kwanza kabisa, first correction, capital city ya NY state ni Albany, NY. Si NY.Ni sawa na kusema Kiranga ni jina la mtoto and his surname is Kiranga.
Jina lako ni Kiranga Kiranga.
NY is a state and it’s capital city is NY.
But then Ohio is a state and it’s capital city is Columbus.
Dubai is a state and its capital city is called Dubai, otherwise Dubai as a state ina miji mingine; so is NY.
Kuelezea hili, nimetoa maelezo ya Issa Shivji katika post number 86.By nchi unamaanisha nini?
Land, country, state, nation?
Zanzibar is not a country. It ceased to be a country in 1964. A country needs sovereignty to interact with other countries, Zanzibar does not have this. No country recognizes Zanzibar as a country.Kuelezea hili, nimetoa maelezo ya Issa Shivji katika post number 86.
Hapana mkataba upo wazi expressed terms za mkataba kuhusu umiliki wa ardhi zitakuwa sheria za Tanzania and all governing laws.Wameshangazwa mkataba unavyo mix UK laws na TZ laws/environment.
How are you going to apply UK laws kwenye mambo ya ardhi Tanzania wakati Tanzania watu hawamiliki ardhi wanapewa tu kwa miaka 33, 66 na 99 na serikali inamiliki ardhi?
Muhimu hapo ni kukubali NY is state and has its own capital city.Kwanza kabisa, first correction, capital city ya NY state ni Albany, NY.
Kubali umekosea basi. Mbona unakuwa mgumu kukubali umekosea?Muhimu hapo ni kukubali NY is state and has its own capital city.
Dah haya capital city ya NY is whatever you said it is. But NY is still a state.Kubali umekosea basi. Mbona unakuwa mgumu kukubali umekosea?
Ukikubali kwamba ulikosea na nimekufundisha kitu ulichokuwa hujui utapungukiwa nini?
Also, what has this got to do with the price of tea in China?