third eye chakra
JF-Expert Member
- Dec 27, 2023
- 713
- 1,745
Hata me nataka kujua hilo sasa.Hiyo Legacy itakusaidia nini ukishakufa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata me nataka kujua hilo sasa.Hiyo Legacy itakusaidia nini ukishakufa?
Data zako umeanzia kuchukua za mwaka gani? Je, hao watu ulio wahesabu ni wale watokanao na similizi za kiimani mababu au sayansi? Kama ni kwa mujibu wa imani, je ni imani ipi? Kama ni simulizi za mababu (tamaduni) je ni tamaduni ipi?Hii itukumbushe kuwa hii Dunia tunapita, na itusaidie kupunguza kama sio kuacha kabisa kiburi na kujipa umuhimu.
Waliowahi kuishi na kuondoka ni wengi zaidi ya waliopo leo, na kila mmoja kwa wakati wake alikuwa na umuhimu wake.
Hivyo nafasi ya wewe kuishi leo isikufanye ufikiri kuwa ni ya kipekee sana, utaondoka siku moja na watakuja wengine. Maisha yataendelea vizuri tu bila uwepo wako.
Hii nimekumbushwa na huyu kijana wangu mkubwa, nami nikaona niwakumbushe.
Ncha Kali.
Tatizo lake mukishashiba huwa munakuja humu na kukufuru mara oooh thibitisha kama kuna Mungu na blahblah kibao,ila Mungu yupo na anatisha sana na kaburi pia linatisha mno...usiwasikilize wachungaji na manabii waongo wanaopotosha watu kuwa eti Yesu ni Mungu mara sijui mungu ana nafsi tatuNimeuguza mtu mpaka kanifia mikononi.
Alikuwa anatapatapa huku anasema anaogopa sana, anasema eti kuna watu wako kwa mbali anawaona wanamsubiri.
Mungu hatishi na wala hataki wewe umuogope, kwanini umuogope??Tatizo lake mukishashiba huwa munakuja humu na kukufuru mara oooh thibitisha kama kuna Mungu na blahblah kibao,ila Mungu yupo na anatisha sana na kaburi pia linatisha mno...usiwasikilize wachungaji na manabii waongo wanaopotosha watu kuwa eti Yesu ni Mungu mara sijui mungu ana nafsi tatu
Legacy itakusaidia nini?Kufa kupo pale pale, la muhimu ni legacy gani umeacha.
Mungu wetu ni mwenye kusamehe, yaani utakuta tu ashapotezea dhambi zote na kuanza upya.Daaah nomer sana, Io ina maana siku ya hukumu naweza nikakaa kama miaka kama themanini nikisubiri hukumu yangu, maana yesu atakuwa akidili na watu wengi sana, sijui atahesabu na zambi za katikati ukiwa wasubiri hukumu
Okay babe.Yes wala ufufuo hakuna
Mhhhh!!!!Wa Ulaya.... Huyo wa mzungu asubiri kwanza 😊
Sema iyoo babe Imenichanganya madamOkay babe.
Nimekusoma
🤓🤓🤓Sema iyoo babe Imenichanganya madam
Kabisa maana nishakua hoi na Iyo bby🤓🤓🤓
🤔🤔🤔
Jamani....pole.
Au twende kwetu tukatambike?
🤝Kabisa maana nishakua hoi na Iyo bby
Ntajaribu nikishindwa nduki🤝
Karibu.
Ila sisi kwetu wachawi.
Uko tayari?
Ukiingia unatokaje kwa mfano!Ntajaribu nikishindwa nduki