Katika Empire zote zilizowahi kuwepo duniani, Roman Empire bado inaendelea kutawala

Sasa unacho bisha ni kitu gani?
Yakuwa sio kweli kuwa America ya kusini na Africa ndo sehemu yenye wakatoliki wengi kuliko sehemu nyingine au ?

Ww ndo kilaza kwa sababu mm nimeweka takwimu za jumla ya population ya wakatoliki wote duniani lakini ww unaniletea takwimu za nchi moja moja.
Kwa hiyo kwa sababu Uturuki ni taifa lenye waisilam wengi basi ndo kielelezo cha Ulaya kuwa na waisilam wengi kuliko Asia au Africa?
 
Pia hajaona pia Papa akienda huko Uarabuni anavyopokelewa kama mfalme.
Hujui kuwa papa ni kiongozi wa nchi hivyo anapewa heshima kwa itifaki za kuserikali?
Wakatoliki siwalikuwa wanaupinga mkataba wa bandari ,vip mbona ulipitishwa na hakuna chochote walicho kifanya.
Mbona kagame kafunga mamia ya makanisa na hawajamfanya chocho?
 
Warumi ni watu wa kazi
 

Ulisema South America, hapo nimekuwekea Data za South na North Amerika. Ukichukua hizo data za South Merika na Afrika hazifiki hiyo percent uliyoiweka, ambayo ulilenga kuonyesha South Amerika na Afrika zina 70% ya waumini wote wa Catholic duniani.

Ukasema Afrika ni Masikini kwa kuwa ina waumini wengi wa katoliki kuliko Ulaya ambao ukadai maendeleo yao ni sababu wameachana na ukatoliki, haya angalia takwimu wakatoliki waliopo Ulaya Vs Afrika.

Kwa hiyo kwa sababu Uturuki ni taifa lenye waisilam wengi basi ndo kielelezo cha Ulaya kuwa na waisilam wengi kuliko Asia au Africa?
nimekutengenezea kila kitu , kilichobaki kwa jinsi unavyojibu unaonyesha ufinyu wako wa namna ya kusoma na ku interprete data.
 
Ni kwamba Hadi Leo wanakusanya Hela za watu mbalimbali Kutoka mataifa mbalimbali Duniani.
Hii kimantiki ipoje?
 
Watakwambia ni conspiracy theories tu hizo wakati hata Captain Smith alikuwa ni miongoni mwao.
Captain Smith alipewa maagizo aendeshe meli kwa Speed kubwa bila kujali hatari ya eneo walilokuwa wanapita.

Mwisho na yeye ali commit suicide kwa kile kilicho dhaniwa kwamba ni msongo wa mawazo juu ya ukatili ule aliofanya.
 
Captain Smith alipewa maagizo aendeshe meli kwa Speed kubwa bila kujali hatari ya eneo walilokuwa wanapita.

Mwisho na yeye ali commit suicide kwa kile kilicho dhaniwa kwamba ni msongo wa mawazo juu ya ukatili ule aliofanya.
Kwasababu haiwezekani kabisa Captain mwenye experience ya miaka 25 kupita eneo hilo na ukapewa telegram muda wote kuhusu hali mbaya mbele bado ukomae meli iende full ahead.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…