Unakumbuka Mwigulu aliposema tuhamie Burundi tukamchapa za uso hadi akaomba poNawe kachapwe tu!
Kwahiyo ni same code na KaweMakonda amesema Watesi wake wamejenga na Kumfanya awe karibu na Mungu wa mbinguni zaidi, na hatimaye yuko Jirani na Patakatifu pa Patakatifu
Source: Channel ten
Kama usemayo ni kweli utakataa kuwa Makonda ameigawa CCM?Sijafanikiwa kufika Lumumba kutokana na kukwama kwenye foleni ya kwenda huko Hapa Magomeni
Kwahiyo nipo Hapa Sea Boys ghorofani nashiriki mapokezi kupitia Channel ten tv
Cha ajabu nasikia shangwe za Magufuli, Magufuli Ndio najiuliza anayepokelewa ni Makonda sasa Magufuli inakuwaje tena?
Dogo ametisha sana, akabidhiwe tu Chama hakuna namna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji91]
Kazuiwa na nani kuongoza maandamano?Huyo huyo mnayembania kuongoza maandamano na kukataa kushirikiana naye!
Mimi nahusikaje na Makonda ?Ha ha haaa hivi msemaji wenu Chag- dema si ndio huyu Erythrocyte au sio yeye?
Je!
Lissu sio mwenyekiti wenu wa chama?
Wewe Fu**y mfuasi uchwara unabishana na mabosi wako!
Ni Katibu wa secretariate wa chama kinacho kutawala .Mimi nahusikaje na Makonda ?
ChademaKazuiwa na nani kuongoza maandamano?
Chama kimekuwa Imara zaidiacha ccm waendelee kuvurugana.
Wazee wa matukio!Tukio hili la kusikitisha limetokea mbele ya hadhara , ambako Majeruhi huyo amekimbizwa MOI
View attachment 2793565