Kaa nyumbani usijishughulishe na siasa utakuja kuitwa siku moja kwamba umechaguliwa uwe Rais wetu ??!! Hii misemo inaleta contradiction sana !!Ila tukubali au tukatae haya Maneno ya majaliwa ni kweli kabisaa!!!! Sikuzote MUNGU anampa amtakaye hata ufanye vipi juhudi haishindani na KUDRA
Unaongea utafiki hii nchi umeizaa wewe.Utakufa utaiacha chadema ipo.You imbicile twat this country will never be ruled by dogs from CHADEMA
We niushuzi kweli huna akili za kujiongeza mpaka litajwe jina!! Elimu yetu inadumaza bongo za vijana ndomana mmezoea kutafuniwa ninyi ni kumeza tuu mmefundishwa kujibu mitihani siyo kuelewa alafu unakurupuka huko unaita MTU kilaza.. Damnittt!!!Wapi kataja job ndugai we kilaza , anawaasa wauaji
still mama's camp is really weak
majaliwa mwenyewe i doubt kama yupo mama's camp
mama afanye handshake na Mbowe ndio salama yake,trust me
Kwahiyo kumbe lengo ni kuingia tu ikulu bila kujali mtu ni weak au strong..mtu weak kama mama anatakiwa mtu strong kama Mbowe
mama afanye Handshake na opposition aone support na kuwazima mdomo sukuma gang ndani ya ccm
kama Uhuru na Raila vile...sasa hivi Ruto analia
Hahaha msukule ulijaribu kumwaga ugali, na mimi fasta bila kuchelewa nikamwaga mboga.Naona umepiga kwenye mshono
Akili ni nywele, kila mtu ana zake.Acha kuwa mzushi......
unahemkwa sana
Ameshindwa kubadilisha maisha yako na wanachadema wenzio ndio maana mnalia Lia hovyo.Anaweza kubadilisha quality ya maisha mnayoishi wewe na ukoo wenu wote ndani ya muda mfupi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mama hawezi kufanya hivyo hata mfanyejeremember mama ni rais mpaka utakapopiga kura 2025
hivyo kuna incumbency advantage...
ccm ndio watakua Team Tangatanga kama wale wa Ruto
Unataka kusema alikuwa anasema uongo akijua ni uongo mbele ya shughuli za dini? Lipi tena toka kwake unaweza kuliamini kama hana hofu na Mungu?Hii ndio ile baraghashia aliyoivaa siku ile wakati anatuambia rais yuko imara ?View attachment 2064852
Katika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,
===========
Kassim Majaliwa: Madaraka yote yanatolewa na mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amepanga kila kitu nani atakuwa nani katika kipindi gani.
Hata ukilazimisha kutaka nafasi hiyo, huwezi kama mwenyezi Mungu hajasema nenda na wala usitumie njia yoyote ya kumuathiri mwenzako ili apate madhara eti atoke hapo wewe uende, nani amekwambia wewe utakwenda hapo?
Tuache tabia ya kuacha viongozi ya kuwaacha viongozi wafanye kazi yao ya kuwahudumia watanzania na kuwatengenezea migogoro kila siku tena mingine ni ya kusingizia tu.
Kama mwenyezi Mungu hajasema hutakuwa, utatumia mihela mingi itapotea tu, utakwenda na mambo mengine ya giza huko hutamudu, mwenyezi Mungu amesema huyu ni huyu.
Tuheshimu walioko kwenye nafasi za kuwatumikia watanzania wafanye kazi yao kwa weledi.
Uongozi wa sekta yoyote ile unaongozwa na mwenyezi Mungu, unaweza kupambana sana unataka ukae, ukakuta haukai anakaa mwingine.
Kwahiyo utaanza kuwaathiri wote hao wanaokaa hapo kwasababu wewe unataka kumbe mwenyezi Mungu hataki, lazima tujue kwamba, madaraka yoyote yanatolewa na Mwenyezi Mungu.
