Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda atambulishwa rasmi CCM, atinga kwa bodaboda

Makonda amesema Watesi wake wamejenga na Kumfanya awe karibu na Mungu wa mbinguni zaidi, na hatimaye yuko Jirani na Patakatifu pa Patakatifu

Source: Channel ten
Kwahiyo ni same code na Kawe
 
Kama usemayo ni kweli utakataa kuwa Makonda ameigawa CCM?
 
Mimi kwangu Makonda ni mwanasiasa bora sana angalau ameacha legacy ya kupunguza kama sio kukomesha biashara ya unga enzi zake akiwa mkuu wa mkoa wa Dar. Kuhusu uzalendo wake hapo sina uwakika siwezi lisemea.
 
Mtu apate ajari wewe ulete habari kishabiki na uitafsiri kuwa ni laana kwasababu tu jambo lililokuwa linafanyika ni mlengo tofauti nawewe kisiasa!.
Ifike hatua tuwe na utu ndani yetu sio mpaka tufundishane,akili tumepewa ya utafakari na sio kutumia kama makapi ya kudharirisha wengine.
 
Katika mapokezi yake Makonda ametuma salamu kwa mawaziri, wakuu wa miko na watendaji wote watakaokuwa hawafanyi kazi zao kikamilifu chama hakitasita kuchukua hatua.

Akisema hayupo tayari kuwa msemaji wa chama ambacho kimepewa dhamana na wananchi na wanaomsaidia Mwenyekiti kiwe na viongozi wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao, na kwamba kila kiongozi wa serikali atabeba msalaba wake mwenyewe.

Akaongeza kuwa hajahifadhiwa miaka 3 na miezi 3 kusema uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…