JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Mbwa na mishahara Yao ya laki nne, hapo wengi ni vilaza wa form four, div 4Aman iwe nanyi wana wa MUNGU
Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao
Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana
FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi
Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran
Samia must go
LONDON BOY
Je kama maandamano yakiwa makubwa kama ya Sri Lanka au Bangladesh watu wakandamana mpaka wakaingia ndani ya ikulu, je itakuwa ndio mwisho wa utawala wa ccm? Au ndio yatakuwa maandamano yaliyosababisha mapinduzi kama Sri Lanka au Bangladesh?Polisi wakikimbia maandamano CCM itaelekea wapi? Ninajiuliza tu
Toa upumbavu wako hapa , wewe ukiamua kuwa mjinga na muoga ni wewe ,usitushirikishe kwenye ujinga na uoga wako huoKama waandamanaji wanadhani watapambana tu na polisi wanaota wanaume JWTZ wataingia mtaani wakivalia nguo za polisi
Sababu chadema hiyo kauli yao ya Samia must go ni uhaini na uhaini hukabiliwa kwa excessive force sio normal force
Wasidhani itatumika nguvu ndogo kuwadhibiti itatumika kubwa mno sababu kuna uhaini
Hayo maandamano sio ya mtu kushiriki sababu atakuwa sehemu ya uhaini mtu aweza ozea jela au kupewa kilema cha maisha au kupoteza uhai
Hayo mambo ya Samia must go ya kukaa nayo mbali
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.Aman iwe nanyi wana wa MUNGU
Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao
Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana
FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi
Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran
Samia must go
LONDON BOY
Kabisa mkuu , mambo ya aibu kabisa .Mbwa na mishahara Yao ya laki nne, hapo wengi ni vilaza wa form four, div 4
Siku hizi hata wasomi wamo humoIron boys, hao walikosa hata D mbili...
Kwani chadema si magaidi katika nchi? Chadema ni zaidi ya magaidi ma wahaini. Walkpaswa wanyongweAman iwe nanyi wana wa MUNGU
Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao
Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana
FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi
Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran
Samia must go
LONDON BOY
Acha upotoshaji wa kijinga, kwani maaskofu ndio wanaoteka wapinzani au vyombo vya dola?Mbowe kaihirisha maandamano, anadai anawasikiliza maaskofu wanaofanya kikao na serikali.
Kabisa CDM ndio wanaendesha nchi kwa sasa CCM homa ipo juu sana, Samia akutana na IGP,...Waongeze juhudi na wawashukuru CDM kwa kuwapa cha kufanya.
Huwezi kuwa msomi na polisi kwa wakati mmoja...Siku hizi hata wasomi wamo humo
Muulize Mbowe anayeonekana akiongea kwenye hiyo clip sio mimi.Acha upotoshaji wa kijinga, kwani maaskofu ndio wanaoteka wapinzani au vyombo vya dola?
Mnafanya maandamano ya amani wakati maneno ya mwisho kabisa ni kumtaka Samia aondoke!.Kabisa mkuu , mambo ya aibu kabisa .
Na kuna wapuuzi humu bado wanashabikia hii hali .
As if hii nchi ya kifalme ambapo watu wa mlengo flani tu ndio wanaruhusiwa kuongoza ,yaani kuna majitu yamejipa UMungu mtu nchi hii wa kutawala kimabavu na kuamua ni nani aishi na nani asiishi .
Na raia wenye mtindio wa ubongo humu jamii forum wanasherekea hii hali .
Katiba tu hiyo ya mkoloni tuliyo nayo inaruhusu maandamano ya amani , Chadema hawajawahi fanya maandamano ya vurugu na hawajasema wanafanya maandamano ya vurugu ,wanafanya maandamano ya kupinga vitendo vya kidhalimu na vya kigaidi vya serikali ya ccm vinavyofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama chini ya Samia hasa utekaji na mauaji ya raia wenye itikadi za upinzani .
Hii nchi si ya ccm ni mali ya raia wote , Chadema si wakimbizi nchi hii ,ni raia na wana haki ya kuandamana kudai haki zao kwa amani kama raia yoyote alivyo na haki ya kudai haki yake kwa kuandamana kwa amani na utulivu bila kuhatarisha usalama wa mali na maisha ya watu wengine .
Watanzania waache mentality za kitumwa na kuamini kwamba regime au serikali Ndio final say wakati muongozo wa nchi ni katiba ,mbwa kabisa hizi na serikali inawajibika kwa wananchi na Chadema ni wananchi pia na wameamua kuiwajibisha serikali kwa mauaji na utekaji na ukandamizaji unaoendelea hapa nchini ,
ENOUGH OF IDIOCY AND LAMENESS , WE NEED ACCOUNTABILITY FOR THE ONGOING DEATHS AND ABDUCTIONS OF REGIME'S CRITICS AND OPPOSITION PARTY MEMBERS (CHADEMA)
SAMIA MUST GO !
Punguza utoto dogo. Huu upuuzi wa viclip na rais naye ameingizwa mkenge, bila aibi anasema mbele ya hadhara eti ana vijiclip kuwa ndio bonge la intelijensia!Muulize Mbowe anayeonekana akiongea kwenye hiyo clip sio mimi.
Waaaambie ni Wapumbavu mnooooo mnoooo, kinachopiganiwa ni pamoja na maslahi Yao wenyewe....Aman iwe nanyi wana wa MUNGU
Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao
Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana
FFU wakiwa wanalinda bank wanabeba SMG na AKA 47 kwenye kuzuia maandamano wanabeba silaha ambazo hazijawahi kuonekana technology ya myahudi
Lakini sis haturudi nyuma tarehe 23 kama kawaida tuko barabaran
Samia must go
LONDON BOY