>>Msikilize kwa makiniB]
View attachment 2064822
Yeye ndio Rais hatakuwepo tena 😆😆 ,Makamba huyu huyu ? Tunakwenda na mama yaani mnasema hivyo wakati mabango yanampamba mama,mnachekesha nyie.unajua makundi yote mawili ccm hawamtaki mama
hilo mama naona hajalitambua vizuri
kundi la magu wanataka ndugai awe rais..kundi la akina Nape wanataka Makamba
Mama haihitajiki popote..hawataki rais mwanamke...pona yake ni handshake na opposition ndio gateway yake ya kutoka na kua rais tena
otherwise,hiyo 2025 kwenye debe hatakuwepo
Achana na Uzushi huu,Kutoka monduli hadi Ilulu, Bashiru, Lusinde, Majaliwa wakutana kupanga mipango mizito ya Mwaka 2022
Saa saba mchana siku ya Jana ndani ya Hotel ya sea view Hotel iliyopo mkoani Lindi yanaingia magari tofauti tofauti haifahamiki magari haya yaliingia Lindi siku gani ila katika ukumbi wa hotel ya Sea view resort siku ya Jana kumefanyika kikao cha siri. Dkt Bashiru Ali na Livingstone Lusinde...www.jamiiforums.com
Kutoka monduli hadi Ilulu, Bashiru, Lusinde, Majaliwa wakutana kupanga mipango mizito ya Mwaka 2022
Yaani makundi ya Urais yanararuana Sana.Achana na Uzushi huu,
Ujumbe umefika kwa dungayembe,,kwanza mtu kama dungayembe nani anaweza mchagua?
Hata PM kwa utaratibu wa ccm,kamwe.hawezi kuwa PM akaja kuwa Rais haipo hiyo, baada ya Samia atakuja mwingine kabisaa ambaye ni ngumu kumbashiri.
Hakuna cha handshake ,hiyo hiyo accident ndio utaliona na 2025.kawa rais kwa accident
unampigia kura si mpaka awe kwa debe kwanza?
na yeye kua kwa debe ni lazima apitishwe na CCM
na CCM ndio ya akina Ndugai na akina Makamba na akina Nape ambao hawamtaki rais mwanamke wa Zanzibar
Okoa ya mama ni kufanya handshake na opposition,chini ya hapo hawezi kua kwa debe
Wanachagua wenyewe,vyeo kama vya pm,vp ni vyeo vikubwa kwa madaraka na ulaji kwa hiyo hakuna anayeweza shika hivyo vyeo afu akaja tena kuwa Rais haipo hiyo.Kwan ccm huwa wanachaguliwa??
Irrelevant to you because you are also irrelevant person
SEMA PMKatika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,
===========
Kassim Majaliwa: Madaraka yote yanatolewa na mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amepanga kila kitu nani atakuwa nani katika kipindi gani.
Hata ukilazimisha kutaka nafasi hiyo, huwezi kama mwenyezi Mungu hajasema nenda na wala usitumie njia yoyote ya kumuathiri mwenzako ili apate madhara eti atoke hapo wewe uende, nani amekwambia wewe utakwenda hapo?
Tuache tabia ya kuacha viongozi ya kuwaacha viongozi wafanye kazi yao ya kuwahudumia watanzania na kuwatengenezea migogoro kila siku tena mingine ni ya kusingizia tu.
Kama mwenyezi Mungu hajasema hutakuwa, utatumia mihela mingi itapotea tu, utakwenda na mambo mengine ya giza huko hutamudu, mwenyezi Mungu amesema huyu ni huyu.
Tuheshimu walioko kwenye nafasi za kuwatumikia watanzania wafanye kazi yao kwa weledi.
Uongozi wa sekta yoyote ile unaongozwa na mwenyezi Mungu, unaweza kupambana sana unataka ukae, ukakuta haukai anakaa mwingine.
Kwahiyo utaanza kuwaathiri wote hao wanaokaa hapo kwasababu wewe unataka kumbe mwenyezi Mungu hataki, lazima tujue kwamba, madaraka yoyote yanatolewa na Mwenyezi Mungu.
>>Msikilize kwa makiniB]
View attachment 2064822