proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
ndiooLaiti ungejua adui mkubwa wa Makonda ni wapambe wa mama na wala sio wapinzani usingesema hayo. Kwa kuteuliwa Makonda;
Hivi Kinana ana furaha?
Hivi JK ana furaha?
Hivi Nape ana furaha?
Hivi Chongole ana furaha?
Hivi January ana furaha?
Hivi Makamba senior ana furaha?
Hivi Philip Mpango ana furaha?
Hivi Majaliwa ana furaha?
Hivi Ridhwani ana furaha?
Hivi Chongole ana furaha?
Hivi Abdallah Bulembo ana furaha?
Hivi Bashe ana furaha?
Hivi Sofia Mjema ana furaha?
Hivi mzee Warioba amefurahi?
Hivi Askofu Gwajima amefurahi?
Watu wamemnyoosha magufuli na mmekaa kimya itakua makonda?Magufuli amerudi ndani ya Makonda ,timu msoga na ufipa watanyooka tu
Muuwaji anatambulishwa. Mnashangilia ndiyo maana ukitaka kupata sifa ccm umiza watanzania ambayo si ccm. Mikono ya makonda Ina damu.Wanalialia tu
Huna akili Jo sawa na huyo mkolomije wakoMakonda amesema wakati wote alipokuwa kwenye Likizo ya miaka 3 na miezi 3 Viongozi wa Dini, Wajane na Wanyonge walikuwa Wakiomba na Kufunga kwa ajili yake, anawashukuru sana
Makonda ameahidi Kutolipa Kisasi kwa mtu yoyote mbele ya Mungu wa mbinguni
Makonda amesema Watesi wake wamejenga na Kumfanya awe karibu na Mungu wa mbinguni zaidi, na hatimaye yuko Jirani na Patakatifu pa Patakatifu
Source: Channel ten
AmenMakonda amesema wakati wote alipokuwa kwenye Likizo ya miaka 3 na miezi 3 Viongozi wa Dini, Wajane na Wanyonge walikuwa Wakiomba na Kufunga kwa ajili yake, anawashukuru sana
Makonda ameahidi Kutolipa Kisasi kwa mtu yoyote mbele ya Mungu wa mbinguni
Makonda amesema Watesi wake wamejenga na Kumfanya awe karibu na Mungu wa mbinguni zaidi, na hatimaye yuko Jirani na Patakatifu pa Patakatifu
Source: Channel ten
Usigope, hatalipa Kisasi!
Nawe kachapwe tu!Huko X watu wanajichapia tu😆😂
Kawekwa na timu msoga, ukweli huyu jamaa amesababisha nisiunge mkono uteuzi huu.Magufuli amerudi ndani ya Makonda ,timu msoga na ufipa watanyooka tu
Makonda njoo utukimbizie hawa Utopolo. Wamekuwa na kiherehere sana.
Good!wewe ni mwendawazimu kama wendawazimu wengine tu
Ha ha haaa hivi msemaji wenu Chag- dema si ndio huyu Erythrocyte au sio yeye?Suala la huyo nyamitako ni lenu wenyewe huko CCM sisi hatuna muda mchafu kumjadili mc wa chama chakavu
Hizo tatu anazoonesha ni bao za kitandani?
Chapa kazi ila usiwasafishe waliochafuka kwa kujichafua wenyewe!Makonda amesema;
Wengi wanawaza Mankonda ataenda kulipa kisasi, na wengine wakisema usiyemtaka kaja, naomba niseme mbele ya hadhara na watanznia mimi sina kisasi na mtu yoyyote na asiwepo mtu akafirikiri lengo langu ni kumkandamiza naomba niwaambie sijaja hapa kulipiza kisasi.
Waliyekuwa wanamsema vibaya leo kawa Pearl!!!!!Ni unafiku wa ajabu sana.Anyway,hii ndiyo CCM,where anything is possible.Ni usemi ule ule wa kilatini, "La cuta causa Finita" -The decision of the president is Final, don't challenge president decisions
Makonda usiyempenda ndio huyo kaja tena CCM kama Kiongozi wa Itikadi na Uenezi. Maneno mengi yamesemwa juu yake lakini hakuna uthibitisho wa Mahakama juu ya tuhuma.
Maeneo ya Kariakoo hasa makutano ya Mtaa wa Livingstone na Kariakoo mambo ni moto. Ni umati wa madereva bodaboda wakiwa kwenye mapokezi ya Paul Makonda.
Mtaa wa Kariakoo upande wa Lumumba umezibwa kuruhusu umati mkubwa wa wana CCM waliojitokeza kumpokea Paul Makonda.
Paul Makonda ni muumini wa siasa za kibabe na nguvu ambazo ndio hitaji kwa sasa kwenye siasa za Tanzania kujibu hoja za upinzani.
Tumeshuhudia operation za CHADEMA wakijitamba na kujisifia lakini majibu ya CCM ni Paul Makonda.
Paul Makonda ni mtu wa propaganda.